Tanzania: Mikoa inayoongoza kwa Ukeketaji ni Manyara, Dodoma, Arusha, Mara na Singida

dubu

JF-Expert Member
Oct 18, 2011
3,496
3,461
Salaam Wakuu,

UKEKETAJI NI NINI?

Ukeketaji ni ukataji wa sehemu za siri za mwanamke. Ukataji huo unahusisha maeneo nyeti. Au ni kitendo chochote kinachojeruhi uke kutokana na sababu ambazo sio za kimatibabu.

Ukeketaji unaumiza wanawake na wasichana kimaungo na kiakili na hakuna faida yoyote ya kitabibu wakati wa kitendo hicho.

Historia ya ukeketaji imeendelea kuwepo kwa takribani karne 21 sasa. Serikali na Taasisi mbalimbali zinajitahidi kuhakikisha zinatokomeza ukeketaji nchini.

UKEKETAJI UNASABABISHWA NA NINI?

i). Kichocheo kikuu cha vitendo vya ukeketaji hapa nchini ni mila na desturi za baadhi ya makabila katika jamii za kumvusha rika mtoto wa kike kutoka usichana na kuwa mwanamke kamili.

ii). Jamii inayokeketa huamini kuwa msichana aliyekeketwa anakuwa tayari kuolewa, sababu hii imepelekea ongezeko la mimba na ndoa za utotoni.

iii). Sababu nyingine ni mila ya kutambika ikiwa pamoja na kutii masharti ya mizimu ya baadhi ya jamii kuamini kuwa ukeketaji huondoa mikosi katika familia.

iv). Vilevile, zipo sababu za kiuchumi ambapo ngariba na wazee wa mila hulipwa fedha au vitu ili kutimiza azma hiyo. Kadhalika, wazazi wa watoto wanaokeketwa huwa na matarajio ya kuwaoza mabinti zao kwa lengo la kupata kipato kupitia mahari inayotolewa.

UKEKETAJI UNA MADHARA GANI?

i). Ukeketaji una madhara makubwa kwa wanawake na watoto wa kike ikiwa ni pamoja na athari za kisaikolojia kama msongo wa mawazo kwani vitendo hivyo hufanywa bila ridhaa ya wahusika.

ii). Madhara ya kiafya yanayoweza kueandana na kutokwa damu nyingi wakati wa kujifungua na baadhi yao kupelekea kupoteza maisha.

iii). Madhara mengine ya kiafya ni maambukizi ya magonjwa ya zinaa na Virusi vya UKIMWI ikiwa vifaa vinavyotumika kukeketa havitatakaswa vyema.

iv). Madhara mengine ya ukeketaji ni pamoja na maumivu makali wakati wa ukeketaji kwa kuwa hakuna utaalamu unaotumika kupunguza maumivu wakati wa zoezi lote la ukeketaji.

v). Aidha, ukeketaji unaweza kusababisha ugonjwa wa fistula yaani kutokwa na haja ndogo bila kujizuia mara baada ya kujifungua.

Mikoa yenye viwango vikubwa vya ukeketaji ikijumuisha Mikoa ya Manyara (58%), Dodoma (47%), Arusha (41%), Mara (32%) na Singida (31%); hii ni kwa mujibu wa Utafiti wa Kidemografia na Afya Tanzania (Tanzania Demographic and Health Survey) wa mwaka 2015/16.

Bado kuna uwekezaji mdogo katika kukomesha Ukeketaji na ulinzi na usalama wa wanawake, matokeo yake kiwango cha ukatili na ukeketaji vinaendelea kuongezeka.

Ukeketaji bado ni changamoto kubwa katika jamii zinazokeketa. Kwa mujibu wa Utafiti wa Kidemografia na Afya Tanzania (Tanzania Demographic and Health Survey) wa mwaka 2015/16 ulibaini kuwa, mwanamke 1 kati ya 10 hapa nchini Tanzania amekeketwa.

Aidha, utafiti huo pia ulibaini kuwa kiwango cha ukeketaji kwa wanawake na watoto kinaongezeka kulingana na umri. Asilimia 19 ya wanawake wenye umri wa miaka kati ya 45 hadi 49 walikuwa wamekeketwa ukilinganisha na asilimia 5 ya wanawake wenye umri kati ya miaka 15 hadi 19.

