tabu kuishi
JF-Expert Member
- Apr 16, 2011
- 353
- 43
mfuga majini nyamaza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
uamsho juuu...!
Wayajenge makanisa waliyoyachoma kwanza .
njaa hiyo,uamsho mdudu gani ndani ya hao waislamu,kama wameathirika wamekufa?anaona rahisi kuzitaja,awatumie mascud maana wao si wataalamu
Kwa kukmbukumbu zangu (miaka 30) sijawahi sikia hizi kesi za kudai fidia zimeisha na mtu akalipwa especially wanaowashitaki wanahabari. Mfana Manji kumshatki Mengi, Rostam kumshitaki Saed Kubenea n.k huwa wanadai fedha nying sana lakini kesi huisha pasipotarajiwa. Kwani Uamsho hawakufanya fujo?
Hao mbona wepesi tu! Itakuwa kesi rahisi sana kupigwa chini, nawasikitikia kwakuwa wakili wa walalamikaji atakula hela ya bure tu wakati kesi ikipigwa chini. Wao walalamikaji wana utaalam wa picha (forensic detection) kuithibitishia Mahakama pasipo shaka kuwa pale panapowaka moto ni Morogoro? Ujinga nao ni mzigo sana.
Uamsho naona wana njaa kali sasa hivi, yaani walipwe Billion moja kizembe hivi???
Hawapati kitu hapo labda hakimu awe mwana Uamsho!
Ustadh Juma Kitunga tayari amewaandikia barua ya kutaka fidia ya sh mill 500 kila mmoja kwa magazeti ya tzdaima na Nipashe kwa kupotosha picha waliotoa inayohusu vurugu za UAMSHO.
picha hiyo iliopogwa Morogoro ilitumiwa na magazeti hayo kwa kudai imepigwa ZANZIBAR.
mlalamikaji huo kupitia wakili wake Nassor tayari wameyataka magazeti hayo kuomba radhi na kumpa fidia ya mapesa hayo kabla ya kupandishwa kizimbani kwa hatua nyengine.
Amesema yeye na familia yake imeathirika na tukio hilo kwa hivyo.
Source: gazeti la ANNUR
HIVI HAYA MAGAZETI YETU KWA NINI YANAENDEKEZA UDINI BADALA YA KUFANYA KAZI KWA MISINGI YA SHERIA NA MISINGI YA UANDISHI WA HABARI?
Mengi, Mbowe, Tanzania Daima, Nipashe, CHADEMA hivyo vyote vimeasisiwa kanisani Moshi!
Ufedhuli wa wakristu dhidi ya waislam unajionesha dhahiri ktk uzi huu, yaani utadhani wao ndio wanajua kila sheria ktk nchi hii. Wizi wakubwa na ufisadi mwingi umefanya na wizi(wakristu) hawa.