Mag3
Platinum Member
- May 31, 2008
- 13,064
- 22,757
The best person (mzawa) kuliongoza shirika kama Tanesco angekuwa Idrisa. Track record yake hata akiwa BOT ilikuwa nzuri. Mlishawahi kusikia matumizi mabaya ya account ya EPA au scandal yeyote wakati wa tenure yake pale BOT.
DCP iliyotafuna mabilioni ya fedha kuliko mwanaye EPA ilizaliwa wakati wa mzee rukhsa akiwa Raisi, Kikwete, Waziri wa Fedha na Rashidi, Gavana wa Benki Kuu. IPTL iliitangulia Richmond na wahusika wakuu wa IPTL ni hao hao - Mwinyi akiwa Raisi, Kikwete akiwa Waziri wa Nishati na Rashidi akiwa Benki.
Doa pekee labda ni hizo payment zilizofanyika kwenye account yake kupitia kwa Andy Chenge. La kustaabisha ni kuwa hamna/hakuna mtu aliyemfuata kumuuliza his side of story (kama anayo hiyo obligation).
Dili la Rada lisingewezekana kama lisingemshirikisha Gavana wa Benki wakati huo akiwa Dr. Idris Rashidi. Msaidizi mkubwa wa Chenge kama mwanasheria alikuwa mtaalamu wa fedha na msimamizi mkuu wa Benki Kuu ambaye alikuwa Rashidi.
Hatoi posho au magari kwa wa wabunge/wanasiasa .
Critics wake should come out with suggestions na siyo kulaumu tu. Kama mnaona hafai basi angalau msuggest nani anaweza kuchukua nafasi hiyo.
Labda hatoi posho kwa kuwa ni mchoyo - anajilipa yeye tu na wasaidizi wake au washirika wake wana nguvu zaidi ya hao wanasiasa. Umewahi kujiuliza baada ya hicho kiasi kikubwa cha fedha kuingizwa kwenye akaunti yake bado anatafuta nini TANESCO.