Tanzania isitishe uhusiano wa Kibalozi na Utawala dhalimu wa Muammar al-Gaddafi

Mzee Mwanakijiji

Platinum Member
Mar 10, 2006
33,476
39,995
Jamani, Tanzania hatuna tena sauti ya kutetea wanaokandamizwa? Yaani tumepoteza kabisa hata msimamo wetu wa "kila binadamu anastahili haki ya kuthaminiwa na kutambuliwa utu wake"?

Leo hii Botswana ndio wanaongoza na sitoshangaa Namibia watafuatia wakati sisi viongozi wetu wanacheka cheka na huyu kichaa wa Libya. Of course I know serikali yetu haina uwezo au ujasiri huo hasa baada ya kupokea favors nyingi toka kwa Gaddafi lakini kweli tumeuza na utu wetu kwa sababu kuombaomba kwa viongozi wetu?


aibu na fedheha!!
 
Ujasiri huo watautoa wapi wakati wenyewe ni mababa wa ukandamizaji,yaliyotokea Arusha yanatofauti gani na ya Libya?(based on ratio math).
 
Jamani, Tanzania hatuna tena sauti ya kutetea wanaokandamizwa? Yaani tumepoteza kabisa hata msimamo wetu wa "kila binadamu anastahili haki ya kuthaminiwa na kutambuliwa utu wake"?

Leo hii Botswana ndio wanaongoza na sitoshangaa Namibia watafuatia wakati sisi viongozi wetu wanacheka cheka na huyu kichaa wa Libya. Of course I know serikali yetu haina uwezo au ujasiri huo hasa baada ya kupokea favors nyingi toka kwa Gaddafi lakini kweli tumeuza na utu wetu kwa sababu kuombaomba kwa viongozi wetu?


aibu na fedheha!!
MBONA HUTUELEZI UDHALIMU WA GADAFI???????
dunia ya sasa hivi ni ULIMWENGU-MASLAHI...unajua na ndio maana umeikimbia nchi yako na kwenda kuishi ughaibuni.
eleza udhalimu wa GADAFI uone tutakavyokushukia
 
MBONA HUTUELEZI UDHALIMU WA GADAFI???????
dunia ya sasa hivi ni ULIMWENGU-MASLAHI...unajua na ndio maana umeikimbia nchi yako na kwenda kuishi ughaibuni.
eleza udhalimu wa GADAFI uone tutakavyokushukia
Ndugu unaishi dunia gani, inasikitisha unavyojifanya huelewi madhambi ya gadafi aliyoyafanya na anayoendelea kuyafanya. Au huelewi maana ya udhalimu.
 
Jamani, Tanzania hatuna tena sauti ya kutetea wanaokandamizwa? Yaani tumepoteza kabisa hata msimamo wetu wa "kila binadamu anastahili haki ya kuthaminiwa na kutambuliwa utu wake"?

Leo hii Botswana ndio wanaongoza na sitoshangaa Namibia watafuatia wakati sisi viongozi wetu wanacheka cheka na huyu kichaa wa Libya. Of course I know serikali yetu haina uwezo au ujasiri huo hasa baada ya kupokea favors nyingi toka kwa Gaddafi lakini kweli tumeuza na utu wetu kwa sababu kuombaomba kwa viongozi wetu?


aibu na fedheha!!

Mkjj ndoto zingine zinafurahisha na au kuumiza
 
Hawa Botswana ni matokeo ya upeo mdogo wa politics na cheap moribund publicity-hii dunia ya leo rash decisions kama hizi can cost a nation.H ata hao big nations wanatazama upepo-there is more to politics then sees the eye.Mnakumbuka museveni aliside upande wa opposition ya kenya baada ya uchaguzi then what happened,it was a costly mistake petrol ikawa haipiti kwenda uganda.Big man museveni had to eat humble pie otherwise uganda was slowly choking
 
Kaka; huyo jamaa kwa baadhi yetu ni kama nabii. Kumzungumzia kwa suala hilo unagusa moja kwa moja imani za watu. Unajua aliyoyafanya nchi hii? Alivyojenga majumba ya ibada na mamisaada kibao kwa kutazamana kwanza usoni? Nachelea usijeambiwa mdini wewe; jiandae kupambana na hoja za aina hiyo.
 
...mnh,
ngojeni kwanza Serikali imalize taratibu za kuwaondoa ndugu zetu kule. Huyu jamaa 'Ghaddafi' hatabiriki, naamini bado ana kisasi na kile kipondo cha Lukaya Uganda War 1978-1979.

Govt considering Libya evacuations Tanzanians from Libya


Wednesday, 23 February 2011 21:38 digg

By Lucas Liganga and Agencies

Dar es Salaam. The government said yesterday it is monitoring closely the political situation in Libya for possible evacuation of its nationals following a revolt against the North African country leader Muammar Gaddafi.

