KISS 100
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 527
- 1,105
Yani ndo nimelipia compact nilitaka kuwanyoosha majirani ila umeme hakunaIla Tanesco, imagine jmos hii wanakata umeme kweli?
Yani ndo nimelipia compact nilitaka kuwanyoosha majirani ila umeme hakunaIla Tanesco, imagine jmos hii wanakata umeme kweli?
Mimi nimeanika boxer Zangu hapoAcha nikabembee kwenye nyaya
Mna bahatiMbona Lindi kuna umeme kulingana na mashuhuda. Nayo haipo kwenye Grid? 🤔
Hapana Sinza hapa, wanaboaaKuna harusi huko kwenu?😀😀
Hahhaa daaa....Yani ndo nimelipia compact nilitaka kuwanyoosha majirani ila umeme hakuna
It’s true and not true kwa ufahamu wangu mdogo huwezi over utilise equipment without paying the price,kuna mahali walikosea either kutobadikisha vifaa or kutokwendan na mahitaji ya watu means mahitaji ni makubwa kuliko uwezo wa vifaa something is wrong technically but they don’t say it.Wafanyakazi wa shirika hili wanapaswa kufikishwa mahakamani kwa uhujumu uchumi kwa taifa
Sisi tulio mipakani hii haituhusu na hatutaki mtuletee ujinga wenu wa grid na migao isiyoisha.Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limetoa taarifa kwa Wateja wake kuwa kumetokea hitilafu kwenye mfumo wa Gridi ya Taifa na kusababisha kukosekana kwa huduma ya umeme kwenye Mikoa iliyounganishwa na Gridi hiyo.
“Juhudi za kurejesha mfumo zinaendelea kwa haraka ili huduma iweze kupatikana katika maeneo yote yaliyoathirika, Shirika linawaomba uvumilivu Wateja wake wote wakati Watalaamu wetu wakiendelea na jitihada za urejeshaji wa mfumo wa Gridi ya Taifa”
View attachment 2893086
Ndo ushakatika mida hii huku LindiMna bahati