Tanzania isitishe uhusiano wa Kibalozi na Utawala dhalimu wa Muammar al-Gaddafi

Hakuna uchaguzi Libya kwa miaka 40 na ushee.
Ametangaza vita vya makombora dhidi ya raia wa Linda wasio kubaliana naye kisiasa.

Mkuu inawezekana unachoongea ni ukweli. Lakini unajua Saudia Arabia ilifanya uchaguzi lini? Unajua uchaguzi wa Kuwait ulifanyika lini? pamoja na kuwa nchi hizo ni Kingdoms kama Ungereza na Uholanzi mbona wao hawafanyi uchaguzi? kwanini tusiwalaani? Saudia mpaka leo kuna utumwa na watu kukatwa vichwa, mbona wao bado ni watu wa maana kuliko Gadafi?

Unakumbuka 1994 Marakeni ilivyopeleka vifaru LA dihi ya raia wake?

Point ni kuwa unaweza kuona kuwa kuna ajenda nyingine hapoa zaidi ya udhalimu, madhalimu wako wengi tu, si Gadafi peke yake.
 
Usa opted out of libya matter for now leaving european confused.AFRICA UNION against foreign military intervesion to libya.ghadaf about to capture benghaz,sysria to start arming ghadafi via medditeranean .
Saudi and united arab emirate special force cross into baharan to help the king agaisnt revolt,kuwait special troops also on the way this tuesday morning,USA dont say anything about bahrain isnt this a double standard?
What is happening is a recipe for world war 3 towards the end of time.what also happened in ireland and japan confirm that REPENT PEOPLE THE END IS HERE
 
Mkuu inawezekana unachoongea ni ukweli. Lakini unajua Saudia Arabia ilifanya uchaguzi lini? Unajua uchaguzi wa Kuwait ulifanyika lini? pamoja na kuwa nchi hizo ni Kingdoms kama Ungereza na Uholanzi mbona wao hawafanyi uchaguzi? kwanini tusiwalaani? Saudia mpaka leo kuna utumwa na watu kukatwa vichwa, mbona wao bado ni watu wa maana kuliko Gadafi?

Unakumbuka 1994 Marakeni ilivyopeleka vifaru LA dihi ya raia wake?

Point ni kuwa unaweza kuona kuwa kuna ajenda nyingine hapoa zaidi ya udhalimu, madhalimu wako wengi tu, si Gadafi peke yake.

yeah,umenena tuache kufuata mkumbo kama tusio na uezo wa kutafakari EU WANATEGEMEA mafuta ya libya ndo alikua supplier mkuu ndo maana wanamkomalia ghadaf baada kusitisha suppliy.marekan hategemei mafuta ya libya ndo maana hajui afanye nini kuhusu kuimpose non flying zone ama la kwani ni costly na risk.
Military intervetion for now is out of option cause wanaogopa kunasa libya kama ilivokua irag na afaghstan kifupi hawana hela ya kupiganisha vita ingine na UK hawezi kwenda peke yake ni muflisi.marekan interest iko saudi ndo maana yuko kimya kuhusu kinachotokea huko na bahran,pia yemen.
Wakati bei ya mafuta iko juu iran na russia ndo big benèficialy wa kasheshe yote na ndo maana they are busy fanning the flame accros arab peninsula this is the coming back of persian and turkish empire USA can do nuthing about it but WHINING like a baby
 
Back
Top Bottom