Nazjaz
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 7,691
- 8,843
Juzi tumeona majirani zetu wa Kenya na Uganda wakiandamana kupinga mfumuko wa bei, kupanda kwa bei ya mafuta na ugumu wa maisha kwa ujumla.
Tanzania tumekaa kimya, mafuta yanapanda bei kila uchao, umeme nao unapanda bila kuchoka. Vyakula havikamatiki kwa jinsi vilivyo panda bei.
Je haya nayaona kauzu mimi tu au hata nyie wenzangu mnaona?
Kwanini tusiandamane kuonyesha uchungu wetu?
Vigogo kwao maisha mazuri viyoyozi hadi kwenye mabanda ya mbwa wao.
Tanzania tumekaa kimya, mafuta yanapanda bei kila uchao, umeme nao unapanda bila kuchoka. Vyakula havikamatiki kwa jinsi vilivyo panda bei.
Je haya nayaona kauzu mimi tu au hata nyie wenzangu mnaona?
Kwanini tusiandamane kuonyesha uchungu wetu?
Vigogo kwao maisha mazuri viyoyozi hadi kwenye mabanda ya mbwa wao.