"Tamko la Pinda"

I'm the most open minded person... natofautiana na wewe mara nyingi unapozungumze with haste generalizations and condemnations. Huna balance unapokosoa kitu kwako kitu ni either x or z hakuna abcde... Na hata hicho ulichokisema tumeshanyoshea kidole mara kadhaa hapo nyuma ndiyo maana nilitaka nisikie Waziri Mkuu amesema nini kuliko kusoma kwenye magazeti tu watu wakaja kunilaani kuwa nataka ninunue habari ili iwe nini.


Huo hapo ndipo mfano ninaouzungumzia... tayari press imekuwa "yenu".. sasa kama ni yetu kwanini usiiache tu?





umeisoma ile taarifa mwanzoni na mwishoni nimeandika nini. Of course not.



kaisome tena...

Kwenye kumsagia Pinda kasema "sisi" nadhani akimaanisha Watanzania, himself included....

Kwenye condemnation ya press anasema "yenu" nadhani akimaanisha tena Watanzania, himself excluded.....

Mweeee.....this Kuhani is amazingly amazing!
 
Naamini itabidi ifike kipindi tutofautishe "symphathy na sheria" tunaendekeza sana sentiments katika swala ambalo liko straight forward.

Wengi wetu humu tunamtetea Pinda kwa sababu "kaomba msamaha". Lakini jamani tunaelewa mtu kama Pinda nafasi yake katika jamii yetu? Tunajua kwamba Pinda ni Waziri Mkuu? Tunajua kwamba ni huyu aliyeapa kuilinda na kuitetea katiba ya nchi yetu? unajua kwamba Katiba inawalinda wahalifu na wasio waharifu? What message are you sending unaposema kwamba watu wauawe?

Lets go back, tunaposema utawala wa sheria tunakuwa na maana gani? au ni yale yale..tunakuwa na double standards. Kwamba fulani kaomba msamaha kwa hiyo aachwe apumzike? By the way..wengi mnalichukulia hili kama utani..lakini Prime Minister kusimama jukwaani na kusema fulani akiua auawe..somthing is wrong . very wrong. Implication yake ni kubwa. Jiulize watu watamfikiriaje akiongelea kitu kama Human Rights au Death Penalty? kesho Pinda akienda Umoja wa mataifa atasimama kwenye podium kulaani matumi ya nguvu dhidi ya watu fulani? media za zinaweka kumbukumbu. I mean..implications ya kauli kama za akina Pinda ni kubwa mno. Hatuwezi kukaa na kusema kwamba jamaa "aachwe kwa sababu kaomba msamaha"

Accountability demands consequences. Leo Lowassa, Yona, Mramba et al..wakisema tunaomba msamaha..tulifanya makosa..tutawasamehe? au Pinda anasamehewa kwa sababu alitoa kauli tuu ambayo "haidhuru"

Personally I respect and admire Pinda.

Lakini watanzania wenzangu tuache double standards. When we see the Prime Minister advocating for the breach of the rule of law..na sisi tunaingia mkenge na kuanza kumtetea..nadhani tunaset precedent mbaya sana.

All in all, this should be a lesson kwa wengi wetu. Tunapolilia utawala wa sheria au Rule of law..ni mambo kama haya! Sheria na huruma havina ukoo. Personally I cant take him serious when he is advocating the breach of our sacred document! Katiba.

I can ASSURE YOU, hii ingekuwa huko Europe au kwingineko..Pinda wouldnt have gone away with it!

Anyway tuliache. Ila tujifunze kitu katika hili swala zima.

Masanja,

Nakubaliana na wewe kwa yote uliyosema isipokuwa hiyo sentensi nyekundu. Je, tutayaacha mangapi ? Najiuliza kwa nini Pinda katika kile kinachoonekana wazi kuwa ni utetezi, eti analia (sigh).

"Under his watch" idadi ya vikongwe wanaouawa kikatili kwa kukatwakatwa mapanga ni karibu maradufu ya Maalbino waliouawa na hakuna kiongozi yeyote serikalini aliyewajibishwa.

Mauaji ya Maalbino yanatia uchungu lakini je, ni mauaji gani yasiyotia uchungu. Pinda angekuwa muungwana kama angesimama bungeni na kukubali kuwa kazi ya kupambana na wauaji imeishinda serikali.

Majanga yanayowapata Maalbino nchini yameishtua dunia na matamshi ya awali ya Waziri Mkuu yamezidi kuchochea moto na kuionyesha hiyo dunia kuwa nchini Tanzania hakuna utawala wa sheria.