Vile vile, utafiti huo ulibainisha kuwa wanawake wenye elimu ya sekondari wana uelewa mkubwa zaidi kuhusu athari za ukatili kwa asilimia 97 ukilinganisha na wanawake ambao hawakufikia ngazi ya elimu ya sekondari kwa asilimia 71.

Taarifa hiyo imeeleza pia kuwa wasichana wanaozaliwa au kulelewa na mama aliyekeketwa nao pia hukeketwa.

Taarifa hiyo ilibainisha pia kuwa asilimia 86 ya wanawake waliokeketwa hawakubaliani na kitendo hicho na wanatamani kisiwepo kabisa.

Ukeketaji.png

Chanzo cha Takwimu: UNFPA
 
Umenikumbusha enzi hizo Dodoma nilikuwa na demu wangu mmoja amekatwa ila alikuwa anapenda sana Jigijigi, Manyara pia niliwahi pata amekatwa lakini kwenye gemu hatari yule alikuwa MuiIraq singinda na mmasai wote nimetafuna na sikuona utofauti ila wao wanajihisigi kama hawana amani!
 
Mimi nimeshapita na wawili na mmoja ni mtu mzima walikuwa hawajakeketwa . Ila huku Arusha hili Suala ni kubwa
Arusha makabila mengi ni wap haswa kati ya wamasai na warangi na wengineo?
 
Umenikumbusha enzi hizo Dodoma nilikuwa na demu wangu mmoja amekatwa ila alikuwa anapenda sana Jigijigi, Manyara pia niliwahi pata amekatwa lakini kwenye gemu hatari yule alikuwa MuiIraq singinda na mmasai wote nimetafuna na sikuona utofauti ila wao wanajihisigi kama hawana amani!
Kabisa,hawana furaha,kuna wagogo kazaa nimepita nao,cha kwanza lazma uzime taa ndio muingie kwenye game
 
Wamaasai wao bado ndiyo tatizo kubwa alafu wanafuata wambulu na wairaq, lakini warangi na wanyaturu wengi wameelimika kwa sasa, na dini ya kiislamu imewaelimisha.
 
Salaam Wakuu,

UKEKETAJI NI NINI?

Ukeketaji ni ukataji wa sehemu za siri za mwanamke. Ukataji huo unahusisha maeneo nyeti. Au ni kitendo chochote kinachojeruhi uke kutokana na sababu ambazo sio za kimatibabu.

Ukeketaji unaumiza wanawake na wasichana kimaungo na kiakili na hakuna faida yoyote ya kitabibu wakati wa kitendo hicho.

Historia ya ukeketaji imeendelea kuwepo kwa takribani karne 21 sasa. Serikali na Taasisi mbalimbali zinajitahidi kuhakikisha zinatokomeza ukeketaji nchini.

UKEKETAJI UNASABABISHWA NA NINI?

i). Kichocheo kikuu cha vitendo vya ukeketaji hapa nchini ni mila na desturi za baadhi ya makabila katika jamii za kumvusha rika mtoto wa kike kutoka usichana na kuwa mwanamke kamili.

ii). Jamii inayokeketa huamini kuwa msichana aliyekeketwa anakuwa tayari kuolewa, sababu hii imepelekea ongezeko la mimba na ndoa za utotoni.

iii). Sababu nyingine ni mila ya kutambika ikiwa pamoja na kutii masharti ya mizimu ya baadhi ya jamii kuamini kuwa ukeketaji huondoa mikosi katika familia.

iv). Vilevile, zipo sababu za kiuchumi ambapo ngariba na wazee wa mila hulipwa fedha au vitu ili kutimiza azma hiyo. Kadhalika, wazazi wa watoto wanaokeketwa huwa na matarajio ya kuwaoza mabinti zao kwa lengo la kupata kipato kupitia mahari inayotolewa.

