MyTanzania
Senior Member
- Sep 9, 2008
- 106
- 8
Watu wanaoweza kufanya kosa na kukiri ni wachache sana hasa wanasiasa.
Pinda kaenda mbali kwa kuwa tayari kuachia ngazi kama wabunge watakuwa hawana imani nae.
Pinda ni muungwana,kumfananisha na lowassa fisadi ni dhambi kubwa. Lowassa ambaye hata baada ya tume kumtuhumu bado anaona alionewa.
Pinda kaenda mbali kwa kuwa tayari kuachia ngazi kama wabunge watakuwa hawana imani nae.
Pinda ni muungwana,kumfananisha na lowassa fisadi ni dhambi kubwa. Lowassa ambaye hata baada ya tume kumtuhumu bado anaona alionewa.