Kama kuuwawa kwa Maalbino kumetuaibisha kama taifa, matamshi ya Pinda yameshindilia msumari hiyo aibu. Kusema tuliache hilo kunazidi kudhihirisha tusivyokuwa makini katika maamuzi yetu mengi.

Naungana na Watanzania wenzangu kulaani matendo yoyote yanayosababisha upotevu wa maisha ya mtu hata kama ni kulipiza kisasi. Na mkuu wa serikali kukurupuka na maneo kama ya Pinda ni hatari ilioje.

Tungekuwa na utawala wa sheria na uwajibikaji, hivi sasa nafasi ya Waziri Mkuu ingekuwa wazi.
 
Ahaaa! Sasa nimesikiliza hiyo sijui hotuba au maelezo yake bungeni. Kwa jinsi watu mnavyoiweka hapa ni kama vile Pinda alikuwa analia (bawling) uncontrollably. Hapana, Pinda alikuwa choked up. Kuna tofauti kubwa sana kati ya ku choke up na ku bawl.

Sasa watu wengine hapa mnafanya ionekane kama vile Pinda alibubujikwa na machozi. Hapana bana. Kwangu kulia sio hoja hata kidogo. Hoja na kilicho cha msingi hapa ni hatua gani za dharura zilizochukuliwa kukomesha unyama huu.

Mmekuwa so caught na huko so called kulia hadi mmesahau yaliyo ya muhimu. Kwa mfano, ni waziri yupi hasa anayehusika moja kwa moja na usalama wa wananchi? Yeye katoa tamko gani?

Kosa la Pinda sio kuzidiwa na hisia bungeni. Kosa lake ni kauli alizotoa. Na kama bado hajazikana (kuzifuta hawezi kwa sababu keshazitoa) na kuomba radhi, basi hapo mimi nalia naye mpaka kieleweke.


.......yap yap yap........now u r talking Nyani
 
]................Majanga yanayowapata Maalbino nchini yameishtua dunia na matamshi ya awali ya Waziri Mkuu yamezidi kuchochea moto na kuionyesha hiyo dunia kuwa nchini Tanzania hakuna utawala wa sheria.[/SIZE]

Kama kuuwawa kwa Maalbino kumetuaibisha kama taifa, matamshi ya Pinda yameshindilia msumari hiyo aibu................Tungekuwa na utawala wa sheria na uwajibikaji, hivi sasa nafasi ya Waziri Mkuu ingekuwa wazi.[/quote]

........Mag3..

kula tano mkuu.........halafu bado kuna watu hawaoni/kufikiria ujumbe kama huo hapo........long way to go...dah
 
Wakuu hii habari kidogo imenipitia kando lakini hjata hivyo ningependa zaidi kufahamu yaliyotokana na....
Navyojua mimi kuna mtu alikamatwa huko Musoma akiwa na viungo mkononi vya binadamu (albino) na alikamatwa lakini hadi leo hii hakuna mlolongo wa waandishi kuhusiana na habari ile au ya watu zaidi ya 90 waliokamatwa..Zilipewa heading siku za mwanzo tu kisha giii hadi kifo kingine na kingine!
Na ajabu hakuna hata mtu mmoja aliyekwisha hukumiwa mabli ya kuwepo ushahidi mkubwa na wazi kabisa ili kutoa onyo na fundisho kwa wachawi na wale wote wanaoubeba uchawi ktk jamii yetu..Na ndio maana hadi leo watu bado wanaendelea na biashara yao kwani hawaoni nguvu ya sheria ktk kuhukumu swala hili..
Sasa kama Pinda amesema hawa watu wauawe akiwa na maana wale waliokamatwa kuna hitilafu gani ikiwa sheria ya nchi yetu inatoa hukumu kali kama za kuuawa!..
Ni mara ngapi tumesikia Rais Bush akisema Osama akipatikana auawe!.. Je, hii ina Bush alikuwa akivunja sheria kwa kutoa maelekezo ya kisiasa pale sheria inapotakiwa ama alikuwa akizungumzia adhabu ya juu kutolewa kwa mtu kama huyu..
Samahani wakuu sikusikilizaa mahojiano ya Mwanakijiji na Pinda kabla ya kuja hapa pia huko nyuma mlikoanzia nimesoma habari hii juu juu tu - kusema kweli kila nilipokuwa nikizisoma, mwenyewe nilisema hawa watu wanatakiwa kuuawa tu!.. yaani nikiwa na maana hakuna hukumu ya haki kwa wahalifu hawa isipokuwa kifo..
 
