LE GAGNANT
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 1,241
- 251
nguvu ya idadi ya wanajeshi ila kwa mujibu wa taarifa ni kuwa kenya ndio wenye most morden army in east ¢ral afrika
kweli kabisa, tz tuna zana za mitumba.
nguvu ya idadi ya wanajeshi ila kwa mujibu wa taarifa ni kuwa kenya ndio wenye most morden army in east ¢ral afrika
Idadi ya wanajeshi haina maana sana. Kigezo muhimu ni ujuzi na vifaa vya kivita walivyonavyo wanajeshi hao.
Wanajeshi wa Tanzania wamezoea kuonea raia tu, na wanatumiwa na watawala kukandamiza haki za wananchi badala ya kutetea maslahi ya Taifa.
Wanajeshi wa Tanzania wanatumika kulinda uporaji wa raslimali za Tanzania kuzipeleka kwa wageni nje, kulinda viongozi mafisadi, kupiga virungu na mabomu ya machozi wananchi wanaodai haki zao kwa amani, n.k.
Kwa mtaji huu, jeshi la Tanzania litashindwa vibaya sana na Malawi kwa sababu ya laana iliyojikusanyia kwa vitendo vyake hivyo vyote.
Idadi ya wanajeshi haina maana sana. Kigezo muhimu ni ujuzi na vifaa vya kivita walivyonavyo wanajeshi hao.
Wanajeshi wa Tanzania wamezoea kuonea raia tu, na wanatumiwa na watawala kukandamiza haki za wananchi badala ya kutetea maslahi ya Taifa.
Wanajeshi wa Tanzania wanatumika kulinda uporaji wa raslimali za Tanzania kuzipeleka kwa wageni nje, kulinda viongozi mafisadi, kupiga virungu na mabomu ya machozi wananchi wanaodai haki zao kwa amani, n.k.
Kwa mtaji huu, jeshi la Tanzania litashindwa vibaya sana na Malawi kwa sababu ya laana iliyojikusanyia kwa vitendo vyake hivyo vyote.
Malawi wana jeshi la anga bora zaidi ya tz. Marubani wengi wa precisionair wanatoka Malawi Airforce.
Ni Nyerere ama Nyenyere ilimaanisha, jibu hapo kisha tuendelee...
Ni Tabora hii, utaipenda tu.
Vipi kuhusu uraia wa Malawi, ushachukua?