Tanzania: Ni yapi yaliyojiri 1995?

MwanaFalsafa1

JF-Expert Member
Feb 26, 2008
5,565
836
Kuna wengine wetu tulikua wadogo mwaka 1995 kuweza kufuatilia kinyanganyiro cha uraisi mwaka huo. Ndiyo maana ningependa kujua zaidi nini kilicho jiri ndani ya CCM mpaka kupelekea kumteua raisi mstaafu Benjamin WIilliam Mkapa kuwa mgombea wa CCM kwa mwaka huo.

Machache ninayo jua ni kwamba final three ya CCM ilikua Kikwete, Mkapa na Msuya. Nasikia Kikwete alishinda round ya kwanza ila hakupata zile asilimia 51 zinazo hitajika kupata ushindi wa moja kwa moja. Round ya pili ikawa yeye na Mkapa na Nyerere kwa kutumia ushawishi wake ndani ya chama aka hakikisha ushindi unaenda kwa Mkapa.

Kwa nijuavyo mimi (naweza kusahihishwa) ni kwamba Nyerere hakudhani Kikwete kakomaa kiuongozi kuweza kuwa raisi mpaka akadiriki kusema "hatuendi kutoa posa tunaenda kuchagua raisi. Kama mtu anampenda mtu kwa sababu ya sura akanywe nae chai."

Sasa kwa wanaokumbuka zaidi (najua wapo wengi) naomba mnisaidie kunipa somo la historia hapa ya nchi yetu kwa sababu kinyanganyiro cha 1995 ndicho kilicho toa raisi wa kwanza wa mfumo wa vyama vingi.
 
Nyerere aliijua tabia mbovu ya Kikwete na kwamba hafai kuwa rais. Pia wakiwa hapo Dod6a alijulishwa namna ambavyo Lowasa alihamishia majeshi kumsupport Kikwete. Ni baada ya Lowasa kupigwa nyundo na JK wa ukweli (yaani Mwalimu).
 
Nyerere aliijua tabia mbovu ya Kikwete na kwamba hafai kuwa rais. Pia wakiwa hapo Dod6a alijulishwa namna ambavyo Lowasa alihamishia majeshi kumsupport Kikwete. Ni baada ya Lowasa kupigwa nyundo na JK wa ukweli (yaani Mwalimu).

Asante kwa kunisahihisha mkuu.
 
Nakumbuka baadhi ya mambo licha ya kwamba nilikuwa bwana mdogo.Gari ya Mrema nilisukuma.Wengi tuliamini angeingia ikulu kama si mwalimu.Mwalimu angemchagua JK maybe ingekuwa bora zaidi kwasababu angekuwa chini ya uangalizi wake.Mkapa ni mnafiki mkubwa,mwalimu alifanya kosa hapo.Kama alikjuwa kin EL wanamipesa,basi angemshurutisha Mkapa awawajibishe.Ama angetilia msisitizo kuwa wawajibishwe na si kuwanyima nafasi za kisiasa.Sasa alipotutoka tunaona tatizo bado lipo,na this time mafisadi ndo wenye nguvu because mwalimu was an one army man.
Ntarudi.
 
Kikwete alifika top three by accident mno

Ilipofika 1995 idadi kubwa ya waliojitokeza kugombea kwa CCM walikuwa wakristo na kulikuwa na uvumi kuwa CCM wana utaratibu wa kubadilishana kwamba amemaliza mwinyi Muislam, anaekuja atakuwa mkristo.

Nyerere alisikia hiyo habari akaikemea mno,akasema rais hata akiwa muislam tena na tena na tena ili mradi anafaa

But waislam wa CCM wengi hawakuchukua fomu za urais. Siku ya mwisho ya kuchukua fomu, ikawa muislam ni mmoja tu Kighoma Malima na kwa kuwa Malima alikuwa na kashfa za kodi asingefika mbali..

So Nyerere alienda kumwambia Kikwete achukue fomu za uraisi ili chama kisionekane kimewatenga waislam au kuna mfumo wa kubadilisha uongozi kidini...

So Kikwete kwa kuwa muislam pekee, akaachiwa jina lake mpaka top three ingawa wote walikuwa wanajua hatapewa urais....na kuna taarifa kuwa alishinda kura mara ya pili pia... sababu kubwa alionekana ni too inexperienced
 
Nilikuwa kama form two hivi na nakumbuka nilifatilia kwa makini walipobaki watatu wa mwisho...kama sikosei mshindi alitangazwa usiku ambaye alikuwa Mkapa.