................Ni mara ngapi tumesikia Rais Bush akisema Osama akipatikana auawe!.. Je, hii ina Bush alikuwa akivunja sheria kwa kutoa maelekezo ya kisiasa pale sheria inapotakiwa ama alikuwa akizungumzia adhabu ya juu kutolewa kwa mtu kama huyu............


Mkuu Bob.....heshima mbele

1. Hatuwezi ku-enzi ukichaa wa George Bush kwa ku-endorse nonsense ya Pinda.....

2......kuzungumzia adhabu!!.....mkuu......kuna mhimili (mahakama) ambao unatakiwa kutoa hiyo hukumu.....na sio Waziri Mkuu......itakuwa ni gaffe tu (za kina Iddi Amin na huyo Bush).....kwa utawala wa sheria........hatuhitaji kwenda shule ya Katiba kulielewa hili.........

.......Pinda kachemsha na inabidi ai-revoke kauli yake......period
 
Ogah,
Nakusoma vizuri sana isipokuwa bado kidogo hujanipata.. yes kuna political correctness ktk kutoa habari ambayo ni tangulizi ya maamuzi ya korti. Hata Saadam Hussein alipokuwa akitafutwa kuna wale waliosema ata face justice na wengine wakasema atauawa wakiwa na maana in a process ya hiyo hiyo justice haina maana kuwa atakapo patikana tu auawe.. Lakini hizi zote ni lugha tu, ukweli unabakia kwamba wote wanataka mtu huyo anyongwe!..

Hata huyo Bush unayemsema leo alifuata sheria pamoja na kwamba alichosema ni kuuawa kwa Saadam.. nina hakika ndivyo alivyo mean hata kwa Osama. hivyo message zote hizi zinahusu ku face justice ila inategemea na wakati aki present hiyo message..
Kwa hiyo mkuu wangu binafsi sina matatizo ya message kama hizi zinazotangulia sheria kwa sababu haina maana zipo nje ya sheria isipokuwa ni pendekezo la adhabu ya juu kwa wahusika hata kama mahakama ipo!..
Pinda kachemsha kweli lakini tuwe makini zaidi ktk kutafuna habari kama hii kwa sababu navyofahamu mimi kiongozi yeyote anaweza kutanguliza kauli inyohusiana na sheria isipokuwa kama tungekuwa hatuna hukumu ya kuua hapo ndio ingekuwa zengwe la kufungia kengele..
Trust me hata mimi hapa nasema hao walioua Albino sioni hukumu ya haki isipokuwa nao wahukumiwe kifo -IF found guilty!
Now, ikiwa nimetoka nje ya sheria kwa kutoa maoni kama hayo then nadhani sheria yetu ingetakiwa isiweke hukumu zake wazi yaani wanasheria na mahakimu tu ndio wajue nini hukumu ya kosa fulani..
 
Ogah,
Nakusoma vizuri sana isipokuwa bado kidogo hujanipata.. yes kuna political correctness ktk kutoa habari ambayo ni tangulizi ya maamuzi ya korti. Hata Saadam Hussein alipokuwa akitafutwa kuna wale waliosema ata face justice na wengine wakasema atauawa wakiwa na maana in a process ya hiyo hiyo justice haina maana kuwa atakapo patikana tu auawe.. Lakini hizi zote ni lugha tu, ukweli unabakia kwamba wote wanataka mtu huyo anyongwe!..

Hata huyo Bush unayemsema leo alifuata sheria pamoja na kwamba alichosema ni kuuawa kwa Saadam.. nina hakika ndivyo alivyo mean hata kwa Osama. hivyo message zote hizi zinahusu ku face justice ila inategemea na wakati aki present hiyo message..
Kwa hiyo mkuu wangu binafsi sina matatizo ya message kama hizi zinazotangulia sheria kwa sababu haina maana zipo nje ya sheria isipokuwa ni pendekezo la adhabu ya juu kwa wahusika hata kama mahakama ipo!..
Pinda kachemsha kweli lakini tuwe makini zaidi ktk kutafuna habari kama hii kwa sababu navyofahamu mimi kiongozi yeyote anaweza kutanguliza kauli inyohusiana na sheria isipokuwa kama tungekuwa hatuna hukumu ya kuua hapo ndio ingekuwa zengwe la kufungia kengele..
Trust me hata mimi hapa nasema hao walioua Albino sioni hukumu ya haki isipokuwa nao wahukumiwe kifo -IF found guilty!
Now, ikiwa nimetoka nje ya sheria kwa kutoa maoni kama hayo then nadhani sheria yetu ingetakiwa isiweke hukumu zake wazi yaani wanasheria na mahakimu tu ndio wajue nini hukumu ya kosa fulani..


