"Tamko la Pinda"

- Huyu gavana wa Chicago ni a joke, ambaye huwezi mfananisha na a classman kama Pinda, Waziri wtu mkuu amekubali kua alipitiwa na emotions na facts ni kwamba toka alipotoa kauli yake mpaka alipoomba radhi hakukuwa na athari zozote zilizokwiwsha tokea as the results ya maneno yake, as opposed na gavana wa Chicago, ambaye alileta mtafaruku mkubwa sana kwa State yake kutokana na maneno na matendo yake, na hata kufikishwa kwenye sheria.

- Ni ishu mbili ambazo hazifanani, Pinda ni mstaarbu mno kulinganisha na yule joke wa Chicago. Ameomba msamaha kwangu inatosha na ni mfano kwa viongozi wetu wengine, Mtikila ameshikwa ameomba hela kwa Rostam, lakini bado anajaribu kujifanya much know!

Well, FMEs, mkuu heshima zote, but I don't see eye to eye with you kwa sababu Pinda amerudiarudia kauli yake. Hana tofauti na Blago in this respect. Ameomba radhi (ingawa it is still debated whether ameomba radhi kweli au amejiumauma) baada ya kuona wabunge wamekuja juu na kuona hatari ya possible impeachment. But I am ready to let it go, as long as anaondoka na fundisho ya kuwa he should always think before he speaks or acts. And also he should owe up immediately siyo kuleta ubabe na kutuma spokesperson kutoa majibu yasiyoridhisha.

Also aword of caution: Unasema so far nobody has acted because of his word, je kesho mtu akiuwawa na wananchi wenye hasira na wao kusema walidhani alikuwa mwuaji wa maalbino, je Pinda atakuwa tayari kujiuzulu?

Mkuu FMES, hili si ishu la kuchukulia lightly!
 
8. Ninaifuta kwa sababu nimeapa kulinda Katiba hiyo na siyo hisia zangu binafsi.

9. Ninaifuta pia kwa sababu kama kiongozi wa serikali ni jukumu langu kutumia uwezo wangu wote na elimu yangu yote kuhakikisha taratibu na sheria zetu zinafuatwa na kila mtu, nikiwemo mimi.

10. Naomba niahidi kuwa niko tayari na nimedhamiria kuhakikisha kuwa nchi yetu inaendeshwa kwa kufuata utawala wa sheria kwa gharama yoyote ile.

11. Kama binadamu sisi sote hutekwa na hisia na wakati mwingine vionjo vyetu vinatuzidi nguvu.

12. Ndiyo ilivyokuwa kwangu na ninaomba radhi na msamaha Watanzania wenzangu kwa maneno yangu hayo ambayo kwa kiasi kikubwa yamehoji uwezo wangu wa kusimamia sheria au utawala bora.

13. Hata hivyo, endapo Bunge lako tukufu litaona kuwa sistahili kuendelea na wadhifa huu linaweza kupiga kura ya kuwa na imani au kutokuwa na imani nami.

- Mkuu haya maneno kwangu yako very clear kuwa yamesemwa na bina-adam mwenye mapungufu na asiyekamilika kama mimi, ni wajibu wangu kumuelewa kwa sababu sometimes siasa inatakiwa ifike to the dead end, ingawa pia ninaheshimu hoja yako ambayo politically ni valid sana, ila mimi Mungu wangu ninayemuabudu ananiambia inapofikia hapa hii ishu ilipo ku-drop the matter.

Thanxs!
 
- Mkuu haya maneno kwangu yako very clear kuwa yamesemwa na bina-adam mwenye mapungufu na asiyekamilika kama mimi, ni wajibu wangu kumuelewa kwa sababu sometimes siasa inatakiwa ifike to the dead end, ingawa pia ninaheshimu hoja yako ambayo politically ni valid sana, ila mimi Mungu wangu ninayemuabudu ananiambia inapofikia hapa hii ishu ilipo ku-drop the matter.

Thanxs!

Thank you FMES mkuu, you have convinced me that the issue should be dropped, asante kwa kuweka exact maneno ya Waziri mkuu hapa. I think he was not aware how serious the issue was getting. But once he saw the vote of no confidence coming up naona alichukua hatua inayotakiwa.

Lakini there is something lingering in the back of my mind vis a vis Pinda and this incident na kulia kwake.... can't shake the feeling.... but let us move on to the next issues! I am done here!
 
