Tanzania haitambui ushindi wa Mugabe - Membe

Nyie acheni unafiki!
Membe alikuwa akitoa kauli za ajabu ajabu na za kukinzana hata na RAIS MWENYEWE...!
KULIKONI LEO MNAFAGILIA HIVYO NA KUMWONA WA MAANA?
 
Binafsi sioni tatizo la kidiplomasia kutangaza wazi wakiwa Egypt! kwa sababu nia na sababu ni ile ile kwa nini tufiche hadi tufike bongo ndio tuanze kuwika?
 
Nahisi wengi wetu hatufahamu ni kiasi gani kauli hiyo ya Membe inaweza kucompromise sana na sera zetu, imani ya nchi nyingine kwetu, lakini la zaidi ile heshima tuliyojipatia kutoka kwa waafrika wenzetu itakuwa imemomonyolewa sana. Naamini kabisa, kauli ya Membe haina uhusiano na AU, lakini ambacho hakielewi kauli hiyo inaweza kutumika vibaya sana na wazungu kuwa ndio msimamo wa AU na hilo linaweza kuwakwaza wanachama wengine wa AU na kutufanya sote tuonekane hatuna maana. KWA HILI MIMI SIMO!
 
Membe ni mwenyekiti wa Baraza la Mawaziri wa Mambo ya Nje wa AU. labda hawakutaka kumuumbua Mugabe kule Egypt na kuwapa wazungu ujiko...

Mi nadhani hawawezi kumwambia Mugabe ana kwa ana kuwa hawamtambui kwani kufanya hivyo ni ku-risk kutukanwa.....
 
Membe ni mwenyekiti wa Baraza la Mawaziri wa Mambo ya Nje wa AU. labda hawakutaka kumuumbua Mugabe kule Egypt na kuwapa wazungu ujiko...

Kwa hiyo unaona ni vyema kwa Tanzania kuja kulizungumzia suala hili nje ya vikao halali vya AU. Hakuna mantiki yoyote kwa Membe kulizungumzia suala hili hivi sasa, zaidi ya kujipendekeza na kulipia msaada wa UK na EU kufumbia macho ufisadi unaoendelea.
 
Yes!

Katiba ya AU inasema kikao cha Marais Mwanakijiji na Kuhani hawawezi kuingia. Unless ni wapiga picha au waleta chai au wabeba ma briefcase (ma foreign ministers wamo humu).

Mugabe aliingia kufanya nini, kumletea mtu chai?

Mbona Mama Migiro alikuwepo.....au yeye ni raisi siku hizi?
 
Binafsi sioni tatizo la kidiplomasia kutangaza wazi wakiwa Egypt! kwa sababu nia na sababu ni ile ile kwa nini tufiche hadi tufike bongo ndio tuanze kuwika?

Halafu sasa hivi kuna utata juu ya utata.

Mwanachi wameandika ni Tanzania ndio imesema haimtambui. Lakini hakuna nukuu yenye maneno ya Membe yanayosema nani hamtambui, TZ au AU.

Taarifa ya TBC inasema Membe kasema ni AU haimtambui.

Halafu mwanahabari wa Radio ambayo imetuunganisha na taarifa ya TBC, Mwanakijiji, anaipongeza Serikali ya TZ.

Unaona mkorogo huo?

Nani hamtambui Mugabe, na ni lini na wapi wameamua hicho kitu?

Nyie wanahabari hebu msituchanganyie habari, tafadhali.
 
Binafsi sioni tatizo la kidiplomasia kutangaza wazi wakiwa Egypt! kwa sababu nia na sababu ni ile ile kwa nini tufiche hadi tufike bongo ndio tuanze kuwika?

Tatizo kule la Cairo wenye akili walikuwa wengi, hivyo angefungua mdomo wake wangemwambia shut up!
 
Wale niliowaambia haya mambo yanahusiana sasa watakubaliana na mimi wengine tunaona mbali!
Na mimi nawaambia kuwa hii ni vita mbaya!
Wale waliyoona ile video jana hapa ya MUGABE...Mutakumbuka wale walinzi wa EGYPT walipokuwa wakisema congratulations,huku wakimkatiza yule mzungu mwanahabari!
Na walinzi wote wakawa wanamwambia MUGABE ARUDIE...WALIKUWA WAKIMWAMBIA.."SAY IT AGAIN...SAY IT AGAIN" Pale Mugabe alipokuwa akiwaambia kuwa Zimbabwe si KOLONI LA MWINGEREZA TENA!
 
