Zinedine
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 1,187
- 694
pole mwenzetu, kwa maneno ya zanzibar tunasema umechelewa kibweni kwa kuitaka mtoni.
wazanzibar siku zote hawatayumba juu ya kile wanachokiamini, kuminywa na nguvu zinazotumika kuwatisha zamani waliogopa, na mbinu ya wagawe uwatawale ambayo ilikuwa ikitumika ndio iliochelewesha moto huu
ila kwa sasa hakuna la kuwarejesha nyuma. na weshang'amua janja ya nyani, kazi mnao mtapayukwa sana mwaka
na tukuimbieni
zee la nyeti wacha kupiga misere
yamekushinda wache wajilie vya wenyewe
Mh, ivi ni kweli Umma wa Watanganyika wanauhitaji Muungano au? ivi kwanini wazanzibari mnapenda kuaminisha kwamba umma wa watanganyika wanapenda Muungano? Walah hawaupendi na kamwe hawataupenda kwani nothing gained by individual people from Tanganyika.