Duh ccm niliichukia tokea zamani, nakumbuka nilikuwa sijafikisha miaka kumi na nane lakini nilifoji hadi nikampigia kura Mrema.... i should have known... Mrema godamit...traitor
 
Nyerere aliijua tabia mbovu ya Kikwete na kwamba hafai kuwa rais. Pia wakiwa hapo Dod6a alijulishwa namna ambavyo Lowasa alihamishia majeshi kumsupport Kikwete. Ni baada ya Lowasa kupigwa nyundo na JK wa ukweli (yaani Mwalimu).

Nini kilipelekea EL kuhamishia majeshi kwa JK?
 
Kikwete alifika top three by accident mno

Ilipofika 1995 idadi kubwa ya waliojitokeza kugombea kwa CCM walikuwa wakristo na kulikuwa na uvumi kuwa CCM wana utaratibu wa kubadilishana kwamba amemaliza mwinyi Muislam, anaekuja atakuwa mkristo.

Nyerere alisikia hiyo habari akaikemea mno,akasema rais hata akiwa muislam tena na tena na tena ili mradi anafaa

But waislam wa CCM wengi hawakuchukua fomu za urais. Siku ya mwisho ya kuchukua fomu, ikawa muislam ni mmoja tu Kighoma Malima na kwa kuwa Malima alikuwa na kashfa za kodi asingefika mbali..

So Nyerere alienda kumwambia kikwete achukue fomu za uraisi ili chama kisionekane kimewatenga waislam au kuna mfumo wa kubadilisha uongozi kidini...

So Kikwete kwa kuwa muislam pekee, akaachiwa jina lake mpaka top three ingawa wote walikuwa wanajua hatapewa urais....na kuna taarifa kuwa alishinda kura mara ya pili pia... sababu kubwa alionekana ni too inexperienced


Kaka umejuaje yote hayo? Au ulishiriki kwenye mchakato mzima?
 
Kuna wengine wetu tulikua wadogo mwaka 1995 kuweza kufuatilia kinyanganyiro cha uraisi mwaka huo. Ndiyo maana ningependa kujua zaidi nini kilicho jiri ndani ya CCM mpaka kupelekea kumteua raisi mstaafu Benjamin WIilliam Mkapa kuwa mgombea wa CCM kwa mwaka huo.

Machache ninayo jua ni kwamba final three ya CCM ilikua Kikwete, Mkapa na Msuya. Nasikia Kikwete alishinda round ya kwanza ila hakupata zile asilimia 51 zinazo hitajika kupata ushindi wa moja kwa moja. Round ya pili ikawa yeye na Mkapa na Nyerere kwa kutumia ushawishi wake ndani ya chama aka hakikisha ushindi unaenda kwa Mkapa.

Kwa nijuavyo mimi (naweza kusahihishwa) ni kwamba Nyerere hakudhani Kikwete kakomaa kiuongozi kuweza kuwa raisi mpaka akadiriki kusema "hatuendi kutoa posa tunaenda kuchagua raisi. Kama mtu anampenda mtu kwa sababu ya sura akanywe nae chai."

Sasa kwa wanaokumbuka zaidi (najua wapo wengi) naomba mnisaidie kunipa somo la historia hapa ya nchi yetu kwa sababu kinyanganyiro cha 1995 ndicho kilicho toa raisi wa kwanza wa mfumo wa vyama vingi.

Dogo kulikuwa na mtu alikuwa anaitwa Tuntemeke sanga huyu aliishia kwenye 5bora lakn huyu alikuwa na uwezo mkubwa kwani alikuwa anafanya maamuzi mazuri hata akiwa bungeni, lakini alikuwa haivi na nyerere hivyo akatoswa.
 
kikwete alifika top three by acciedent mno

ilipofika 1995 idadi kubwa ya waliojitokeza kugombea kwa ccm walikuwa wakristo
na kulikuwa na uvumi kuwa ccm wana utaratibu wa kubadilishana
kwamba amemaliza mwinyi muislam,anaekuja atakuwa mkristo

nyerere alisikia hiyo habari akaikemea mno,akasema rais hata akiwa muislam tena,na tena na tena ili mradi anafaa

but waislam wa ccm wengi hawakuchukua fomu za urais.
siku ya mwisho ya kuchukua fomu,ikawa muislam ni mmoja tu kighoma malima
na kwa kuwa malima alikuwa na kashfa za kodi asingefika mbali..

so nyerere alienda kumwambia kikwete achukue fomu za uraisi ili chama kisionekane
kimewatenga waislam au kuna mfumo wa kubadilisha uongozi kidini...

so kikwete kwa kuwa muislam pekee,akaachiwa jina lake mpaka top three
ingawa wote walikuwa wanajua hatapewa urais....na kuna taarifa kuwa alishinda kura mara ya pili pia...
sababu kubwa alionekana ni too inexperienced

Nini kilipelekea Kikwete achukue form akijua fika hatoshinda? What incentive did he have? Aliahidiwa nini?
 
