Mpaka hivi sasa, kiuhakika, nakerwa kupita kiasi na mizaha ya baadhi ya wanasiasa kugeuza MITAMKO NYETI YA KIVITA kuwa ni jambo la kuchezea ovyo tu mitaani bila kujali ATHARI wanazozileta kwa TAALUMA HII MUHIMU YA KAZI YA ULINZI wa mipaka yetu.
Naam, nasema kwamba wanasiasa hawa wananikera kuliko hata Mama Joyce Banda anavyonitatiz na msimamo wake wa KUTUCHOKONOA MACHO makusudi kwa uchokozi wake ndani ya ardhi yetu!!!!!!!!!!!!!!
Hivi ni nani mwenye hekima tupataye atakayewaziba midomo hawa ma-OPPORTUNISTS kama Lowassa kuacha mara moja kuchezea mmbo ya kitaaluma kijeshi mitaani hivi????????
Amiri jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama anapima upepo kwanza kabla ya kuitisha kikao na wazee wa Dar es salaam ili ampe vidonge vyake Joyce Banda. Kuhusu kuwaziba midomo wakina Lowassa sina uhakika kama hiyo itakuwa ni mojawapo ya ajenda ya mkutano wa mkulu na wazee wa Dar.