Bob heshima mbele,

Hapa tunachogomba ni kuona Waziri mkuu ana taka watu wavunje katiba aliyoapa kuilinda. Definitely, ukianza kujustify..hatuwezi kufika mwisho. Mkuu Tanzania ina raia million almost 40, wewe jiulize kiranja mkuu kama Pinda anaamka leo na kusema wanaoua Albino wauawe...Think about it. Yes, kuua maalbino its beyond comprehension..lakini aliyeua Albino..ni kama yule aliyeteka basi na kuua watu huko Kimisi au Lindi! Basi turudi kwenye Torati...jino kwa jino, meno kwa meno...Mkandara unataka kuniambia kwamba kauli kama ya Pinda inaweza kumaliza tatizo la maalbino kuuawa? KESHO KIBAKA AKIKAMATWA ATACHOMWA MOTO, HATA WATU INNOCENT WATAUAWA KWA SABABU WATU WANAWASHUKU! Pinda atapata wapi guts za kuwakemea? Well, Mkandara akisema...tunaweza tukasonga mbele tukasema ni mwananchi mwenye hasira. Lakini hapa tunamuongelea Waziri Mkuu! Na kama Ogah alivyosema huwezi halalisha ujinga wa Bush kwa ku-compare madhambi ya Pinda..Ndo maana leo Obama anabadilisha kila kitu cha Bush..kwa sababu hata wanaomsupport Bush..wana-admit kwamba jamaa alichemka.

Pinda was wrong! Na hapo ndipo tunapoingia Mkenge sisi waafrika kwa sababu tuna double standards. Kwa nini leo watu tuseme kwamba Pinda aachwe, na kesho hiyo hiyo tunamtaka Pinda atekeleze katiba ambayo yeye haiamini? Jiulize leo Kibaka akichomwa moto hata kama kasingiziwa...Pinda atasemaje kama kiongozi wetu? Ndo maana tuna vyombo kama mahakama..na matatizo yake..lakini tumeviamini vitoe hiyo haki. Tuache ujanja ujanja hapa. KAMA TUNATAKA RULE OF LAW as we claim, basi..tuwe tayari kuyafanya yanayoendana na hiyo Rule of Law. Mkandara ungesema hivyo mimi sina wasi wasi...kabisa...wewe ni mdanganyika tuu...lakini Pinda ni waziri mkuu wa malbino na ni waziri mkuu wa wale wanaoua maalbino! Its sad but its tru!

Hakuna mtu anayemchukia Pinda. lakini ni vyema tukaangalia what we want as a nation. Huwezi kuendesha nchi kijanja kijanja hivi. Tangu lini uvunjanji wa sheria kikawa kitu cha huruma? Ingebidi Pinda awajibike Sasa kama kuwajibika ni kujiuzuru sijui....Lazima tutofautishe Kauli ya MASANJA,Mkandara, Mwanakijiji na mtu kama Pinda au Masha!

Tatizo kubwa la sisi waafrika tunataka kuapply sheria selectively! Ndo maana watu wanaiba billions and billions, lakini hata magereza yanabadilishwa wanawekewa vyumba vya VIP! wakati wezi wa kuku wanapigwa na viroboto huko kwenye mass accomodation ya gereza...na sisi tunashangilia. Sitasita kusema hata sisi wananchi tunakuwa washirika wa uovu huo unaofanywa na watendaji wetu.

Pinda as Pinda..he can get away with it..but as a Prime Minister? He should be fully responsible for such irresponsible statement! Na Nyani akisema ndivyo tulivyo...tunamuwakia...ila ukweli ndiyo huo.

Waafrika bana.....peponi tunapenda kwenda, ila kufa hatutaki! Sasa sijui tutafikaje peponi.
 
