Thanks Zitto nimekusoma hapo juu, lakini kama bado una muda kidogo wa kuwepo hapa JF basi nakuulize kidogo. Mnapokaa na Ngeleja ktk mazungumzo yenu mabli mbali mnaona kweli ana uwezo wa kufanya chochote ktk hii wizara ya nishati na madini? Na je ni nini anachosema yeye kuwa ni tatizo??