MwanaFalsafa1
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 5,565
- 836
- Thread starter
- #81
kinachoendelea leo ni dhambi ya kumnyima uongozi JK nchi isingefika katika hali hii tuliyonayo ss ya watu kujiuzia wao na kusahau ,mamilioni ya wenzao
Mh mkuu kwa hiyo kunyimwa uraisi JK mwaka 1995 kunahalalisha wizi wa sasa unaotokea wakati kapewa uraisi??? SIjakuelewa mkuu.