Dogo kulikuwa na mtu alikuwa anaitwa Tuntemeke sanga huyu aliishia kwenye 5bora lakn huyu alikuwa na uwezo mkubwa kwani alikuwa anafanya maamuzi mazuri hata akiwa bungeni, lakini alikuwa haivi na nyerere hivyo akatoswa.

Je unaweza kuniambia alikuwa anafanya nini kabla ya kugombea urais? Yani alishawahi kushika nyadhifa zipi. Na baada ya kushindwa uraisi akaishia wapi?
 
Nini kilipelekea Kikwete achukue form akijua fika hatoshinda? What incentive did he have? Aliahidiwa nini?

sikusema alijua hatashinda
nilichosema ni kuwa ilionekana hivyo
kwa kuwa alikuwa very inexperienced na alichukua fomu kwa kuambiwa na nyerere
 
Kaka umejuaje yote hayo? Au ulishiriki kwenye mchakato mzima?

nina ndugu ni ccm insiders
hata la kikwete kuhamia chadema 2005 ni la ukweli na mbowe alipewa bilioni tatu za kuandaa mazingira
but leo ukilisema hilo utaoonekana unazusha
 
nina ndugu ni ccm insiders
hata la kikwete kuhamia chadema 2005 ni la ukweli na mbowe alipewa bilioni tatu za kuandaa mazingira
but leo ukilisema hilo utaoonekana unazusha

Mh mkuu can you tell as more about this? JK alipanga kuhamia kama akishindwa au?
 
Mh mkuu can you tell as more about this? JK alipanga kuhamia kama akishindwa au?

huo ulikuwa mpango wa wanamtandao
haijulikani kama angekuwa na ujasiri wa kufanya hivyo
mostly walimhofia mkapa kuweka mtu wake,
but walifanikiwa kum neutralize mkapa
na ndo maana jk hawezi kuruhusu mkapa ashitakiwe
mkapa alikuwa na nguvu ya kumzuia asiwe rais,but alimuachia
ingawa kwa shingo upande
 
Duh ama kweli Faizal ana kila haki ya kuwashangaa watu.. Hivi kweli mtu unafikia kusema ati waislaam walikuwa hawakujiandikisha hivyo ndio JK akaingia? Je, kweli watu mnasahau kwamba Salim A Salim ndiye alikuwa chaguo la mwalimu na candidate ambaye Watanzania wote walimtegemea!.. na kaja kukataliwa na Wazanzibar kwa sababu ya chuki ya kisiasa baina ya ASP na Umma Party! wakamzulia kuwa ktk mipango ya kumuua Karume kesi ikarudi upya..Na hata habari za Kighoma Malima inaonyesha watu hamna kubmukumbu wala ukweli wa kilichotokea zaidi ya hizi hadithi za zimulizi..Kighoma Malima, na watu kibao wamekolimbwa kwa sababu ya kutaka au kukihama chama....
 
Duh ama kweli Faizal ana kila haki ya kuwashangaa watu.. Hivi kweli mtu unafikia kusema ati waislaam walikuwa hawakujiandikisha hivyo ndio JK akaingia? Je, kweli watu mnasahau kwamba Salim A Salim ndiye alikuwa chaguo la mwalimu na candidate ambaye Watanzania wote walimtegemea!.. na kaja kukataliwa na Wazanzibar kwa sababu ya chuki ya kisiasa baina ya ASP na Umma Party! wakamzulia kuwa ktk mipango ya kumuua Karume kesi ikarudi upya..Na hata habari za Kighoma Malima inaonyesha watu hamna kubmukumbu wala ukweli wa kilichotokea zaidi ya hizi hadithi za zimulizi..Kighoma Malima, na watu kibao wamekolimbwa kwa sababu ya kutaka au kukihama chama....

mkandara unachanganya madawa hapa
sali alizushiwa hayo mambo kwa uchaguzi wa 2005
muanzisha mada anazungumzia uchaguzi wa 1995
na uchaguzi huo salim hakuwepo kabisa katika wagombea,alisema bado ana majukumu oau
ni kweli mwalimu alimtaka achukue fomu,but hakuchukua
 
kuhusu kigoma malima
hebu tazama kumbukumbu zako vizuri
alichukua fomu za kugombea urais ccm
alipotemwa akaenda kujiunga na nra na kuibadilisha kuwa narea
 
Back
Top Bottom