DAR si LAMU
JF-Expert Member
- Mar 31, 2007
- 2,928
- 544
Hivi kuna mtu bado anamsikiliza MEMBE?
..una matatizo naye?
Hivi kuna mtu bado anamsikiliza MEMBE?
SADC ilipeleka waangalizi wa uchanguzi huko Zimbabwe tangu mwanzo. Wametoa ripoti yao ya jinsi walivyoona kuanzia kampeni mpaka uchaguzi wenyewe. Ni kuwa uchaguzi huo haukutimiza hata moja ya taratibu ili uitwe wa kidemokrasia. Kufiuatia taarifa hiyo Tanzania inaweza kutoa tamko kama ilivyotoa.
Kuna Mtanzania asiye na matatizo na FISADI?..una matatizo naye?
Tupatie mahali iliposema kuwa hata moja ya masharti hayakutimizwa.
Kuna Mtanzania asiye na matatizo na FISADI?
..ppl,..kuna jambo linashangaza sana. siku zote humu watu huongelea na kulaumu jinsi viongozi wa kiafrika wasivyowajibika na wanavyolindana. sasa,imetokea angalau wameongea au kuamua jambo la maana,basi ishakuwa nongwa, wanaanza kushambuliwa...wakati mwingine lazima tukubali kuwa kuna mambo ya maana viongozi wetu huyafanya. tuache unafiki!
..ppl,
..kuna jambo linashangaza sana. siku zote humu watu huongelea na kulaumu jinsi viongozi wa kiafrika wasivyowajibika na wanavyolindana. sasa,imetokea angalau wameongea au kuamua jambo la maana,basi ishakuwa nongwa, wanaanza kushambuliwa.
..wakati mwingine lazima tukubali kuwa kuna mambo ya maana viongozi wetu huyafanya. tuache unafiki!
Tatizo ni credibility ya hao wanazungumza, wenyewe wana kiporo cha CUF na CCM ambacho hawatangulizi maslahi ya taifa ambayo wanamuhubiria Mugabe ayazingatie.
Tatizo ni credibility ya hao wanazungumza, wenyewe wana kiporo cha CUF na CCM ambacho hawatangulizi maslahi ya taifa ambayo wanamuhubiria Mugabe ayazingatie.
Mkuu,
Lakini kweli hai-click kwako kwamba ni kwanini Membe atoe kauli hii akiwa Tanzania badala ya hata pale nje ya jumba la mikutano la AU?
Mkuu,
Lakini kweli hai-click kwako kwamba ni kwanini Membe atoe kauli hii akiwa Tanzania badala ya hata pale nje ya jumba la mikutano la AU?
Kwa sababu kilichosemwa ndani ya jengo la AU sio anachokisema ndani ya jengo la Maelezo.
Kama ndio hicho hicho, mbona hatukukisia kwa wale waandishi waliokuwemo ndani ya jengo la AU?
..ushawahi kumwona mbwa anayebweka baada ya mtu [labda mwizi] kupita? lakini msg si inakuwa sent kwamba...."kuna mbwa mkali"!
..no pun intended!
Tupatie mahali iliposema kuwa hata moja ya masharti hayakutimizwa.
...Mafuchila, muhimu tujifunze kuhukumu au kupongeza kwa yale viongozi wetu wanayofanya. Si vyema kila jambo lilaaniwe kwa kuelemea kwenye kumbukumbu za matendo yao.
..ushawahi kumwona mbwa anayebweka baada ya mtu [labda mwizi] kupita? lakini msg si inakuwa sent kwamba...."kuna mbwa mkali"!
..no pun intended!
.... tupatie ripoti inayosema kuwa masharti walau mawili hivi yalitekelezwa.
.... tupatie ripoti inayosema kuwa masharti walau mawili hivi yalitekelezwa.