Wafanyakazi wa shirika hili wanapaswa kufikishwa mahakamani kwa uhujumu uchumi kwa taifa
It’s true and not true kwa ufahamu wangu mdogo huwezi over utilise equipment without paying the price,kuna mahali walikosea either kutobadikisha vifaa or kutokwendan na mahitaji ya watu means mahitaji ni makubwa kuliko uwezo wa vifaa something is wrong technically but they don’t say it.
 
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limetoa taarifa kwa Wateja wake kuwa kumetokea hitilafu kwenye mfumo wa Gridi ya Taifa na kusababisha kukosekana kwa huduma ya umeme kwenye Mikoa iliyounganishwa na Gridi hiyo.

“Juhudi za kurejesha mfumo zinaendelea kwa haraka ili huduma iweze kupatikana katika maeneo yote yaliyoathirika, Shirika linawaomba uvumilivu Wateja wake wote wakati Watalaamu wetu wakiendelea na jitihada za urejeshaji wa mfumo wa Gridi ya Taifa”

View attachment 2893086
Sisi tulio mipakani hii haituhusu na hatutaki mtuletee ujinga wenu wa grid na migao isiyoisha.

Hivi Samia hastuki kwamba anahujumiwa au?
 
Nafikiri hili Shirika tungelibinafsisha na kuwapa private company waliendeshe nasi kama Nchi tuwe tunapokea gawio tu Kila Mwaka.

Maana hichi kinachoendelea ni as if Nchi haina Waziri Mkuu/Makamu ama Rais.

Haiwezekani Umeme ukosekane wakati Maji yamejaa kwenye mabwawa hadi yanaleta mafuriko 🙌
 
Back
Top Bottom