Niliwahi kusema huko nyuma, serikali yetu inaendeshwa kijanjajanja. JK na timu yake wote longolongo kibao. Huwezi kutueleza kuwa Tanzania ni nchi inayoendeshwa na utawala wa sheria. Utawala wa sheria maana yake NONE IS ABOVE THE LAW.Suppose kama angekuwa ni Dk. Slaa katoa maneo yale, mmmh sijui ingekuwaje. Yaani wangetumia nafasi hiyo kummaliza na kumuondoa katika ramani ya siasa Tanzania. Yangeletwa mashitaka mbele ya jaji kuhusu uvunjaji wa AMANI, angepelekwa Ukonga kunyea ndoo. Serikali haitakiwi kuwa biased, kama Pinda kachemka na kuchochea uvunjaji wa AMANI, then awajibike au awajibishwe na si kuleta mchezo wa kuigiza wa kutoa machozi bungeni watu wajue kuwa una uchungu na maalbino.
Kama kweli ana uchungu na Maalbino kwa nini asimkalie shingoni Waziri masha na IGP????????? Watu wamekalia deal ya ID lakini wanasahau binadamu wengine wanaendelea kuuawa kwa sababu ya uzembe katika suala la ulinzi. Serikali iko kimbelembele kuzuia mikutano ya vyama vya upinzani lakini viongozi hawako tayari kutoa maagizo na ufuatiliaji mkali kuhusu vifo vya albino.
Nakumbuka kipindi fulani kiongozi wa juu wa serikali aliwahi kuoa maagizo kuwa mtu akifa kwa njaa basi Mkuu wa wilaya ajiuzuru. Ok, kwa nini order kama hii isitolewe kwa wakuu wa wilaya na OCDs kuhusu ALBINOs????

Pinda, onyesha ukomavu katika uwajibikaji na watu wataendelea kukuheshimu.
 
Niliwahi kusema huko nyuma, serikali yetu inaendeshwa kijanjajanja. JK na timu yake wote longolongo kibao. Huwezi kutueleza kuwa Tanzania ni nchi inayoendeshwa na utawala wa sheria. Utawala wa sheria maana yake NONE IS ABOVE THE LAW.Suppose kama angekuwa ni Dk. Slaa katoa maneo yale, mmmh sijui ingekuwaje. Yaani wangetumia nafasi hiyo kummaliza na kumuondoa katika ramani ya siasa Tanzania. Yangeletwa mashitaka mbele ya jaji kuhusu uvunjaji wa AMANI, angepelekwa Ukonga kunyea ndoo. Serikali haitakiwi kuwa biased, kama Pinda kachemka na kuchochea uvunjaji wa AMANI, then awajibike au awajibishwe na si kuleta mchezo wa kuigiza wa kutoa machozi bungeni watu wajue kuwa una uchungu na maalbino.
Kama kweli ana uchungu na Maalbino kwa nini asimkalie shingoni Waziri masha na IGP????????? Watu wamekalia deal ya ID lakini wanasahau binadamu wengine wanaendelea kuuawa kwa sababu ya uzembe katika suala la ulinzi. Serikali iko kimbelembele kuzuia mikutano ya vyama vya upinzani lakini viongozi hawako tayari kutoa maagizo na ufuatiliaji mkali kuhusu vifo vya albino.
Nakumbuka kipindi fulani kiongozi wa juu wa serikali aliwahi kuoa maagizo kuwa mtu akifa kwa njaa basi Mkuu wa wilaya ajiuzuru. Ok, kwa nini order kama hii isitolewe kwa wakuu wa wilaya na OCDs kuhusu ALBINOs????

Pinda, onyesha ukomavu katika uwajibikaji na watu wataendelea kukuheshimu.

Hongera kwa kugandamiza ndivyo hawa watesaji wa awamu hii lazima waonje joto la sheria, Pinda yuko mikoani anatoa amri watu wavunje katiba kwa kuwaua watu papo kwa papo,(Huyu ameona raha ya masuali ya papo kwa papo kuwa yanammaliza mtu mara moja kama alivyoulizwa kuh.Zan).yeye yuko mikoani akitoa amri hiyo na mwengine yupo Zanzibar akisema watarudi kutesa 2010, naona kama walikuwa na kikao cha siri na makubaliano yao ni kuuwa tu.Pinda maneno ya ndani yamemponyoka.
 
Masanja,
Lakini hapa tunamuongelea Waziri Mkuu! Na kama Ogah alivyosema huwezi halalisha ujinga wa Bush kwa ku-compare madhambi ya Pinda..Ndo maana leo Obama anabadilisha kila kitu cha Bush..kwa sababu hata wanaomsupport Bush..wana-admit kwamba jamaa alichemka.
Mkuu Obama hakuja kupinga usemi wa Bush wala hakuwahi kusema ule ni Ujinga... hakuna kiongozi hata mmoja aliyempinga Bush katika usemi ule...na hakika record itaonyesha hata yeye Obama alisema akisikia Osama yuko mahala fulani ndani ya Pakistan ataruhusu majeshi yake akiwa kama C in C, kumuua bila idhini ya Pakistan ikiwa wao watashindwa...We will defeat Al Qaeda ndio usemi wake mkubwa na mwenye kuelewa maana anajua kinafuata kipi..

