Tanzania haitambui ushindi wa Mugabe - Membe

Na sasa nawaambia macho yaelekee huko JAPAN kwenye G8 summit kwani Egypt wataitumia issue hiyo kuwabana waingereza na wamarekani ili Israeli isiendelee kuwafanyia mbaya Pelestine na ama KUIWASHA MOTO IRAN.
Pia wasi wasi mwingine ni kwamba ISRAEL wanadhani kuwa eti Obama akishinda basi hawataendelea kupata mabilioni ya dollars wanayopewa na wamarekani kila siku.
Hivyo kama kweli wanaamini hivyo na kuona kuwa Obama atashinda na kama ni kweli kuwa Obama ana sera za kutokuwapa pesa nyingi kama ilivyo kawaida...Then wanaweza kuharakisha vita vya IRAN!
Hivyo basi G8 IS VERY IMPORTANT!
TAARIFA NYINGINE AMBAZO WAMETOA SASA NI KUWA KUNA MAONGEZI YANAENDELEA NA IRAN ILI KUUMALIZA MGOGORO HUO ILA KWA MASHART KWAMBA WASUSPEND NEUCLEAR ACTIVITIES.

JMushi unaona unavyotukorogea habari kwa nini usibaki kwenye hoja ya mjadala?

Bush Aliposema You Are Either With Us Or Not...pale Ndio Mwanzo Wa Sera Zake Hizo..kuigawa Dunia..inawezekana Kuna Watu Ndani Ya Mashirika Ya Ulinzi Na Usalama Ya Marekani Ambao Hawataki Mwelekeo Huo Na Sasa Wako Radhi Kumlinda Obama Kwa Kila Hali!

Na Ama Kwa Hakika...kuingia Madarakani Kwa Obama Kunaweza Kutusaidia Sana.
Kwani Yeye Ana Sera Ambayo Haitaki Ma Lobbysts!(wale wanaowaonga wawakilishi wa wananchi ili wasimamie haki za makampuni na si wananchi)

Hao(lobbysts) Ni Wawakilishi Wa Makampuni Makubwa Ambayo Yana Nguvu Kubwa Na Ndiyo Yanayoiendesha Marekani!

Obama Amesema Sasa Ni Wakati Wa Issue Za Wananchi Na No More Special Interests...no More Lobbying For No Companies!

Kwa Kufanya Hivyo...amejitengenezea Maadui Wakubwa Ambao Hata Viongozi Wetu Wanawaogopa!

Kina Sinclair,Andrew Young Nk!

Haya ya kwako yapeleke yanakohusika, nafikiri umesoma heading ya post hapa ni nini au unataka watu turudie tena??????
 
aliingia Akiamini Kuwa Yeye Ni Rais Wa Zimbabwe. Hadi Mkutano Unafanyika Kule Misri Au Hawakuwa Na Msimamo Juu Ya Mugabe, Sasa Wanao. Ina Maana Ukifanyika Mkutano Mwingine Kesho, Mugabe Akiruhusiwa Kuingia Kama Rais Ndipo Tungekuwa Na Mzozo.

Na Pia Sioni Ugumu Wa Ili Kueleweka. Kama Msimamo Hatimaye Wa Kutomtambua Umekamilika Nje Ya Muda Wa Kikao Tatizo Ni Nini? Labda Hadi Jana Ndio Walikuwa Wana Negotiate Na Hatimaye Kutoa Msimamo Wapamoja.

Sasa Au Imesema Haimtambui, Itashangaza Kama Wanachama Wake Watakuwa Wanamtambua!

Wewe Unayesema Au Vs Wanachama Leta Matokeo Ya Kura Huko Au Kama Yapo Ili Tujuwe Ni Kina Nani Walisema Mugabe Hatambuliwi Na Afrika!
 
Membe kaongea muda mfupi uliopita kuwa suala la Zimbabwe AU walipeleka SADC na hajasema kuwa AU hawaitambui srikali ya Mugabe

Tanzania Broadcasting Corp. kwenye taarifa ya habari ya saa mbili leo (saa saba mchana ya Mashariki ya Marekani) wametangaza kwamba Membe kasema African Union haimtambui Mugabe.

Sasa jamani kama hawajui tofauti ya Tanzania na African Union hii inazidi kudhihirisha ninachokisema kila siku: Tanzania hakuna press!
 
Yale yale ya kupewa mashinikizo kutoka Washington DC na Downing street.

Hivi ni lini sisi waafrika tutafanya maamuzi yetu bila ya kupewa mashinikizo kutoka UK au Marekani au EU???

