Zitto
Former MP Kigoma Urban
- Mar 2, 2007
- 1,562
- 10,880
Mimi namuona Rashid kama fisadi tu. Huyu si ndiye aliyehamishiwa $600,000 na Chenge kwa kusaidia dili la rada? SFO walipombana akababaika. Aachie ngazi Tanesco huku akisubiri kesi yake. Tusipende sana kuwafagilia watu wanaopora utajiri wetu. Zitto anamtetea huyu fisadi kwa sababu zilizo wazi. (Refer utetezi wa ununuzi wa mitambo chakavu ya Dowans). Rashidi aliwekwa pale na Rostam baada ya kumtumia kule Vodacom. Aliwekwa Tanesco mahsusi kwa ajili ya ku-facilitate wizi wa kutisha wa kundi la mafisadi papa kupitia mikataba feki. Kwa kuwa wanaona hawajamaliza kazi ya kutuibia kwa njia ya mikataba mingi feki ya nishati ndio maana wanataka aendelee pale.
Rhetorics