Yes, nimemtumia Bush na rais wa China kama viongozi waliolia hadharani na hakuna aliyesema hawafai kuongoza kwa sababu wamelia.

Narudia tena Pinda kama binadamu yoyote yule ana haki ya kulia kama jambo limemuumiza au kumgusa...

Hakuna aliyemkosoa Bush kwa kulia lia kwa sababu huo ni utamaduni wao! Sisi Watanzania, viongozi na wananchi, hatuna emotional fragility za kujilizaliza ovyo hadharani tukichemsha. Pinda ndio anataka kuanza kuigaiga vitabia vya wa Magharibi. Ni ulimbukeni!

Pinda ana haki ya kulialia? Umesema haki?

Tofauti ya binadamu na mnyama pori ni kwamba binadamu ha-exercise every right they have. Mnyama akitaka kujisikia huru kuzurura nje ya pori anazurura mpaka anaingia mjini anauawa. Akitaka kula watoto wake anakula mpaka anaishiwa kizazi. Akijisikia kupandana anapanda mpaka na ndugu zake. Binadamu, tofauti na hawa, tuna exercise rights with discretion, responsibility and character. Tunatafuta kilicho right, sio tulicho na right nacho. Wewe kama raia huru una haki ya kuwa a promiscuous flake, unaweza ku exercise hiyo right bila kuoneka umepagawa? So don't tell me about having rights, tell me about being right. Okay?

Mtoto ndio analialia hadharani baada ya kukosea! Wewe na Pinda ni watu wazima sasa, hamuwezi kujilizaliza hadharani ovyo. Watanzania hatuna ulegevu wa hisia wa kujilizaliza hadharani kama viongozi wa Magharibi wakishikwa kwenye public debacle.
 
Last edited:
Hakuna aliyemkosoa Bush kwa kulia lia kwa sababu huo ni utamaduni wao! Sisi Watanzania, viongozi na wananchi, hatuna emotional fragility za kujilizaliza ovyo hadharani tukichemsha. Pinda ndio anataka kuanza kuigaiga vitabia vya wa Magharibi. Ni ulimbukeni!

Pinda ana haki ya kulialia? Umesema haki?

Tofauti ya binadamu na mnyama pori ni kwamba binadamu ha-exercise every right they have. Mnyama akitaka kujisikia huru kuzurura nje ya pori anazurura mpaka anaingia mjini anauawa. Akitaka kula watoto wake anakula mpaka anaishiwa kizazi. Akijisikia kupandana anapanda mpaka na ndugu zake. Binadamu, tofauti na hawa, tuna exercise rights with discretion, responsibility and character. Tunatafuta kilicho right, sio tulicho na right nacho. Wewe kama raia huru una haki ya kuwa a promiscuous flake, unaweza ku exercise hiyo right bila kuoneka umepagawa? So don't tell me about having rights, tell me about being right. Okay?

Mtoto ndio analialia hadharani baada ya kukosea! Wewe na Pinda ni watu wazima sasa, hamuwezi kujilizaliza hadharani mkichemsha. Watanzania hatuna ulegevu wa hisia wa kujilizaliza hadharani kama viongozi wa Magharibi wakishikwa kwenye public debacle.

Kwani Pinda kalia kwa sababu ipi, kwamba kauli yake aliyoitoa ilikuwa mbaya na ya kichochezi au analia kwa sababu ya machungu ya kuona ma albino wanavyofanyiwa?

Halafu na wewe bana unashangaza sana wakati mwingine! Yaani unashikia bango kulia utadhani sijui nini...exactly what is the big deal with one crying? Ain't it human? Good grief! What a butt hole you are...
 
We Nyaniii! Mwache Kuhani labda he doesn't like girly men, ok?! BUt actually you asked a valid question why did Pinda cry? Mi naona that is the thing lingering in my mind....
 
Mie nashangaa huyo Pinda anaomba hata huo msamaha wa nini, wakti alichosema ndio ukweli wenyewe na ufumbuzi pekee ulobaki wa tatizo hili!!