Kama kweli wanasimamia haki na usawa mbona hawakuzipinga au kutozitambua chaguzi hizi??

Yaani wanataka kutuambia nini kuhusu chaguzi hizi?
-Uchaguzi uliofanyika uganda?
-Uchaguzi uliofanyika pemba?
-Uchaguzi uliofanyika Kenya?
_Uchaguzi uliofanyika Egypt?
-Uchanguzi uliofanyika Rwanda?

Kwao zote hizi ni fair and democratic!! ni Zimbabwe tu ndiyo ulikuwa na violence.Mambo ya Kiza Besigye kuwekwa ndani hawakuyasikia hata kidogo!

Hebu waafrika acheni mambo hayo ya kufuata mkumbo, jengeni tabia ya kupigania haki bila ya kupewa mashinikizo au kufuata propaganda za magharibi.

-Wembemkali
 
Migiro hakuingia kama member wa Assembly of the Union, kikao cha Marais. Ndio maana nikasema hata waleta chai wanaingia kwenye hicho kikao, lakini beji yake itasema 'Usher' au 'Mlinzi' au 'Mwalikwa.'

Mugabe aliingia kama nani, mpiga picha?

Constitutive Act of the African Union, 2000

Organs of the Union, Article 5 1 (a )

The organs of the Union shall be:

a. The Assembly of the Union;

The Assembly, Article 6 (1)

The Assembly shall be composed of Heads of States and Government or their duly accredited representatives.

Okay, hivi ni wapi mimi Nyani Ngabu niliposema kuwa ni "JF mtandao"? Si umesevu kwenye word....bandika basi hizo nukuu mjomba, mbona kila siku unanipiga chenga ya mwili?
 
JMushi unaona unavyotukorogea habari kwa nini usibaki kwenye hoja ya mjadala?



Haya ya kwako yapeleke yanakohusika, nafikiri umesoma heading ya post hapa ni nini au unataka watu turudie tena??????

Nani anataka kukoroga nini?
Vita ya Zimbabwe...Nani alikuwa anataka tumpe sapoti TSIVANGIRAI?
Nani alimpigia kifua kikwete awe msuluhishi wa pale KENYA?
Kofi Annan hakutosha?
Nani aliyemtuma Kikwete apige drums za vita dhidi ya MUGABE kama si BUSH NA MWINGEREZA?
 
Tanzania Broadcasting Corp. kwenye taarifa ya habari ya saa mbili leo (saa saba mchana ya Mashariki ya Marekani) wametangaza kwamba Membe kasema African Union haimtambui Mugabe.

Sasa jamani kama hawajui tofauti ya Tanzania na Africana Union hii inazidi kudhihirisha ninachokisema kila siku: Tanzania hakuna press!
Mkuu samahanini nimepata news vibaya.......ni sawa kabisa
 
Mushi, hakuna anaejua hicho kitu hapa, inaonekana.

Kuna mataifa yaliyokuwa na misimamo yao!
Namibia ni sapota wa Mugabe,so as SA.
Zambia chini ya Mwanawasa(Mungu amlaze pema) Ni sapota wa TSIVANGIRAI..The list goes on and on..So kama mataifa hayo yakichagua mabwana kama MKJJ anavyotaka yafanye...Then hakuna vita?
 
Tanzania Broadcasting Corp. kwenye taarifa ya habari ya saa mbili leo (saa saba mchana ya Mashariki ya Marekani) wametangaza kwamba Membe kasema African Union haimtambui Mugabe.

Sasa jamani kama hawajui tofauti ya Tanzania na Africana Union hii inazidi kudhihirisha ninachokisema kila siku: Tanzania hakuna press!

Sio TANZANIA HAKUNA PRESS...TANZANIA HAKUNA VIONGOZI!
NINASHANGAZWA SANA NA MKJJ ETI SASA MEMBE ANA AKILI TIMAMU?
TUSUBIRI MAANA UTASEMA THE SAME KWA MKULLO!
KWAMBA SASA KAMA TUMKIMSIKILIZA BERNARD MEMBE..KWANINI TUSIFANYE HIVYO KWA MUSTAFA MKULLO?
 
Angalia makala yangu ya leo kwenye Tanzania Daima. Bernard Membe amesema kuwa Umoja wa Afrika hautambui Mugabe kama Rais wa Zimbabwe. Zaidi ya yote kwa niaba ya Mawaziri wa SADC amesema kuwa Au haiutambui uchaguzi uliofanyika huko Zimbabwe.

