Kibanga Ampiga Mkoloni
JF-Expert Member
- Aug 9, 2007
- 18,697
- 8,843
you are being too simplistic my friend, huyo aliefungua kesi anataka umaarufu tu, halafu punguza jazba zako dhidi ya wakristo kwa sababu ukiwapiga shavu la kulia watakugeuzia na la kushoto, ukiwanyanganya kanzu watakuongezea na joho, those are christians bana people of peace, they never revenge.
Be careful for what you are talking huu ni ulimwengu wa uhuru and human right!
Be careful for what you are talking huu ni ulimwengu wa uhuru and human right!
uamsho juuu...!
Wanauamsho nina swali kwenu,endapo litajibiwa kiusahihi nitawaona mna sababu za msingi.Serikali ya jamhuri ya muungano ya Tanzania inaamin kuwa Mungu yupo na watu wake wana njia(Dini) tofautitofauti za kumwamin na kumfikia Mungu,lakini haina dini ndiyo maana suala la dini si moja ya masuala ya muungano mnaoupinga.SWALI:Kuna uhusiano gani kati ya KUPINGA MUUNGANO na KUCHOMA MAKANISA?
Ww waislamu c wagomvi. Msaafu ulichomwa unguja mbona waislamu hawakulipiza kisasa pia ktk vurugu zile msikiti ulipigwa mabomu ukaharibiwa mbona hamujasema. Makanisa yapo karne na karne unguja hayajachomwa. Kama huelewi makanisa yanachomwa na wa2 mbali ili kuooesha kuwa znz kuna ugomvi wa kidini ili kuwapaka matope uamsho .
yaani bilioni moja rahisirahisi tu hivyo?
Tuna taka fidia ya makanisa na magari waliyochoma