Hayo ni ya Marekani, lakini my point inapinga jinsi sisi wananchi tunavyochukua maamuzi yetu haraka bila kufikiria na binafsi hata tamko letu AJIUZURU linatangulia sheria hivyo naweza kusema tumekosea..
Nakumbuka Mwinyi kuna wakati aliwahi kusema kule Songea akiwahamasisha wananchi walime Korosho alisema hivi:- Wananchi kazaneni ktk Mikorosho na watu wakaichukulia out of context..Unajua tena yaliyofuata..

Mkuu nakubali Pinda kashemsha isipokuwa najaribu kuwafahamisha kwamba hii ni cheap shot kisiasa na hata ukitazama vibaka wanaokamatwa na kuuawa nchini hakuna kiongozxi hata mmoja aliyesimama na kusema wauliwe, sisi wananchi wenyewe tunachukua sheria mkononi na hii inaendelea hadi kesho.. Double standard ni pale tunapoweza kuua vibaka kwa kuwapiga mawe lakini tunapinga kauli tu ya Kiongozi ambaye mimi binafsi nimemsoma alikuwa akimaanisha kitu gani, besides kama sikosei kawaomba samahani ikiwa amewapotosha...

Tukirudi ktk issues nyinginezo tumezungumza humu kuhusu Lowassa, Mkapa na wengine wafilisiwe, waende jela na kadhalika haya yote ni maneno yanayotangulia sheria lakini haina maana tuna maanisha wafungwe na kufilisiwa bila sheria..Mkapa aliwahi kusema kuhusu Machafuko ya Zanzibar kutumia nguvu ya Dola na akatumia kweli lakini sikusikia Mtanzania (hasa Wabara) wakisimama kuom,ba ajiuzuru, Wauaji ya Mwembechai, Mrema na majambazi haya yote ni matendo machafu ambayo hayakufuata sheria tulishindwa kuyakemea badala yake tuliwasifia viongozi hawa, leo Pinda kasema tu wanaoua Zeruzeru wauawe imekuwa kosa kubwa ambalo halina hata msamaha kwetu..
Double standard ni sisi wananchi mkuu wangu, Pinda kasema alosema na hakuna mtu hata mmoja ambaye kisha chukua hatua ya kuua watu ovyo, ikiwa na maana wananchi wanaelewa kuwa Mh. Waziri mkuu hakuwa akizungumza na wananchi direct kuwaambia wachukue sheria mikononi mwao..lakini on the other hand sisi tunaendelea kuua vibaka bila hata kuuliza sheria inasema vipi na hakuna heading hata ktk gazeti moja likiwaomba wananchi kuacha vitendo hivyo!.. Kesho ukienda Kariakoo na ukaitiwa Mwizi watakuua...Hii law imepasishwa na wananchi na sisi tumeshindwa kuwakemea viongozi wetu kuhakikisha vitendo hivi havifanyiki..

Nazidi kusema ni kawaida ya binadamu kutanguliza hukumu inayotakiwa kulipa maovu ya mhusika hata kama wanafahamu ni lazima mhusika atinge Kisutu kwanza..Kuna maneno mengi yamesemwa na kina Mbowe kuhusiana na Utawala huu, kama vile kuingia msituni, afadhali ya Mkoloni na hata Dr.Slaa ambaye kama nakumbuka vizuri alisema kipigo alichopata Mtikila huko Tarime ni size yake..Haya ni maneno ambayo yanatangulia sheria haina maana kabisa kuwa kiongozi huku anasisitiza watu waendelee kufanya madhambi hayo...
Pinda alichemsha?.. Ohhh Yes, lakini kosa lake ni swala la kufahamu tu kuwa hakuwa na maana zaidi ya wito kwa sheria kutumika kutoa adhabu kali...
 
Mkandara,

..nakubaliana na hekima ulizotoa ktk bandiko lako.

..Waziri Mkuu amekiri makosa na ameomba radhi, so lets move on.
 