So at last they have delivered the messege from the Saints.It is undrestandable they had no choice, either with Mugabe or with them.While we see them as leaders, the fact is that they are just decoys!!.If there is anybody who dont know what a decoy is;a decoy is usually a person, device or event meant as a distraction to conceal what an individual or a group might be looking for.
Coming back to the subject as far as I undrestand the AU resolution passed did not mention anything about recognition nor rejection of the Zimbabwe election.
 
BBC wanatangaza katika internet bbcswahili.com Membe anasema OAU imekabidhi madaraka ya kushughulikia jambo la Zimbabwe officially kwa SADCC, Pia Membe anasisitiza kuwa ndio msimamo wa AU chini ya mwenyekiti JK. Iko kwenye dira ya dunia ya leo na bado unaweza isikiliza mda wowote leo, kesho watatoa waweke ya kesho.

Membe anasisitiza kuwa Marais walitaka aje waseme naye na kumwambia ukweli, kisha anajichanganya kuwa hata wasingemualika angeweza kuja tu, ila walifikiri kuwa ulikuwa ni mda muafaka wa kuongea naye ghafla. Pia Membe anasisitiza kuwa AU wasingeweza kumuzuia kuja kwa saabu mualiko unapotolewa unasema marais bila kuchagua nani aje na nani asije. kila anayejiona mjumbe basi anakuja.
 
So at last they have delivered the messege from the Saints.It is undrestandable they had no choice, either with Mugabe or with them.While we see them as leaders, the fact is that they are just decoys!!.If there is anybody who dont know what a decoy is;a decoy is usually a person, device or event meant as a distraction to conceal what an individual or a group might be looking for.
Coming back to the subject as far as I undrestand the AU resolution passed did not mention anything about recognition nor rejection of the Zimbabwe election.

On the highlight....HOWEVER...THE AU CHAIRMAN...ON BEHALF OF THE AFRIKAN PEOPLE...CONGRATULATED THE PEOPLE OF ZIMBABWE FOR THEIR DECISSION TO VOTE THE WAY THEY VOTED!
 
BBC wanatangaza katika internet bbcswahili.com Membe anasema OAU imekabidhi madaraka ya kushughulikia jambo la Zimbabwe officially kwa SADCC, Pia Membe anasisitiza kuwa ndio msimamo wa AU chini ya mwenyekiti JK. Iko kwenye dira ya dunia ya leo na bado unaweza isikiliza mda wowote leo, kesho watatoa waweke ya kesho.

Membe anasisitiza kuwa Marais walitaka aje waseme naye na kumwambia ukweli, kisha anajichanganya kuwa hata wasingemualika angeweza kuja tu, ila walifikiri kuwa ulikuwa ni mda muafaka wa kuongea naye ghafla. Pia Membe anasisitiza kuwa AU wasingeweza kumuzuia kuja kwa saabu mualiko unapotolewa unasema marais bila kuchagua nani aje na nani asije. kila anayejiona mjumbe basi anakuja.

Mkuu kwenye highlight...NANI ANALIKOROGA?
Hata hivyo kila mwenye nia nzuri na pia msimamo wa AU ulikuwa ni Mbeki aachiwe kazi ya usuluhishi!
Sasa viongozi wetu mnafuata habari za mabwana zenu tu!
Hivi Mfaransa naye role yake ipi?
 
Sio TANZANIA HAKUNA PRESS...TANZANIA HAKUNA VIONGOZI! ?

Utanambiaje Tanzania kuna press wakati hawajatangaza mpaka leo kwamba Harare wamemuita balozi wao nyumbani na wamemsikia Mbunge anatamka hicho kitu Bungeni?

Utanambiaje Tanzania kuna press wakati hawajui tofauti ya Tanzania kutokumtambua Mugabe na African Union kutokumtambua Mugabe?

Utanambiaje Tanzania kuna press wakati maswali yote ya Msimamo wa Africa na Tanzania kuhusu Zimbabwe anaulizwa Membe akiwa nje ya nchi, au anaulizwa Zitto (Mh.) hapa JF?

Umewahi kusikia mwandishi wa Kibongo anambana Kikwete atoe msimamo wake kuhusu Zimbabwe? Thubutu, waoga ile mbaya.

Umeona ile video clip Mwanakijiji aliyoweka ya mwandishi huko Egypt anambana Mugabe mbavu mpaka ma bodi gadi wa Mugabe wanamlegeza mwandishi, mpaka Mugabe anamtukana Mwandishi?

That's what you call the press! Tanzania tutoe wapi press Mushi wewe?
 
I'm totally comfused, if this is the way we are tackling serious issue such as Zimbabwe.
 
