Tanzania to build $40m mall in Nairobi

Lilikuwa lako wewe, lakini bila yeye kukubali, Maaaweee! Yeye ndio Rais. Na mtaumia sana, kwani kila afanyacho ni record, amma anafanya zaidi ya Rais yeyote aliyekuwepo kabla yake, amma anafanya ambacho hawajawahi kabisa kufanya.

Mtakufa navyo vijiba vya roho, toto la ki-bwagamoyo mtaliona hivi hivi, action tu. Na juisi kwa kashata mtakunywa.

Kafanya nini???kuzurura ovyo?
 
its a very good plan for investment lakini tuna uhakika hizo hela hazitaliwa na wajanja ?
 
Steve, FF ni Muislamu safi, hivyo kwake wa kwanza ni Alaah (SW) akifustiwa na Mtume (SAW) ndipo anafuatia Rais (JK) chini wanafuatia wazazi, masheikh, mwalimu wa madrassa, waumini wengine wote ndipo tunakuja kina siye!.

Umekosea sana.

Qur'an 112

KWA JINA LA MWENYEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU



1. Sema: Yeye Mwenyezi Mungu ni wa pekee.


2. Mwenyezi Mungu Mkusudiwa.


3. Hakuzaa wala hakuzaliwa.


4. Wala hana anaye fanana naye hata mmoja.


Waislaam hatushirikishi Allah na kiumbe kingine chochote kile. Kafanye homework yako kidogo.
 
mmh bidada unakurupukaga kweli yan, ss hapo JK kafuata nn??
nways ivi anajua kuwa unampigia promo kiasi iki jaman, hata hasipohusika unamtaja tu dah. poor you, poor TZ.

Rais Watanzania ni nani? unafikiri Serikali itakwenda kuwekeza nje ya Tanzania bila Rais kuwapa "Go Ahead"? unanchekesha!
 
Ukiona wapo wanaohamaki unampomtaja JMK, ujuwe hao ni kondoo waliopotea. Hakuna zaidi. Jina tu hawalipendi na Kikwete ndio huyo anavunja kila rekodi ya uongozi Tanzania. Hashikiki, MashaAllah, Mwenyezi Mungu amzidishie.
 
hii pia yawezekana. Angalia jinsi Kenya ilivyo na investments kubwa hapa TZ lakini jengo walilojenga (Harambee House) pale Oyster Bay ni business centre kwa ajili yao, liko more strategic na wala sio hizi posh complex of 26 storey.

Huwa watz tuna matatizo katika mipango yetu kulingana na tulivyo, hawa wakenya wako somehow patriotic na usitegemee waje kupanga jengo la kumwingizia kipato mtu mwingine. Kwa nini hatujiulizi waamue kujenga uwanja wa ndege Voi wakati KIA ipo hapo hapo!

Sehemu ya kiwanja chetu kilichopo pamekuwa "designed" kwa majumba marefu huwezi kwenda kujenga tu unavyotaka wewe, wenzetu wanafata sheria za majiji yao. Sio nyie hata mabondeni mnajenga hovyo. Mpaka aje Kikwete apige marufuku. Mlikuwa wapi siku zote?

Halijengwi kwa ajili ya "kupanga" linajengwa ili wao wasipange na na wawapangishe wengine.
 
hivi tumefilisika kimawazo? Pesa zote ziende kujenga kitu hata kwetu hakipo? na eti iitwe UMOJA HOUSE? hili ndo jina la kupromote nchi ya walipakodi sisi tulioiijenga? japo basi iitwe Tanzania, Daressalaam, Zanzibar, Nyerere etc....
 
Government in cash crisis, says Kikwete


Rating

By POLYCARP MACHIRA NATION Correspondent
Posted Sunday, February 5 2012 at 18:49

DAR ES SALAAM, Sunday


President Jakaya Kikwete has said Tanzania's government has experienced serious financial difficulties in the recent past, revealing it was overwhelmed by debts.

Speaking in Dar es Salaam on the occasion to mark law day, the president confirmed that almost all government departments received less than the budget allocation for the first half of the 2011/2012 financial year.

"The first six months of this financial year have been very tricky as the government embarked on clearing its huge debts, forcing the treasury to disburse very little money to other departments" he said.

Without clarifying the kind of debts it was paying, the president however noted that most of it had been cleared and that the government will start honouring the outstanding departmental budget allocations promptly.

His explanation came in response to a statement by Chief Justice, Mohamed Chande Othman who said the judiciary had run out of money as the government failed to disburse its full allocation.

