Jibu swali mwana wa fisadi.
Duh! The Invincible umenichekesha unavomkandamiza Mgonjwa wa Ukimwi kwa kumwita mwana wa fisadi. Umeniacha hoi. Tuendelee mkuu!
Jibu swali mwana wa fisadi.
Mdahalo ni ngumu. Mathalani Jimbo fulani miaka mitano iliyopita shida kuu ilikuwa ni maji, hadi sasa hukuweza kuwaletea maji, unarudi unawaahidi wakikuchagua tatizo la maji litakuwa historia, Je unafikiri hao wanaoelezwa hivyo wakipewa fursa ya kuuliza maswali majibu yatapatikana?
Tusubiri Oktoba 31 ndio siku ya Mdahalo mzuri.
Chadema wako tayari muda wowote na hilo swali lako lilishajibiwa mbona...tatizo tukuuliza ni kweli una kifafa+HIV sijui utajibu au utacheka cheka tu...Kama ingelikuwa uwezo wa kukariri ngonjera na kutapika mbele za watu kwa staili ya mdahalo ndio kigezo cha kuwa kiongozi wa watu basi kiongozi wa kwanza angekuwa Shehe Mtopea, Rev. Mtikila n.k Ila Uongozi una vigezo vingi kama vile uadilifu, ukweli, elimu, kukubalika na watu , mapenzi yako kwa watu. JEE TUKIANDAA MDAHALO SUALA LAKO LA NDOA LIKIULIZWA UTALIJIBU!!!!! . Tusubiri Oktoba 31 ndio siku ya mdahalo mzuri.
Wakati mwingine kufanya mdahalo na mtu hana uzoefu wowote wa uongozi na mwenye uzoefu inakuwa ni kujishusha chini
Mgombea wa urais wa chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Dr. Wilibrod Slaa amesema; Uamuzi wa CCM kukataza wagombea wake kushiriki midahalo ya kisiasa ni aibu kwa mwelekeo wa demokrasia nchini. Kiongozi anayetaka nafasi ya kisiasa anayekwepa nafasi ya kuzungumza na wananchi anaotaka kuwaongoza na anataka kuwahubiria tu ni mwoga na hafai kuwa kiongozi wao. Chadema tuko tayari wakati wowote na mahali popote kujadiliana na mtu yeyote wa chama chochote.
My take: Kwanini uogope kukutana na wananchi unaowaomba kura?
Dr. Wilbrod Slaa 2010
Uzoefu huanzia wapi....tena kwa maoni yangu ndiyo sehemu ya kuchukulia pointi...au hawa kujiandaa, kupanga watu wakupiga simu na kuuliza maswali kama wavyofanya kwa kikwete alipo kuwa akiulizwa maswali ya moja kwa moja kupitia TBC...Wakati mwingine kufanya mdahalo na mtu hana uzoefu wowote wa uongozi na mwenye uzoefu inakuwa ni kujishusha chini
Tatizo huwezi kufananisha siasa za maerekani na hapa bongo, vyama vya huko angalau vina uwiano sawaUzoefu huanzia wapi....tena kwa maoni yangu ndiyo sehemu ya kuchukulia pointi...au hawa kujiandaa, kupanga watu wakupiga simu na kuuliza maswali kama wavyofanya kwa kikwete alipo kuwa akiulizwa maswali ya moja kwa moja kupitia TBC...
Nadhani CCM ina hoja, sema tu tumekataa kusikiliza "' Stephen Convey" Anasema "Seek first to understand before beeing understood";
Sasa mumeamua kukurupuka tena bila ku-seek tu understand - CHADEMA you real have problems you guys.
