Mtu wa Pwani
JF-Expert Member
- Dec 26, 2006
- 4,184
- 671
You sound a bit like a comedian broda!...!
Hapo nimecheka mpaka basi, maana unatusaidia kushangaa malimwengu ya MAKAMBA!
Ndugu yangu huyo mtu wenu nadhani anatokea sayari mpya ya Kleptomaniac!...huh!
Wewe MTU WA PWANI UNAONEKANA NI MWANAMAGEUZI KABISA ILA UNAHOFIA MACHO NA MANENO YA WAYAHUDI!
Achana nao hao SISIEM broda, hamia hii ng'ambo ya pili ili upambanue mambo kwa akili!...huh!
nna wasi wasi kuna mambo chama wameyaona na nnaamini hawataki wayaanike hadharani for sake of our chama sio mbaya.
mm si mnafiki kama wanachadema nikiona kuna jambo kwenye chama changu hayako sawa nnasema
mm ni mtu huru