Mkuu Obama hakuja kupinga usemi wa Bush wala hakuwahi kusema ule ni Ujinga... hakuna kiongozi hata mmoja aliyempinga Bush katika usemi ule...na hakika record itaonyesha hata yeye Obama alisema akisikia Osama yuko mahala fulani ndani ya Pakistan ataruhusu majeshi yake akiwa kama C in C, kumuua bila idhini ya Pakistan ikiwa wao watashindwa...We will defeat Al Qaeda ndio usemi wake mkubwa na mwenye kuelewa maana anajua kinafuata kipi..

Hayo ni ya Marekani, lakini my point inapinga jinsi sisi wananchi tunavyochukua maamuzi yetu haraka bila kufikiria na binafsi hata tamko letu AJIUZURU linatangulia sheria hivyo naweza kusema tumekosea..
Nakumbuka Mwinyi kuna wakati aliwahi kusema kule Songea akiwahamasisha wananchi walime Korosho alisema hivi:- Wananchi kazaneni ktk Mikorosho na watu wakaichukulia out of context..Unajua tena yaliyofuata..

Mkuu nakubali Pinda kashemsha isipokuwa najaribu kuwafahamisha kwamba hii ni cheap shot kisiasa na hata ukitazama vibaka wanaokamatwa na kuuawa nchini hakuna kiongozxi hata mmoja aliyesimama na kusema wauliwe, sisi wananchi wenyewe tunachukua sheria mkononi na hii inaendelea hadi kesho.. Double standard ni pale tunapoweza kuua vibaka kwa kuwapiga mawe lakini tunapinga kauli tu ya Kiongozi ambaye mimi binafsi nimemsoma alikuwa akimaanisha kitu gani, besides kama sikosei kawaomba samahani ikiwa amewapotosha...

Tukirudi ktk issues nyinginezo tumezungumza humu kuhusu Lowassa, Mkapa na wengine wafilisiwe, waende jela na kadhalika haya yote ni maneno yanayotangulia sheria lakini haina maana tuna maanisha wafungwe na kufilisiwa bila sheria..Mkapa aliwahi kusema kuhusu Machafuko ya Zanzibar kutumia nguvu ya Dola na akatumia kweli lakini sikusikia Mtanzania (hasa Wabara) wakisimama kuom,ba ajiuzuru, Wauaji ya Mwembechai, Mrema na majambazi haya yote ni matendo machafu ambayo hayakufuata sheria tulishindwa kuyakemea badala yake tuliwasifia viongozi hawa, leo Pinda kasema tu wanaoua Zeruzeru wauawe imekuwa kosa kubwa ambalo halina hata msamaha kwetu..
Double standard ni sisi wananchi mkuu wangu, Pinda kasema alosema na hakuna mtu hata mmoja ambaye kisha chukua hatua ya kuua watu ovyo, ikiwa na maana wananchi wanaelewa kuwa Mh. Waziri mkuu hakuwa akizungumza na wananchi direct kuwaambia wachukue sheria mikononi mwao..lakini on the other hand sisi tunaendelea kuua vibaka bila hata kuuliza sheria inasema vipi na hakuna heading hata ktk gazeti moja likiwaomba wananchi kuacha vitendo hivyo!.. Kesho ukienda Kariakoo na ukaitiwa Mwizi watakuua...Hii law imepasishwa na wananchi na sisi tumeshindwa kuwakemea viongozi wetu kuhakikisha vitendo hivi havifanyiki..

Nazidi kusema ni kawaida ya binadamu kutanguliza hukumu inayotakiwa kulipa maovu ya mhusika hata kama wanafahamu ni lazima mhusika atinge Kisutu kwanza..Kuna maneno mengi yamesemwa na kina Mbowe kuhusiana na Utawala huu, kama vile kuingia msituni, afadhali ya Mkoloni na hata Dr.Slaa ambaye kama nakumbuka vizuri alisema kipigo alichopata Mtikila huko Tarime ni size yake..Haya ni maneno ambayo yanatangulia sheria haina maana kabisa kuwa kiongozi huku anasisitiza watu waendelee kufanya madhambi hayo...
Pinda alichemsha?.. Ohhh Yes, lakini kosa lake ni swala la kufahamu tu kuwa hakuwa na maana zaidi ya wito kwa sheria kutumika kutoa adhabu kali...

- Mkulu Bob, darasa zito sana hili, tupo pamoja hapo mkuu!
 