Wakati mwingine kufanya mdahalo na mtu hana uzoefu wowote wa uongozi na mwenye uzoefu inakuwa ni kujishusha chini
Tatizo huwezi kufananisha siasa za maerekani na hapa bongo, vyama vya huko angalau vina uwiano sawa
sasa huku huyu katawala miaka 30 huyu mwingine loo,. jitahidini tu, hamna hadhi ya kufanya midahalo na ccm kwa sasa
Sidhani kama unazungumza kisomi, anyway nakumbuka 1995 midahalo ilikuwapo, tatizo la CCM siyo kuwa hawana uzoefu kinaongozwa na wazee wasiotaka mabadiliko wao wanataka kutumia mbinu zile zile za tangu TANU bila kujaribu mpya, kama na wewe unaungana nao nitakuwa na wasiwasi na uwezo wako wa kufikiri.Tatizo huwezi kufananisha siasa za maerekani na hapa bongo, vyama vya huko angalau vina uwiano sawa
sasa huku huyu katawala miaka 30 huyu mwingine loo,. jitahidini tu, hamna hadhi ya kufanya midahalo na ccm kwa sasa
kwahhiyo kwenu nyinyi mdahalo ndio kila kitu?Wewe naona unachanganya habari. Kwani anayekwenda kwenye mdahalo ni chama au mgombea? Yule Mama wa Ubungo ana uzoefu gani na ilihali ndio anagombea ubunge kwa mara ya kwanza? Mama Buriani ana uzoefu katika kugombea ubunge zaidi ya ule wa viti maalum ambao ni wa kubebwa? Chama kutawala miaka mingi haimaanishi kwamba wanachama wake nao wanakuwa wazoefu. Mbona kuna vijana wengi tu wamewaangusha wazee kwenye kura za maoni ndani ya CCM? Kama swala ni uzoefu basi Mzee Malecela, Mungai, Makweta na wengineo wangeshinda maana wamekuwa serikalini na bungeni tangu miaka ya 70 mwanzoni.
Kuweni wakweli kwamba mnaogopa maswali, mnataka mwende kuhubiria watu bila kuulizwa maswali. Halafu baadaye mkae vikao vya ndani kupanga mikakati ya kuchakachua matokeo ili mshinde. Mwaka huu ngoma nzito.
Sehemu zote ambazo JK ameulizwa maswali ameshindwa kujibu na kama kuna sehemu amewajibu, kesho yake kibao kilibadilika. Sasa amebaki na sera moja ya kumwaga ahadi za uongo kwa kuwa mwaka 2005 alikuwa anauza sura tu, mwaka huu amegundua watu hawaangalii tena sura yake, wanataka mtendaji atakaye tekeleza ahadi zake kwa vitendo na siyo porojo na kucheka cheka tu.
unazungu mzia usomi mkuu, sidhani kama unanafasi hapa, kama mimi nsihitaji mdahalo na ninafanya kampeni zangu na sera zangu zina uzika unalazimisha mdahalo wa nini? kwani ni lazima?Sidhani kama unazungumza kisomi, anyway nakumbuka 1995 midahalo ilikuwapo, tatizo la CCM siyo kuwa hawana uzoefu kinaongozwa na wazee wasiotaka mabadiliko wao wanataka kutumia mbinu zile zile za tangu TANU bila kujaribu mpya, kama na wewe unaungana nao nitakuwa na wasiwasi na uwezo wako wa kufikiri.
kwahhiyo kwenu nyinyi mdahalo ndio kila kitu?
unazungu mzia usomi mkuu, sidhani kama unanafasi hapa, kama mimi nsihitaji mdahalo na ninafanya kampeni zangu na sera zangu zina uzika unalazimisha mdahalo wa nini? kwani ni lazima?
Common sense ingeanzia kwenye Serikali ya CCM kukubali kubadilisha Katiba. Katiba ndio mama wa yote, anything ambacho ni Unconstitutional, ni batili hata kama kina common sense. Pia kumbuka kuna common sense nyingine haziko common kwa wote. Ndio maana kwa wengine ushoga ni haki ya msingi na wengine wanasema NO, mwisho wa siku wataenda kwenye Katiba ili waweze ku-determine kama ni constitutional or unconstitutional.
Takwimu zinaonyesha wabunge ambao walikuwa mabubu Bungeni ndio walitekeleza vizuri ilani zao na wanarudishwa bungeni... this says what about debate... that it really doesn't matter a lot to Tanzanians.