Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
Jamani, Tanzania hatuna tena sauti ya kutetea wanaokandamizwa? Yaani tumepoteza kabisa hata msimamo wetu wa "kila binadamu anastahili haki ya kuthaminiwa na kutambuliwa utu wake"?
Leo hii Botswana ndio wanaongoza na sitoshangaa Namibia watafuatia wakati sisi viongozi wetu wanacheka cheka na huyu kichaa wa Libya. Of course I know serikali yetu haina uwezo au ujasiri huo hasa baada ya kupokea favors nyingi toka kwa Gaddafi lakini kweli tumeuza na utu wetu kwa sababu kuombaomba kwa viongozi wetu?
aibu na fedheha!!
Leo hii Botswana ndio wanaongoza na sitoshangaa Namibia watafuatia wakati sisi viongozi wetu wanacheka cheka na huyu kichaa wa Libya. Of course I know serikali yetu haina uwezo au ujasiri huo hasa baada ya kupokea favors nyingi toka kwa Gaddafi lakini kweli tumeuza na utu wetu kwa sababu kuombaomba kwa viongozi wetu?
aibu na fedheha!!