Na sasa nawaambia macho yaelekee huko JAPAN kwenye G8 summit kwani Egypt wataitumia issue hiyo kuwabana waingereza na wamarekani ili Israeli isiendelee kuwafanyia mbaya Pelestine na ama KUIWASHA MOTO IRAN.
Pia wasi wasi mwingine ni kwamba ISRAEL wanadhani kuwa eti Obama akishinda basi hawataendelea kupata mabilioni ya dollars wanayopewa na wamarekani kila siku.
Hivyo kama kweli wanaamini hivyo na kuona kuwa Obama atashinda na kama ni kweli kuwa Obama ana sera za kutokuwapa pesa nyingi kama ilivyo kawaida...Then wanaweza kuharakisha vita vya IRAN!
Hivyo basi G8 IS VERY IMPORTANT!
TAARIFA NYINGINE AMBAZO WAMETOA SASA NI KUWA KUNA MAONGEZI YANAENDELEA NA IRAN ILI KUUMALIZA MGOGORO HUO ILA KWA MASHART KWAMBA WASUSPEND NEUCLEAR ACTIVITIES.
 
Bush Aliposema You Are Either With Us Or Not...pale Ndio Mwanzo Wa Sera Zake Hizo..kuigawa Dunia..inawezekana Kuna Watu Ndani Ya Mashirika Ya Ulinzi Na Usalama Ya Marekani Ambao Hawataki Mwelekeo Huo Na Sasa Wako Radhi Kumlinda Obama Kwa Kila Hali!

Na Ama Kwa Hakika...kuingia Madarakani Kwa Obama Kunaweza Kutusaidia Sana.
Kwani Yeye Ana Sera Ambayo Haitaki Ma Lobbysts!(wale wanaowaonga wawakilishi wa wananchi ili wasimamie haki za makampuni na si wananchi)

Hao(lobbysts) Ni Wawakilishi Wa Makampuni Makubwa Ambayo Yana Nguvu Kubwa Na Ndiyo Yanayoiendesha Marekani!

Obama Amesema Sasa Ni Wakati Wa Issue Za Wananchi Na No More Special Interests...no More Lobbying For No Companies!

Kwa Kufanya Hivyo...amejitengenezea Maadui Wakubwa Ambao Hata Viongozi Wetu Wanawaogopa!

Kina Sinclair,Andrew Young Nk!
 
Yes!

Katiba ya AU inasema kikao cha Marais Mwanakijiji na Kuhani hawawezi kuingia. Unless ni wapiga picha au waleta chai au wabeba ma briefcase (ma foreign ministers wamo humu).

Mugabe aliingia kufanya nini, kumletea mtu chai?

aliingia akiamini kuwa yeye ni Rais wa Zimbabwe. Hadi mkutano unafanyika kule Misri AU hawakuwa na msimamo juu ya Mugabe, sasa wanao. Ina maana ukifanyika mkutano mwingine kesho, Mugabe akiruhusiwa kuingia kama Rais ndipo tungekuwa na mzozo.

Na pia sioni ugumu wa ili kueleweka. Kama msimamo hatimaye wa kutomtambua umekamilika nje ya muda wa kikao tatizo ni nini? Labda hadi jana ndio walikuwa wana negotiate na hatimaye kutoa msimamo wapamoja.

Sasa AU imesema haimtambui, itashangaza kama wanachama wake watakuwa wanamtambua!
 
Nadhani hapa kwa ujumla tumechemka kiasi ambacho hatujawahi. Kimsingi Membe amesaliti jitihada zote za waafrika katika kuhakikisha misimamo yetu ni kwa ajili ya maslahi ya bara letu. Hivi msimamo huo wa Membe unamsaidia nani hasa?
 
Ni Bora ila wasifanye kwa mashinikizo ya nje mbona walimkubali Kibaki?

This is double stadards, japo naunga mkono kutokumtambua Mugabe.


Kenya ni tofauti na Zimbabwe, kenya walifanya uchaguzi mmoja ambao ulishirikisha wagombea wote na ndio ukaleta utata, Zimbabwe umefanyika uchaguzi wa mtu mmoja tena chini ya Campaign za ku intimidate
 
Kama kweli Membe kasema kuwa AU haimtambui Mugabe, basi kasema uwongo ambao sielewi madhumuni yake yalikuwa ni nini. Angalia tamko la AU hapa chini.


Text of AU resolution on Zimbabwe

Wed 2 Jul 2008, 11:37 GMT

(Reuters) - African leaders at a summit in Egypt issued a resolution on July 1 calling on Zimbabwe President Robert Mugabe's government and the opposition Movement for Democratic Change (MDC) to negotiate a unity government. Following is a full official text of the resolution:

AU SUMMIT RESOLUTION ON ZIMBABWE


The African Union Assembly, meeting in its 11th Ordinary Session held on June 30 to July 1, 2008 in Sharm El Sheikh, Egypt,


DEEPLY CONCERNED with the prevailing situation in Zimbabwe;


DEEPLY CONCERNED with the negative reports of SADC, the African Union and the Pan-African Parliament observers on the Zimbabwean Presidential run-off election held on June 27, 2008;


DEEPLY CONCERNED about the violence and the loss of life that has occurred in Zimbabwe.


