Duh mkuu wangu unabisha kitu usichokijua. sasa kama salim kazushiwa mwaka 2005 ilikuwaje awe pendekezo la Nyerere ambaye alikufa mwaka 1999... Mkuu wapi zamani au hujui kama Salim A Salim aliwahi kuwa pendekezo la mwalimu na kukosekana kwake ndio Nyerere hakuwa na jinsi isipokuwa kumweka Mkapa maanake hata Malecela aliisha haribu kuhusiana na serikali tatu.mkandara unachanganya madawa hapa
sali alizushiwa hayo mambo kwa uchaguzi wa 2005
muanzisha mada anazungumzia uchaguzi wa 1995
na uchaguzi huo salim hakuwepo kabisa katika wagombea,alisema bado ana majukumu oau
ni kweli mwalimu alimtaka achukue fomu,but hakuchukua