UKEKETAJI UNA MADHARA GANI?

i). Ukeketaji una madhara makubwa kwa wanawake na watoto wa kike ikiwa ni pamoja na athari za kisaikolojia kama msongo wa mawazo kwani vitendo hivyo hufanywa bila ridhaa ya wahusika.

ii). Madhara ya kiafya yanayoweza kueandana na kutokwa damu nyingi wakati wa kujifungua na baadhi yao kupelekea kupoteza maisha.

iii). Madhara mengine ya kiafya ni maambukizi ya magonjwa ya zinaa na Virusi vya UKIMWI ikiwa vifaa vinavyotumika kukeketa havitatakaswa vyema.

iv). Madhara mengine ya ukeketaji ni pamoja na maumivu makali wakati wa ukeketaji kwa kuwa hakuna utaalamu unaotumika kupunguza maumivu wakati wa zoezi lote la ukeketaji.

v). Aidha, ukeketaji unaweza kusababisha ugonjwa wa fistula yaani kutokwa na haja ndogo bila kujizuia mara baada ya kujifungua.

Mikoa yenye viwango vikubwa vya ukeketaji ikijumuisha Mikoa ya Manyara (58%), Dodoma (47%), Arusha (41%), Mara (32%) na Singida (31%); hii ni kwa mujibu wa Utafiti wa Kidemografia na Afya Tanzania (Tanzania Demographic and Health Survey) wa mwaka 2015/16.

Bado kuna uwekezaji mdogo katika kukomesha Ukeketaji na ulinzi na usalama wa wanawake, matokeo yake kiwango cha ukatili na ukeketaji vinaendelea kuongezeka.

Ukeketaji bado ni changamoto kubwa katika jamii zinazokeketa. Kwa mujibu wa Utafiti wa Kidemografia na Afya Tanzania (Tanzania Demographic and Health Survey) wa mwaka 2015/16 ulibaini kuwa, mwanamke 1 kati ya 10 hapa nchini Tanzania amekeketwa.

Aidha, utafiti huo pia ulibaini kuwa kiwango cha ukeketaji kwa wanawake na watoto kinaongezeka kulingana na umri. Asilimia 19 ya wanawake wenye umri wa miaka kati ya 45 hadi 49 walikuwa wamekeketwa ukilinganisha na asilimia 5 ya wanawake wenye umri kati ya miaka 15 hadi 19.

Vile vile, utafiti huo ulibainisha kuwa wanawake wenye elimu ya sekondari wana uelewa mkubwa zaidi kuhusu athari za ukatili kwa asilimia 97 ukilinganisha na wanawake ambao hawakufikia ngazi ya elimu ya sekondari kwa asilimia 71.

Taarifa hiyo imeeleza pia kuwa wasichana wanaozaliwa au kulelewa na mama aliyekeketwa nao pia hukeketwa.

Taarifa hiyo ilibainisha pia kuwa asilimia 86 ya wanawake waliokeketwa hawakubaliani na kitendo hicho na wanatamani kisiwepo kabisa.


Chanzo cha Takwimu: UNFPA
hao wa iringa ni iringa ya wapi? au wale masai na mang'ati wa ilambilole na mtera n.k? kwasababu nijuavyo wahehe, wakinga, wabena nk hata wanaume tu hawatahiri labda awe amezaliwa mjini. hao wanaokeketa iringa sio wahehe ni wafugaji.
 
Wamaasai wao bado ndiyo tatizo kubwa alafu wanafuata wambulu na wairaq, lakini warangi na wanyaturu wengi wameelimika kwa sasa, na dini ya kiislamu imewaelimisha.
dini ya kiislam ndio inafanya wakekete zaidi. somalia na sudani ndio wanakata yoote harage na mashavu panabaki peupe kabisa utakuta tu kishimo, bora huku kwetu wanaweza tu kukata harage wakakuachia walau mashavu ukashikeshike. kondoa wanakeketa sana, indonesia wanakeketa sana, uarabuni wanakeketa sana. misri na waarabu wa kaskazini wanakeketa sana. sasa sijui ni wapi unaongelea dini ilikosaidia.maeneo yote ya wagalatia hawakeketi kama sio kufuata tamaduni za kikabila.
 
