mbota
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 1,040
- 559
hayo mambo ya kupanga mikoa na wilaya mpya sipendi. Ni kuongeza gharama tu kwa nchi na kugawana madaraka kwa vibaraka wao.
mikoa na wilaya mpya ni zawakina nani wakati watanzania waendelea kufa. Hi management inatakiwa iache siasa kwenye uhai wa watu