white wizard
JF-Expert Member
- May 18, 2011
- 8,321
- 13,288
juzi msemaji wa tanesco alisema kuwa kwa sasa mabwawa yote ya kuzalisha nguvu za umeme yamejaa,hivyo kwasasa mgao umekwisha.cha ajabu toka jana huku maeneo yote ya temeke umeme unakatwa toka saa mbili asubuhi mpaka saa tatu usiku!