Sasa hivi hakuna ujasiri tena wa kimsimamo. Mtindo uliopo sasa nikuvizia kusubiri tamko la AU na sisi tujichomeke humohumo. Hakukuwa na lolote kwa Ivory Coast wala Madagaska mpaka ulipotolewa msimamo wa AU ndiyo unamuona Membe anaibuka nalo. We exist without loci Tumekuwa bendera fuata upepo.