Mabwawa yamejaa na umeme hakuna, TANESCO wako kimya, tunafeli wapi?

Sir John Roberts

JF-Expert Member
Mar 1, 2017
9,663
16,023
Inasikiitisha sana wakati huu ambao mabwawa yanayozalisha umeme yote yamejaa maji lakini bado kuna katizo la umeme.

Hivi ni kua mnawaona watanzania ni wajinga au? Maana mwanzo sababu ilikua maji ni kidogo kuzalisha umeme hivi sasa tatizo ni nini?

Watanzania tumekua wapole sana kiasi kwamba sasa serikali inatudanganya inavojisikia.

Upuuzi wa awamu ya 6!
 
Inasikiitisha sana wakati huu ambao mabwawa yanayozalisha umeme yote yamejaa maji lakini bado kuna katizo la umeme.

Hivi ni kua mnawaona watanzania ni wajinga au? Maana mwanzo sababu ilikua maji ni kidogo kuzalisha umeme hivi sasa tatizo ni nini?

Watanzania tumekua wapole sana kiasi kwamba sasa serikali inatudanganya inavojisikia.

Upuuzi wa awamu ya 6!
Nchi haina Raisi unategemea nini?
 
tatizo ni uislamu wa tanzagiza umechanganyika na mila unatoa toxic people wanaoamini majini na kafara na ndio wanaozima umeme, ndio maana nothing makes sense anymore, zamani ilikuwa kukiwa na mgao mvua zikinyesha mgao unaisha automatic leo hii kule mkoa wa iringa watu wamefukuzwa na kuhamishwa kwa nguvu eneo lote limechukuliwa na ndio wanaozuia maji na kuzima umeme …
 
Nina ndugu Dar wanasema ni mwendo wa switch off na switch on.. hata within minutes.

Staff anacheza na switch kama game tu.. hata kuwa wamo mtandaoni hawajali wateja wao tena ni dharau kubwa sana kwakuwa hawatoi taarifa popote. I guess hawana cha kusema Bali kucheza games na switches.
 
Inasikiitisha sana wakati huu ambao mabwawa yanayozalisha umeme yote yamejaa maji lakini bado kuna katizo la umeme.

Hivi ni kua mnawaona watanzania ni wajinga au? Maana mwanzo sababu ilikua maji ni kidogo kuzalisha umeme hivi sasa tatizo ni nini?

Watanzania tumekua wapole sana kiasi kwamba sasa serikali inatudanganya inavojisikia.

Upuuzi wa awamu ya 6!
Hii nchi ni ya HOVYO sana! Kwenye umeme ndo inathibitisha kwa urahisi zaidi.

What a fucken country?!
 
Nina ndugu Dar wanasema ni mwendo wa switch off na switch on.. hata within minutes.

Staff anacheza na switch kama game tu.. hata kuwa wamo mtandaoni hawajali wateja wao tena ni dharau kubwa sana kwakuwa hawatoi taarifa popote. I guess hawana cha kusema Bali kucheza games na switches.
Noma sana. Umerudi baada ya dakika 5 unakatwa tena
 
Inasikiitisha sana wakati huu ambao mabwawa yanayozalisha umeme yote yamejaa maji lakini bado kuna katizo la umeme.

Hivi ni kua mnawaona watanzania ni wajinga au? Maana mwanzo sababu ilikua maji ni kidogo kuzalisha umeme hivi sasa tatizo ni nini?

Watanzania tumekua wapole sana kiasi kwamba sasa serikali inatudanganya inavojisikia.

Upuuzi wa awamu ya 6!
NCHI NGUMU kila KONA MATATIZO huku UMEME kukatika Huku SUKARI Huku Kupanda kwa Nauli ila kwa kuwa MAKONDA karejeshwa UONGOZINI hizo SHIDA zote zitatoweka mara moja

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
 
Inasikiitisha sana wakati huu ambao mabwawa yanayozalisha umeme yote yamejaa maji lakini bado kuna katizo la umeme.

Hivi ni kua mnawaona watanzania ni wajinga au? Maana mwanzo sababu ilikua maji ni kidogo kuzalisha umeme hivi sasa tatizo ni nini?

Watanzania tumekua wapole sana kiasi kwamba sasa serikali inatudanganya inavojisikia.

Upuuzi wa awamu ya 6!
Halafu eti wanatuma Bashite mtaani. This is a fucking shithole country. I hate it.

Nchi nzuri watu HOVYO to the extreme!!
 
Back
Top Bottom