Mungi
JF Gold Member
- Sep 23, 2010
- 16,975
- 9,566
Jamani wanajamii, hivi kwa nini tanesco wasitutangazie sisi wakazi wa Marangu, Mwika na Rombo kuwa kuna mgao wa umeme? Hii ni wiki ya tatu sasa karibia kila siku umeme unakatika kwa zaidi ya masaa 6 hadi 12. Je, hii ni hitilafu au ndo mgao wenyewe?
hili ni dili, wanazima umeme kwa makusudi bila sababu