Masanja,

Mkuu Obama hakuja kupinga usemi wa Bush wala hakuwahi kusema ule ni Ujinga... hakuna kiongozi hata mmoja aliyempinga Bush katika usemi ule...na hakika record itaonyesha hata yeye Obama alisema akisikia Osama yuko mahala fulani ndani ya Pakistan ataruhusu majeshi yake akiwa kama C in C, kumuua bila idhini ya Pakistan ikiwa wao watashindwa...We will defeat Al Qaeda ndio usemi wake mkubwa na mwenye kuelewa maana anajua kinafuata kipi..

Hayo ni ya Marekani, lakini my point inapinga jinsi sisi wananchi tunavyochukua maamuzi yetu haraka bila kufikiria na binafsi hata tamko letu AJIUZURU linatangulia sheria hivyo naweza kusema tumekosea..
Nakumbuka Mwinyi kuna wakati aliwahi kusema kule Songea akiwahamasisha wananchi walime Korosho alisema hivi:- Wananchi kazaneni ktk Mikorosho na watu wakaichukulia out of context..Unajua tena yaliyofuata..

Mkuu nakubali Pinda kashemsha isipokuwa najaribu kuwafahamisha kwamba hii ni cheap shot kisiasa na hata ukitazama vibaka wanaokamatwa na kuuawa nchini hakuna kiongozxi hata mmoja aliyesimama na kusema wauliwe, sisi wananchi wenyewe tunachukua sheria mkononi na hii inaendelea hadi kesho.. Double standard ni pale tunapoweza kuua vibaka kwa kuwapiga mawe lakini tunapinga kauli tu ya Kiongozi ambaye mimi binafsi nimemsoma alikuwa akimaanisha kitu gani, besides kama sikosei kawaomba samahani ikiwa amewapotosha...

Tukirudi ktk issues nyinginezo tumezungumza humu kuhusu Lowassa, Mkapa na wengine wafilisiwe, waende jela na kadhalika haya yote ni maneno yanayotangulia sheria lakini haina maana tuna maanisha wafungwe na kufilisiwa bila sheria..Mkapa aliwahi kusema kuhusu Machafuko ya Zanzibar kutumia nguvu ya Dola na akatumia kweli lakini sikusikia Mtanzania (hasa Wabara) wakisimama kuom,ba ajiuzuru, Wauaji ya Mwembechai, Mrema na majambazi haya yote ni matendo machafu ambayo hayakufuata sheria tulishindwa kuyakemea badala yake tuliwasifia viongozi hawa, leo Pinda kasema tu wanaoua Zeruzeru wauawe imekuwa kosa kubwa ambalo halina hata msamaha kwetu..
Double standard ni sisi wananchi mkuu wangu, Pinda kasema alosema na hakuna mtu hata mmoja ambaye kisha chukua hatua ya kuua watu ovyo, ikiwa na maana wananchi wanaelewa kuwa Mh. Waziri mkuu hakuwa akizungumza na wananchi direct kuwaambia wachukue sheria mikononi mwao..lakini on the other hand sisi tunaendelea kuua vibaka bila hata kuuliza sheria inasema vipi na hakuna heading hata ktk gazeti moja likiwaomba wananchi kuacha vitendo hivyo!.. Kesho ukienda Kariakoo na ukaitiwa Mwizi watakuua...Hii law imepasishwa na wananchi na sisi tumeshindwa kuwakemea viongozi wetu kuhakikisha vitendo hivi havifanyiki..

Nazidi kusema ni kawaida ya binadamu kutanguliza hukumu inayotakiwa kulipa maovu ya mhusika hata kama wanafahamu ni lazima mhusika atinge Kisutu kwanza..Kuna maneno mengi yamesemwa na kina Mbowe kuhusiana na Utawala huu, kama vile kuingia msituni, afadhali ya Mkoloni na hata Dr.Slaa ambaye kama nakumbuka vizuri alisema kipigo alichopata Mtikila huko Tarime ni size yake..Haya ni maneno ambayo yanatangulia sheria haina maana kabisa kuwa kiongozi huku anasisitiza watu waendelee kufanya madhambi hayo...
Pinda alichemsha?.. Ohhh Yes, lakini kosa lake ni swala la kufahamu tu kuwa hakuwa na maana zaidi ya wito kwa sheria kutumika kutoa adhabu kali...

Mkandara:

Kuna hoja za kisiasa hili mtu aeleze ukweli fulani lakini maelezo yakishapatikana ni lazima watu wa-move on.

Hata watu wanaomsifia Obama wakumbuke maneno ya pastor wake yalikuwa mazito sana. Lakini watu walipomsikiliza Obama walimpa nafasi.
 
Back
Top Bottom