More than 1,000 people have reportedly been killed by pro-Gaddafi gunmen by yesterday as countries with strong business ties with Africa's third largest oil producer scrambled to evacuate their citizens.

"The government is monitoring and keeping a close eye on the political situation in Libya for possible evacuation of our people when time is ripe," said Assah Mwambene, principal information officer with the ministry of Foreign Affairs and International Cooperation.

source; Govt considering Libya evacuations Tanzanians from Libya
 
MwanaKijiji kwani hujui AU inaongozwa na ma-criminal wanaotesa wananchi wao katika nchi na wengine wanaingia madarakani bila ya matakwa ya wananchi wao kama Kikwete ni mmoja wao kwa kuwa yupo kwenye chama cha AU ambao ni wahalifu wa haki za kibinaadam na manyanyaso ya raia wao
 
tusitishe pia na marekani,si wanaua huko Iraq na Afhanistan kwa kisingizio cha ugaidi kumbe wana shida na mafuta,tuna uhakika gani sicho wanachokitaka huko Libya kwa visingizio vya kijinga,au hao huko Iraq na Afhanistan si binadamu,wa Libya ndo binadamu?
 
Jamani, Tanzania hatuna tena sauti ya kutetea wanaokandamizwa? Yaani tumepoteza kabisa hata msimamo wetu wa "kila binadamu anastahili haki ya kuthaminiwa na kutambuliwa utu wake"?

Leo hii Botswana ndio wanaongoza na sitoshangaa Namibia watafuatia wakati sisi viongozi wetu wanacheka cheka na huyu kichaa wa Libya. Of course I know serikali yetu haina uwezo au ujasiri huo hasa baada ya kupokea favors nyingi toka kwa Gaddafi lakini kweli tumeuza na utu wetu kwa sababu kuombaomba kwa viongozi wetu?


aibu na fedheha!!

Wanasubiri kuunda tume!

MBONA HUTUELEZI UDHALIMU WA GADAFI???????
dunia ya sasa hivi ni ULIMWENGU-MASLAHI...unajua na ndio maana umeikimbia nchi yako na kwenda kuishi ughaibuni.
eleza udhalimu wa GADAFI uone tutakavyokushukia

wenye nchi wanampinga na wako tayari kufa, wewe mmakonde unasema Gadafi mzuri !!! you need doctor for sure
 
yaani kwa vile kaleta misaada ambayo sasa inaonekana imejaa damu ndio baadhi ya watu wanasema tumkumbatie tu? Utumwa gani huu wa kifikra ambao tunao sasa? Wanajeshi wake wanakimbia na ndege kukataa kuwalipua wananchi wao hapa watu wanasema "tuoneshe udhalimu wa Ghadaffi" Utii au upendo wa aina gani huu?
 
is he ur daddy?
tusitishe pia na marekani,si wanaua huko Iraq na Afhanistan kwa kisingizio cha ugaidi kumbe wana shida na mafuta,tuna uhakika gani sicho wanachokitaka huko Libya kwa visingizio vya kijinga,au hao huko Iraq na Afhanistan si binadamu,wa Libya ndo binadamu?
 
yaani kwa vile kaleta misaada ambayo sasa inaonekana imejaa damu ndio baadhi ya watu wanasema tumkumbatie tu? Utumwa gani huu wa kifikra ambao tunao sasa? Wanajeshi wake wanakimbia na ndege kukataa kuwalipua wananchi wao hapa watu wanasema "tuoneshe udhalimu wa Ghadaffi" Utii au upendo wa aina gani huu?
kaka Heshima ya mtu ni utu wake wala sio fedha na mavazi,alisema baba wa Taifa
tatizo la sasa nchi yetu imeshakosa kabisa heshima kwa kukumbatia hizo fedha chafu kwa kisingizio cha misaada.
 
"When Africa is burning and the African Union is silent you begin to wonder whether this Organization is serious" - Phandu Skelemani
MwanaKijiji kwani hujui AU inaongozwa na ma-criminal wanaotesa wananchi wao katika nchi na wengine wanaingia madarakani bila ya matakwa ya wananchi wao kama Kikwete ni mmoja wao kwa kuwa yupo kwenye chama cha AU ambao ni wahalifu wa haki za kibinaadam na manyanyaso ya raia wao
 
Viongozi wetu ni dhalimu kuliko Gadafi. Kama pamoja na ushahidi uliowazi kuhusu wizi wa dowans bado wanashinikiza kumlipa, Gadafi anakuwa kama malaika nikimlinganisha na hawa wa kwetu!
 
Back
Top Bottom