Hii mikoa bado inaendelea na huu ukatili, wao wanachoamini ni kipi kiasi cha kukiuka sheria za nchi ?

mfano ukienda sehemu kama za kanda ya ziwa wanaume wanatahiriwa bila ganzi wao wanaamini huu ukatili ndio humfanya kijana awe mwanaume ila kiuhalisia ni ukatili tu, huku kwenye kukeketa waonwanachoamini ni nini ?

Manyara
Dodoma
Arusha
Mara
Singida
 
Hii mila ya kukeketa wanawake siku hiz inaonekana ni ya kishenzi lakini ndiyo mila iliyotunza maadili ya jamii husika. Wanawake wenyewe waliokeketwa wanawadharau wenzao ambao hawajakeketwa na kuwaona ni wachafu na ni wahuni. Nimekuwa nikiwahoji wanawake juu ya suala la ukeketaji, wasiokeketwa nao wanatetea hali yao kuwa inawapa raha kuliko wenzao waliokeketwa. Nimewahoji pia wanaume wanapendelea wanawake wa aina gani kati ya hayo makundi mawili, wapo wanaopendelea waliokeketwa wakidai wanaingia kule bila kizuizi moja kwa moja bila kusogeza kitu pembeni ili njia iwe nyeupe kuzama. Kuna wanaopendelea wasiokeketwa wakidai kile kidude kinawapa mzuka wanapokichezea kabla ya kuzama ndani kunako majamboz. All in all mila ya kukeketa ni nzuri inatunza maadili ya ndoa, wanawake waliokeketwa si wahuni kama wasiokeketwa
 
Salaam Wakuu,

UKEKETAJI NI NINI?

Ukeketaji ni ukataji wa sehemu za siri za mwanamke. Ukataji huo unahusisha maeneo nyeti. Au ni kitendo chochote kinachojeruhi uke kutokana na sababu ambazo sio za kimatibabu.

Ukeketaji unaumiza wanawake na wasichana kimaungo na kiakili na hakuna faida yoyote ya kitabibu wakati wa kitendo hicho.

Historia ya ukeketaji imeendelea kuwepo kwa takribani karne 21 sasa. Serikali na Taasisi mbalimbali zinajitahidi kuhakikisha zinatokomeza ukeketaji nchini.

UKEKETAJI UNASABABISHWA NA NINI?

i). Kichocheo kikuu cha vitendo vya ukeketaji hapa nchini ni mila na desturi za baadhi ya makabila katika jamii za kumvusha rika mtoto wa kike kutoka usichana na kuwa mwanamke kamili.

ii). Jamii inayokeketa huamini kuwa msichana aliyekeketwa anakuwa tayari kuolewa, sababu hii imepelekea ongezeko la mimba na ndoa za utotoni.

iii). Sababu nyingine ni mila ya kutambika ikiwa pamoja na kutii masharti ya mizimu ya baadhi ya jamii kuamini kuwa ukeketaji huondoa mikosi katika familia.

iv). Vilevile, zipo sababu za kiuchumi ambapo ngariba na wazee wa mila hulipwa fedha au vitu ili kutimiza azma hiyo. Kadhalika, wazazi wa watoto wanaokeketwa huwa na matarajio ya kuwaoza mabinti zao kwa lengo la kupata kipato kupitia mahari inayotolewa.

UKEKETAJI UNA MADHARA GANI?

i). Ukeketaji una madhara makubwa kwa wanawake na watoto wa kike ikiwa ni pamoja na athari za kisaikolojia kama msongo wa mawazo kwani vitendo hivyo hufanywa bila ridhaa ya wahusika.

ii). Madhara ya kiafya yanayoweza kueandana na kutokwa damu nyingi wakati wa kujifungua na baadhi yao kupelekea kupoteza maisha.

iii). Madhara mengine ya kiafya ni maambukizi ya magonjwa ya zinaa na Virusi vya UKIMWI ikiwa vifaa vinavyotumika kukeketa havitatakaswa vyema.

iv). Madhara mengine ya ukeketaji ni pamoja na maumivu makali wakati wa ukeketaji kwa kuwa hakuna utaalamu unaotumika kupunguza maumivu wakati wa zoezi lote la ukeketaji.

v). Aidha, ukeketaji unaweza kusababisha ugonjwa wa fistula yaani kutokwa na haja ndogo bila kujizuia mara baada ya kujifungua.

