Niache Nteseke
JF-Expert Member
- Apr 29, 2020
- 1,959
- 2,179
Hata salamu sitoi.
Kiukweli hii sio sawa aisee mmeamua kutushindisha bila ya umeme na kutulaza bila ya umeme sawa haina shida, ila kwa asubuhi angalau mgekuwa mnakata japo saa 2 kamili wazee.
Kuna sehemu zina baridi na watu wanatumia heater kuoga, sasa mtu ameshajipaka sabuni hata hajaanza kuondoa povu mnakata umeme, kweli...? Hii sio sawa.
Kuweni wastaarabu kidogo ratiba yenu kama skosei inasema umeme mnakata kuanzia saa 2 kamili sasa unakuta saa 1 na nusu sharp mnatukatia umeme, wakati mtu yupo bafuni anajiandaa ili aende kwenye majukumu ya kila siku ya ujenzi wa Taifa letu, kwa hili wazee naomba mlitazame kwa kina sio sawa hata kidogo, narudia.
SIO SAWA HATA KIDOGO WAZEE.
Kiukweli hii sio sawa aisee mmeamua kutushindisha bila ya umeme na kutulaza bila ya umeme sawa haina shida, ila kwa asubuhi angalau mgekuwa mnakata japo saa 2 kamili wazee.
Kuna sehemu zina baridi na watu wanatumia heater kuoga, sasa mtu ameshajipaka sabuni hata hajaanza kuondoa povu mnakata umeme, kweli...? Hii sio sawa.
Kuweni wastaarabu kidogo ratiba yenu kama skosei inasema umeme mnakata kuanzia saa 2 kamili sasa unakuta saa 1 na nusu sharp mnatukatia umeme, wakati mtu yupo bafuni anajiandaa ili aende kwenye majukumu ya kila siku ya ujenzi wa Taifa letu, kwa hili wazee naomba mlitazame kwa kina sio sawa hata kidogo, narudia.
SIO SAWA HATA KIDOGO WAZEE.