Nimepitia Thread hii;
Nimegundua yafuatayo:-
1. Bado kuna namba kubwa sana ya wachangiaji hawafahamu nini maana ya utawala bora!
2. Kuna Wachangiaji wako shalow sana, kwamba hawezi hata kuchambua mambo ingawa uhuru walio nao unawafanya nao waonekane wachangiaji makini.
3.Kuna namba kubwa sana ya watu ambao hata hawajasikiliza hotuba ya Rais hivyo wengine wanamwaga maneno tu bila kujua kilichoongelewa nini, Namshukuru Mungu nimemsikiliza Rais mwanzo hadi mwisho. Najua ana weakness zake kama binadamu. Lakini changamoto aliyonayo Rais yetu ni kwamba wananchi wetu hawafahamu kwa nini Rais hataikiwi kumfukuza Kasheshe pale kwenye halimashauri yake.
4. Wale wanaofuatilia siasa za Tanzania... wanakumbuka polisi aliyefukuzwa na waziri mkuu.... etc.
Kumbe watu wengi tunamlaumu Mh. Rais wakati sisi wenyewe ni watu ambao tuko shallow sana.
Kasheshe,
Madhali wewe umeisikiliza hotuba nzima ya rais naomba utupe summary ukizingatia vigezo ulivyovitaja kama vile utawala bora ili tuache kuwa shallow na tuongeze uwezo wetu wa kuchambua. Asante!