CONSIDERING the urgent need to prevent further worsening of the situation and with a view to avoid spread of conflict with the consequential negative impact on the country and the sub-region;


FURTHER CONSIDERING the need to create an environment conducive for democracy, as well as the development of the people of Zimbabwe;


EXPRESSING its appreciation to SADC, and its Organ on Politics, Defence and Security Co-operation, as well as the Facilitator of the intra-Zimbabwe dialogue, His Excellency Thabo Mbeki, President of the Republic of South Africa, and His Excellency Jean Ping, Chairperson of the African Union Commission for the ongoing work aimed at reconciling the political parties;


RECOGNISING the complexity of the situation in Zimbabwe;


NOTING the willingness of the political leaders of Zimbabwe to enter into negotiations to establish a Government of National Unity;


NOTING FURTHER the preparatory discussions on this matter had already started, under SADC facilitation;


Hereby decide:

1. TO ENCOURAGE President Robert Mugabe and the leader of the MDC Party Mr Morgan Tsvangirai to honour their commitment to initiate dialogue with a view to promoting peace, stability, democracy and the reconciliation of the Zimbabwean people;

2. TO SUPPORT the call, for the creation of a Government of National Unity;

3. TO SUPPORT the SADC Facilitation, and to recommend that SADC mediation efforts should be continued in order to resolve the problems they are facing. In this regard SADC should establish a mechanism on the ground in order to seize the momentum for a negotiated solution;

4. TO APPEAL to states and all parties concerned to refrain from any action that may negatively impact on the climate of dialogue;

5. In the spirit of all SADC initiatives, the AU remains convinced that the people of Zimbabwe will be able to resolve their differences and work together once again as one Nation, provided they receive undivided support from SADC, the AU and the world at large.



Text hii haionyeshi kuwa hawamtambu Mugabe, in fact wanam-address kuwa "President Robert Mugabe," wakati Morgani anakuwa addressed kuwa "leader of the MDC Part Mr Morgan Tsvangirai"
 
Mbona Mama Migiro alikuwepo.....au yeye ni raisi siku hizi?

Migiro hakuingia kama member wa Assembly of the Union, kikao cha Marais. Ndio maana nikasema hata waleta chai wanaingia kwenye hicho kikao, lakini beji yake itasema 'Usher' au 'Mlinzi' au 'Mwalikwa.'

Mugabe aliingia kama nani, mpiga picha?

Constitutive Act of the African Union, 2000

Organs of the Union, Article 5, 1 (a )

The organs of the Union shall be:

a. The Assembly of the Union;

The Assembly, Article 6 (1)

The Assembly shall be composed of Heads of States and Government or their duly accredited representatives.
 
Angalia makala yangu ya leo kwenye Tanzania Daima. Bernard Membe amesema kuwa Umoja wa Afrika hautambui Mugabe kama Rais wa Zimbabwe. Zaidi ya yote kwa niaba ya Mawaziri wa SADC amesema kuwa Au haiutambui uchaguzi uliofanyika huko Zimbabwe.
Membe kaongea muda mfupi uliopita kuwa suala la Zimbabwe AU walipeleka SADC na hajasema kuwa AU hawaitambui serikali ya Mugabe
 
Halafu sasa hivi kuna utata juu ya utata.

Mwanachi wameandika ni Tanzania ndio imesema haimtambui. Lakini hakuna nukuu yenye maneno ya Membe yanayosema nani hamtambui, TZ au AU.

Taarifa ya TBC inasema Membe kasema ni AU haimtambui.

Halafu mwanahabari wa Radio ambayo imetuunganisha na taarifa ya TBC, Mwanakijiji, anaipongeza Serikali ya TZ.

Unaona mkorogo huo?

Nani hamtambui Mugabe, na ni lini na wapi wameamua hicho kitu?

Nyie wanahabari hebu msituchanganyie habari, tafadhali.

Nakubaliana na kwenye highlight...Kwani mmesahau KIKWETE ALIPANDISHA BENDERA YA MAREKANI NA BILA YA TANZANIA KUWEPO?
JAMAA YANGU MMAREKANI ALIYEONA AKASEMA..DID WE WIN THE WAR?
NIKAMWAMBIA WHICH WAR?
AKANIAMBIA WHY THE FLAG..JUST BY IT SELF IN THE MIDDLE OF THE CITY?
Na mimi nikajua kuwa...Kiitifaki...popote pale penye bendera ya marekani...Basi na ya Tanzania iwepo!
Hilo lilikuwa tofauti.
Hata hapa USA huwezi kupandisha bendera ya TANZANIA PEKE YAKE...Labda Ubalozi...Lakini siwezi ku confirm...kwani sijawahi hata fika!
 
Back
Top Bottom