Kwa wanaoangalia hivi huyu jamaa kasimama ama amepewa kiti na kukaa...maana hapa nasikia sauti tu...
Unakuwa na uwezo wa aina gani kuweza ongea pumba mfululizo kwa masaa matatu.
NASHAURI KUWE NA MATANGAZO YA BIASHARA KULIONGEZEA PATO TAIFA!!!
aliongea masaa manne kasorobo