Hawa wahuni wa Uamsho wataachwa kutamba hadi lini? Serikali yetu mko wapi?
Watatamba mpaka kitakapoeleweka.na bado iyo just introduction tu.
Hawa wahuni wa Uamsho wataachwa kutamba hadi lini? Serikali yetu mko wapi?
Wao walivyotoa habari za uongo waliona rahisirahisi tu.hey u watch out!
Kwanza tukuulize ww ni nani aliyechoma makanisa?Wanauamsho nina swali kwenu,endapo litajibiwa kiusahihi nitawaona mna sababu za msingi.Serikali ya jamhuri ya muungano ya Tanzania inaamin kuwa Mungu yupo na watu wake wana njia(Dini) tofautitofauti za kumwamin na kumfikia Mungu,lakini haina dini ndiyo maana suala la dini si moja ya masuala ya muungano mnaoupinga.SWALI:Kuna uhusiano gani kati ya KUPINGA MUUNGANO na KUCHOMA MAKANISA?