Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
vipi bei ya sukari kupanda inasababishwa na nani mfano kiwanda kiko kagera lakini sukari inauzwa tzs 2200 lakini kutoka kwenye kiwanda mpaka eneo lingine ni km 600 halafu sukari inauzwa tzs 2000...Mimi sitetei lakini Watanzania wana akili!! Serikali haiwezi kulalamikiwa kwenye swala la mafuta kwasababu hizi bei ni za kimataifa na hata sisi hapa USA bei inapanda!!. Vita vya Libya vinachangia kwa kiasi kikubwa sana na viongozi wa Africa wanatakiwa kumpa offer Ghadaffi aondoke.