Utanambiaje Tanzania kuna press wakati hawajatangaza mpaka leo kwamba Harare wamemuita balozi wao nyumbani na wamemsikia Mbunge anatamka hicho kitu Bungeni?

Utanambiaje Tanzania kuna press wakati hawajui tofauti ya Tanzania kutokumtambua Mugabe na African Union kutokumtambua Mugabe?

Utanambiaje Tanzania kuna press wakati maswali yote ya Msimamo wa Africa na Tanzania kuhusu Zimbabwe anaulizwa Membe akiwa nje ya nchi, au anaulizwa Zitto (Mh.) hapa JF?

Umewahi kusikia mwandishi wa Kibongo anambana Kikwete atoe msimamo wake kuhusu Zimbabwe? Thubutu, waoga ile mbaya.

Umeona ile video clip Mwanakijiji aliyoweka ya mwandishi huko Egypt anambana Mugabe mbavu mpaka ma bodi gadi wa Mugabe wanamlegeza mwandishi, mpaka Mugabe anamtukana Mwandishi?

That's what you call the press! Tanzania tutoe wapi press Mushi wewe?

Mkuu PRESS INAZITOA HABARI KUTOKA SERIKALINI..NA WAO WANARIPOTI!
KUNA WALIOHONGWA TAYARI NA WAO WANAFANYA KAZI KISIASA!
Na kuhusu hiyo ya Mugabe..Haihusiani na PRESS TU...Ni maslahi!
Huyo mwandishi alitumwa na waingereza!
Na ndio maana MUGABE AKAWA ANA TAUNT..KUWA WE ARE NOT A BRITISH COLON!
Huku wa Egypt wakichombeza kwa pembeni kwa kumpa HONGERA.
Kikwete naye aliupongeza uamuzi wa wananchi kumchagua MUGABE!
Kuna PRESS KIBAO..WE KUTUMIA AKILI YAKO NA KUCHUJA HABARI!
HAPO NDIO UTAWEZA KUUJUA UKWELI...Lakini ukibugia mihabari tuu!
Tab tupu!
 
Mkuu PRESS INAZITOA HABARI KUTOKA SERIKALINI..NA WAO WANARIPOTI!
KUNA WALIOHONGWA TAYARI NA WAO WANAFANYA KAZI KISIASA!

Sasa ishu za Mugabe na Zimbabwe, nani amuhonge yupi kwa manufaa ya nani na siasa zipi?

Ni incompetence tu. Hawajui fani yao wale watu.

Harare imemwita balozi nyumbani hawaandiki? Hao watu wameenda shule ya Uandishi kweli? Au wanashindwa kuumuliza Mbunge hizo habari umezisikia wapi, mpaka anakuja kuulizwa hapa JF? Kuna press hapo kweli? Please Mushi, be objective for a second.
 
Sasa ishu za Mugabe na Zimbabwe, nani amuhonge yupi kwa manufaa ya nani na siasa zipi?

Ni incompetence tu. Hawajui fani yao wale watu.

Harare imemwita balozi nyumbani hawaandiki? Hao watu wameenda shule ya Uandishi kweli? Au wanashindwa kuumuliza Mbunge hizo habari umezisikia wapi, mpaka anakuja kuulizwa hapa JF? Kuna press hapo kweli? Please Mushi, be objective for a second.

Kuhani fuatilia haya mambo vizuri!
Habari hata za kifo cha Mwanawasa zilitolewa tofauti na MWINGEREZA,MCHINA NA HATA MFARANSA MWENYEWE AMBAYE NDIYE ANASHIKILIA UENYEKITI WA EU!
Huyo mwandishi aliyemfuata Mugabe alitaka ile issue ya yeye kukwidwa na walinzi wake imchafue ili kuonyesha kuwa ni mtu asiyependa hata uhuru wa press!
Uhuru wa press umekuwa UHURU WA MAFISADI!
 
Kuhani... you have no idea.. ndio maana tunaomba support ya watu kama nyinyi kwani mnatuwezesha sisi wengine kufanya yale ambayo hayawezi kufanyika nyumbani. Binafsi hakuna siku nzuri kama ya kupata habari kwa uhakika kama leo. But then.. one man can't do it all! Kuhani, kwa vile inaonekana una uwezo sana kwenye mambo haya naomba tushirikiane, utakuwa mmojawapo wa correspondent wetu na nitakupa contacts kwa niaba ya KLHN na jinsi ya kurekodi n.k halafu uwasiliane nao ili ufanye kile ambacho wengi tunashindwa kufanya.
 
Back
Top Bottom