Tanzania ina nguvu kubwa ya jeshi kusini mwa Africa

kwenye hili sakata la Ziwa Nyasa sasa ndio tutajuwa kama tuna wanajeshi au tuna Mgambo...
 
Msisahau siku hizi ukiona ka-nchi kama Malawi kanakuwa na Kiburi ukiachilia mbali hali yake mahututi ya kiuchumi, ujue si bure wanaweza kuwa na baunsa nyumba yao. Na siku hizi vita havipiganwi na nchi moja tu, hizi vurugu tunazoziona Kongo, Syria, na hata kule Libya wakati ule, zile silaha wanazipata wapi makundi haya yanayoasi?? Kama Mafuta na Madini yanalipa msishangae vita ikawa ngumu. Nimekagua ramani zinazotumiwa na taasisi mbalimbali, ramani rasmi za kimataifa zinaonyesha maeneo yenye mgogoro na mpaka wa Ziwa Nyasa ni mmojawapo. Rmani ya UN haikuweka alama kabisa katika Ziwa, na ni vigumu kujua mpaka unapita wapi, ila ramani inayotumiwa na serikali utaona mpaka unapita katikati ya Ziwa Nyasa.

Ninakumbuka pia wakati huo tulipokuwa tunajifunza kushora ramani shule ya Msingi na Hata Sekondari, kale kamstari ka Ziwa Nyasa kalikuwa kananisumbua sana na wakati wote nilikuwa najiuliza kwanini kajikunje vile, na kuna wakati niliamini kalikuwa kanalikwepa Ziwa Nyasa. Tusubiri tuone
 
Msisahau siku hizi ukiona ka-nchi kama Malawi kanakuwa na Kiburi ukiachilia mbali hali yake mahututi ya kiuchumi, ujue si bure wanaweza kuwa na baunsa nyumba yao. Na siku hizi vita havipiganwi na nchi moja tu, hizi vurugu tunazoziona Kongo, Syria, na hata kule Libya wakati ule, zile silaha wanazipata wapi makundi haya yanayoasi?? Kama Mafuta na Madini yanalipa msishangae vita ikawa ngumu. Nimekagua ramani zinazotumiwa na taasisi mbalimbali, ramani rasmi za kimataifa zinaonyesha maeneo yenye mgogoro na mpaka wa Ziwa Nyasa ni mmojawapo. Rmani ya UN haikuweka alama kabisa katika Ziwa, na ni vigumu kujua mpaka unapita wapi, ila ramani inayotumiwa na serikali utaona mpaka unapita katikati ya Ziwa Nyasa.

Ninakumbuka pia wakati huo tulipokuwa tunajifunza kushora ramani shule ya Msingi na Hata Sekondari, kale kamstari ka Ziwa Nyasa kalikuwa kananisumbua sana na wakati wote nilikuwa najiuliza kwanini kajikunje vile, na kuna wakati niliamini kalikuwa kanalikwepa Ziwa Nyasa. Tusubiri tuone

Wewe muongo zile ramani tulizokuwa tunachora shuleni mstari wa mpaka ulikuwa unapita katikati ya ziwa nyasa.
 
Wamalawi wakijaribu watajuta tutateka Ziwa Nyasa lote na baadhi ya miji...zipo F-16-Air Fighter mpya pamoja na Tanks land type mpya zipo kwenye barrack zetu.

Sure bro!?? This ain't politiki...
 
Bimkubwa wewe kweli ni kituko. Yaani kila uandikapo u.pupu wako lazima nicheke.

Hapo kwenye hayo maandishi mekundu yaliyokolea (bold red), vitu vikishakuwa viwili vinatambulishwa kwa uwingi na si umoja. Kwa hiyo ni missiles mbili na siyo missile mbili.

Umeelewa Bimkubwa? Halafu ushawahi kusikia kuhusu drones wewe?

Drones,... drones,.... drones,.... yes, nadhani ni PILOT asiye na NDEGE
 
Hivi nguvu ya kijeshi ni watu (wanajeshi) au vifaa? Je kuwa na nguvu kubwa ya kijeshi na wakati hakuna hata ishara yoyote ya vita inatusaidia nini??????. fedha hii inayotumika kuhudumia jeshi hili kubwa itumike kwa shughuli za maendeleo ya nchi yetu.
 
Sijakuelewa mtoa hoja! Kwa sababu ushindi vitani ndio unadetamine nani mwenye nguvu! Na ili ushinde vita kuna kanuni zake! Mojawapo Jee Uchumi wako unaweza ukahimili vita....?
 