The CJ said the judiciary received only Sh6.32billion (Ksh332m) between July and December, 2011 instead of Sh10 billion set for the judiciary fund in the first half of the 2011/2012 fiscal year. At least Sh20 billion was allocated to the judiciary for the entire fiscal year.

"This budget constraint derails judicial activities and in turn affects provision of justice to the public," said the CJ.
In response, the president said the government will ensure that the judiciary received its due share of the budget wholesome in future
The liquidity problem has seen delays in payment of civil servants' salaries, disbursement of subsidies to political parties and paying for a wide range of other services, including money meant for projects and local government.


sourcehttps://www.jamiiforums.com/newreply.php?p=3285885&noquote=1http://www.nation.co.ke/News/africa...ikwete++/-/1066/1320802/-/w6ixe9/-/index.html
 
Government in cash crisis, says Kikwete


Rating

By POLYCARP MACHIRA NATION Correspondent
Posted Sunday, February 5 2012 at 18:49

DAR ES SALAAM, Sunday


President Jakaya Kikwete has said Tanzania's government has experienced serious financial difficulties in the recent past, revealing it was overwhelmed by debts.

Speaking in Dar es Salaam on the occasion to mark law day, the president confirmed that almost all government departments received less than the budget allocation for the first half of the 2011/2012 financial year.

"The first six months of this financial year have been very tricky as the government embarked on clearing its huge debts, forcing the treasury to disburse very little money to other departments" he said.

Without clarifying the kind of debts it was paying, the president however noted that most of it had been cleared and that the government will start honouring the outstanding departmental budget allocations promptly.

His explanation came in response to a statement by Chief Justice, Mohamed Chande Othman who said the judiciary had run out of money as the government failed to disburse its full allocation.

The CJ said the judiciary received only Sh6.32billion (Ksh332m) between July and December, 2011 instead of Sh10 billion set for the judiciary fund in the first half of the 2011/2012 fiscal year. At least Sh20 billion was allocated to the judiciary for the entire fiscal year.

"This budget constraint derails judicial activities and in turn affects provision of justice to the public," said the CJ.
In response, the president said the government will ensure that the judiciary received its due share of the budget wholesome in future
The liquidity problem has seen delays in payment of civil servants' salaries, disbursement of subsidies to political parties and paying for a wide range of other services, including money meant for projects and local government.


sourceGovernment in cash crisis, says Kikwete *- Africa*|nation.co.ke

So, ikiwa $40m zitatumika kujenga a shopping mall in Nairobi, ilhali Rais Jkaya kikwete asema hawana fedha, this is the irony we are speaking about African countries. Maskini waafrika jasho zao zitatumika kufanikisha malengo ya mabwenyenye.
 
Dah!!!..:frusty:

Hivi si hii NSSF ni hela ya uma?.....Jamani mnapeleka hela ya uma Nairobi ikaliwe wazi wazi namna hii? $40M si hela ndogo hio! Afu wanategemea kurudisha hii hela ndani ya mda gani? Wanauhakika gani wakenya watazuru hii mall yao? Hawa watu washasikia skendo za Kenya kuhusu hela kama hii? Gadaffi keshapoteza mjengo hapo Nairobi. Ilokua ikiitwa Grand Regency nikidhania. Jamani how dumb can an individual be to invest such a huge chunk of the country's social security savings in a foreign country with a shaky economy? Jeeeez!

Kisha kulingana na hii habari naona kua The State of Tanzania sasa ina kiwanja Nairobi sio...yaani mwenzenu nacheka hapa nilipo maana najaribu kuwaza huo mkataba uko kivipivpi. Kwa mawazo yao hawa watu, this is meant to show East Africa cooperation sio? Bongo subirini jamaa waje kusema wanataka kuuziwa viwanja sasa....Kisingizio hicho hapo juu....:A S-coffee:

.....Hamna mbunge anapinga hii kitu kule Dodoma?

....Rais wa nchi nae?
 
If I'm not mistake NSSF owns a plot opposite Saint Albano Angalin church,which have not been develpoed for the last 15 years.
So let NSSF develop this plot which according to them it is supposed to have 35 -storey and be the highest building in Dar.
 
Hivi hili lilikuwa ni wazo la Kikwete au unampamba tu just because you think Kikwete is the greatest thing to happen since ice cream?
Balozi zetu hazina hela. Zimeshindwa kuwalipa mishahara wafanyikazi wao. Shame on you, shame on Kikwete.

Comments nyingine hata ukiingia humu na mahasira, unajikuta unacheka tuu.
 
Back
Top Bottom