Kibunango
Platinum Member
- Aug 29, 2006
- 8,420
- 2,271
Soma taratibu hapo chini...joka kuu naomba utzame facts zako upya
kighoma malima alichukua fomu za uraisi pia.....
hata kama hakufika mbali.but alichukua fomu
MwanaFalsafa1,
..kwa kumbukumbu zangu walijitokeza wana CCM kama 15 hivi kutaka ridhaa ya chama chao. Ninaowakumbuka ni kama Balozi.Frederick Rutakyamirwa, Njelu Kasaka,Mark Bomani, Joseph Warioba,Pius Msekwa, Horace Kolimba, Benjamin Mkapa,Horace Kolimba,John Malecela, Cleopa Msuya,Jakaya Kikwete, Edward Lowassa,....