BALANCE OF MILITARY POWER IN AFRICA
African CountryActive TroopsReserveParamilitaryTotal Troops
Egypt4500002540004050001109000
Eritrea2020002500000452000
Morocco19630015000013500359800
Algeria12750015000060000337500
Sudan104500095000199500
Ethiopia18250000182500
Nigeria78500082000160500
Libya76000400003000119000
Tanzania27000800001400108400
Angola100000--100000a
DRC838000140085200
Rwanda6100001000071000
Uganda600000180061800
South Africa55750--55750
Zimbabwe3200002180053800
Burkina Faso600045000180052800
Tunisia3500001200047000
Burundi400000550045500
Chad303500450034850
Cameroon231000900032100
Kenya241200500029120
Côte d'Ivoire170500700024050
Zambia216000140023000
Madagascar135000810021600
Mauritania15750-450020250
Guinea97000960019300
Senegal94000580015200
Namibia90000600015000
Sierra Leone130000013000
Liberia130000013000
Mali73500480012150
Republic of the Congo100000200012000
Djibouti98500140011250
Guinea-Bissau92500200011250
Niger53000540010700
Botswana90000150010500
Togo9450075010200
Mozambique100000010000
Benin4550030007550
Ghana7000007000
Malawi5300015006800
Gabon4700015006200
Equatorial Guinea1320020003320
Central Afr Republic1400010002400
Lesotho2000002000
Cape Verde1200001200
Gambia80000800
Seychelles4500250700

Tanzania vs Malawi
108400 6800

Ratio ni 1:16

Kwa ratio ya watu tumeshinda kama tutapigana mieleka na labda ngumi, ila je ratio ya vifaa vya kivita ipoje? Unaweza kuta Malawi wapo kisasa zaidi
 
Jamani mie simo, kwa wale mnaotumia hii takwimu kulinganisha Tanzania na Malawi, ratio ya idadi ya wanajeshi - Malawi hawataweza maana ni Mlw 1:16 TZ, (na hapo kama vita itakuwa ya mieleka au ngumi, ila sina uhakika kama JWTZ wetu wataweza maana wazee ni wengi na wanavitambi, halafu wengi wao ni watoto wa wakubwa "brothermen/sister dos". Hoja ingine je ratio ya vifaa ipoje, maana unaweza kuta Malawi ni wachache 6,800 Vs TZ 1,08,400 ila wapo kisasa zaidi kutushinda na idadi yetu kubwa, lakini lingine mnakumbuka kuwa mabomu yetu mengi tu yalishalipuka (Mbagala na Gongo la Mboto) je tumeishapata mengine? Mie nadhani hii ya vita tuiahirishe kwa muda maana tunaweza chekwa kwamba tumepigwa na mwanamke
 
mwadhani ikitokea vita malawi wataingia peke yao...! yawezekana kuna "imvisible hand" hasa kwa zile nchi ambazo wanatarajia kuchimba mfuta humo kupita ZAMBI. hali tete bado vinginevyo, tunawazidi kitekinolojia
 
wao na waingereza sisi na mjerumani! mchina nae hawezi kukuali soko lake life hapa bongo! waindi jee? wazee wakujitoa muhanga jee? bado mafreemansonjje? wazee wa upako je? wamekwisha malawi! mimi wangu mtoto au mjukuu wa kike wa madam joyce
 
wao na waingereza sisi na mjerumani! mchina nae hawezi kukuali soko lake life hapa bongo! waindi jee? wazee wakujitoa muhanga jee? bado mafreemansonjje? wazee wa upako je? wamekwisha malawi! mimi wangu mtoto au mjukuu wa kike wa madam joyce

mtoto wake wa kike wangu mkuu, we wako labda mjukuu
 
Tanzania hata mpira huwa tunachezea mdomoni.

Ulimpiki pia tulijingamba tutachukua medali.

Sitashangaa siku wanajeshi wanakabidhiwa bendera, ukasikia " Mungu ibariki tanzania, naomba wananchi wawaombee wanajeshi wanaokwenda vitani", kana kwamba Mungu ni wa tz peke yake.
 
intelegencia ya Malawi iko bomba! Imegundua kwa sasa Tz ni dhaifu ktk mihimili yote ya dola!
Wanajua kabisa ufisadi umeibemenda nchi, wanajua kabisa penye udhia ni wapi watumbukize rupia! Muda utasema.
 
Hakuna kuchelewa sasa vita kwa kwenda mbele hao jamaa wanaifanya bongo kama shamba la bibi,tuwakamue mpaka lilongwe then wajue kuwa simba akiloa sio paka
Tukimaliza hao jamaa tutawafuata wahindi na makabachori wengine woote walioigeuza bongo mali yao
Mungu ibariki tanzania na watu wake
 
Is this supposed to be a joke? like for real y'all think you have the best army in East and Central Africa? Hahahaha, the OP should put that bong down and get his facts right, wars are not fought by numbers, advanced weaponry and tact fight wars, courage (which is drilled into soldiers by training and modern weaponry,) fight wars, not 27,000 demotivated, poorly trained soldiers with out dated firepower and patriotism. an F-15 fighter jet or sukhoi can do the work of a thousand foot soldiers. i aint tryina rain on your parade or anything, am just being real, I think the Iddi Amin scuffle made some of you think that you are a military powerhouse, nduli Iddi Amin gave y'all the wrong impression of war, THIS IS MODERN WAR FARE, Malawi can take you out if they arm their 5000 soldiers well, so stop gloating.
 
Back
Top Bottom