Mikoa yenye viwango vikubwa vya ukeketaji ikijumuisha Mikoa ya Manyara (58%), Dodoma (47%), Arusha (41%), Mara (32%) na Singida (31%); hii ni kwa mujibu wa Utafiti wa Kidemografia na Afya Tanzania (Tanzania Demographic and Health Survey) wa mwaka 2015/16.

Bado kuna uwekezaji mdogo katika kukomesha Ukeketaji na ulinzi na usalama wa wanawake, matokeo yake kiwango cha ukatili na ukeketaji vinaendelea kuongezeka.

Ukeketaji bado ni changamoto kubwa katika jamii zinazokeketa. Kwa mujibu wa Utafiti wa Kidemografia na Afya Tanzania (Tanzania Demographic and Health Survey) wa mwaka 2015/16 ulibaini kuwa, mwanamke 1 kati ya 10 hapa nchini Tanzania amekeketwa.

Aidha, utafiti huo pia ulibaini kuwa kiwango cha ukeketaji kwa wanawake na watoto kinaongezeka kulingana na umri. Asilimia 19 ya wanawake wenye umri wa miaka kati ya 45 hadi 49 walikuwa wamekeketwa ukilinganisha na asilimia 5 ya wanawake wenye umri kati ya miaka 15 hadi 19.

Vile vile, utafiti huo ulibainisha kuwa wanawake wenye elimu ya sekondari wana uelewa mkubwa zaidi kuhusu athari za ukatili kwa asilimia 97 ukilinganisha na wanawake ambao hawakufikia ngazi ya elimu ya sekondari kwa asilimia 71.

Taarifa hiyo imeeleza pia kuwa wasichana wanaozaliwa au kulelewa na mama aliyekeketwa nao pia hukeketwa.

Taarifa hiyo ilibainisha pia kuwa asilimia 86 ya wanawake waliokeketwa hawakubaliani na kitendo hicho na wanatamani kisiwepo kabisa.


Chanzo cha Takwimu: UNFPA
Ina maana ukeketaji hauna faida yoyote ile? Hii haiwezi kuwa scientific finding, bali ni kampeni ya ku discourage ukeketaji na ndiyo maana hadi sasa hali hiyo inaendelea.
Lazima faida ziwekwe wazi ili iangaliwe kama faida zile za kipindi kile zina validity yoyote kwenye maisha na mazingira ya sasa.

Madhara yote yaliyotajwa hapo, katika mazingira ya sasa mbona improvements zinaweza zikafanyika na kuondoa hizo hatari? Na wapo ambao wanachukua tahadhari zote ili kukwepa hizo changamoto.

Kampeni zikiendelea kwa vitisho bila kuelimisha, trust me hiyo vita itazidi kuwa ngumu.
 
sasa mbona wale wa baadhi ya mikoa ya hapo ndio wanasufika zaidi nchi nzima kwa kugawa ?
hao wanaosifika kwa kugawa hawajakeketwa. Uliza wanawake wenzao waliokeketwa hawafichi siri watakuambia
 
dini ya kiislam ndio inafanya wakekete zaidi. somalia na sudani ndio wanakata yoote harage na mashavu panabaki peupe kabisa utakuta tu kishimo, bora huku kwetu wanaweza tu kukata harage wakakuachia walau mashavu ukashikeshike. kondoa wanakeketa sana, indonesia wanakeketa sana, uarabuni wanakeketa sana. misri na waarabu wa kaskazini wanakeketa sana. sasa sijui ni wapi unaongelea dini ilikosaidia.maeneo yote ya wagalatia hawakeketi kama sio kufuata tamaduni za kikabila.
Sio kweli,uislami hauruhusu ukeketaji.Hizo ni mila zao.
Uislamu unaruhusu kukata govi,kwa wanaume tu.Kukata govi inasaidia kwenye kuambukizana ukimwi(STD).
View attachment 2709267
 
Back
Top Bottom