Binafsi suala la kuuawa kwa ma-albino linanikera sana, nina anko yangu, mkewe na watoto wanne wote ni albinos.....tukiongea kwa simu, ua ananitoa wasi kuwa mambo hayo ni huko vijijini na "tunahangaika kweli na serikali ishughulikie tatizo hili" (ni afisa flani ktk kile chama chao)!! Tatizo bado linaendelea!! Soln hapa ni kuua wanaoua ma-albino, fisadi wooote weka jela, vibaka na wezi wengine huko mitaani nao pia ni wa kuua tu....waganga wa kienyeji wanaoitisha viungo vya ma-albino nao pia ni kuwajibu mapigo kwa ncha ya upanga!! Siku wakimchinja anko yako au memba wa familia yake mtaniona kwenye nyuzi kuwa nimejibu mapigo!!! Habari ndio hiyo.

Angalia hawa walivyo shughulikiwa hapo Nairobi!! "Ati yanajifanya yenyewe ni mafala............"

[media]http://www.youtube.com/watch?v=Eb2vlsDpe3U&NR=1[/media]

YNIM, kwanza mkuu poleni sana katika familia. Mimi binafsi sina ndugu ni mjuaje albino lakini sidhani kama kuwa na ndugu au kutokuwa na ndugu inakupa haki zaidi ya wananchi wengine. Bindamu yoyote mwenye normal feelings anaemphatize with the plights of albinos. NImeona akina mama wakitokwa machozi walipoona malbino waliouwawa na kukatwa mikono. Lakini ni lazima wote tufuate sheria na utaratibu wa nchi. Kuna thread nyingine ameanzisha Mwanakijiji kuhusu suluhisho. That is the right way to go.
 
Hakuna aliyemkosoa Bush kwa kulia lia kwa sababu huo ni utamaduni wao! Sisi Watanzania, viongozi na wananchi, hatuna emotional fragility za kujilizaliza ovyo hadharani tukichemsha. Pinda ndio anataka kuanza kuigaiga vitabia vya wa Magharibi. Ni ulimbukeni!

Pinda ana haki ya kulialia? Umesema haki?

Tofauti ya binadamu na mnyama pori ni kwamba binadamu ha-exercise every right they have. Mnyama akitaka kujisikia huru kuzurura nje ya pori anazurura mpaka anaingia mjini anauawa. Akitaka kula watoto wake anakula mpaka anaishiwa kizazi. Akijisikia kupandana anapanda mpaka na ndugu zake. Binadamu, tofauti na hawa, tuna exercise rights with discretion, responsibility and character. Tunatafuta kilicho right, sio tulicho na right nacho. Wewe kama raia huru una haki ya kuwa a promiscuous flake, unaweza ku exercise hiyo right bila kuoneka umepagawa? So don't tell me about having rights, tell me about being right. Okay?

Mtoto ndio analialia hadharani baada ya kukosea! Wewe na Pinda ni watu wazima sasa, hamuwezi kujilizaliza hadharani ovyo. Watanzania hatuna ulegevu wa hisia wa kujilizaliza hadharani kama viongozi wa Magharibi wakishikwa kwenye public debacle.

Yawn!
Kwenye red hapo, unajaza bandwidth tuu.

Na kama angekuwa analilia cheo angesema hivi?
13. Hata hivyo, endapo Bunge lako tukufu litaona kuwa sistahili kuendelea na wadhifa huu linaweza kupiga kura ya kuwa na imani au kutokuwa na imani nami.
 
Last edited:
We Nyaniii! Mwache Kuhani labda he doesn't like girly men, ok?! BUt actually you asked a valid question why did Pinda cry? Mi naona that is the thing lingering in my mind....

Yeah..why did he cry? Was it to get sympathy for the gaffe he made or was it the hurt of hearing the horrific stories of innocent people getting killed? I don't know but The Almighty, The All Knowing, The Lord Kuhani Mkuu seems to know....heheheheheee...what doesn't he know?
 
Mambo mengine na mijitu mengine ni vyema kui-ignore kuliko kupoteza muda kujibishana nao!! Binafsi ndugu yangu akiuawa kwasababu ya viuongo vyake nitarudi bongo ku-revenge.....mie naona Pinda yupo weak kwa kuomba msamaha ktk suala kama hili!! Bongo ili isonge mbele inabidi watu waache unafiki........dawa ya tatizo hili ni kuwaua hao waganga, wateja wao na hao wajinga wanaoenda front kuua watu!!

Tatizo ni kuwa sishangai hata hii tabia ya kuua albino imetokea wapi....kukua ktk familia yenye watu wenye tatizo hili nimeona na kusikia mengi sana!! Nakumbuka wakti nikiwa form two anko yangu alikuja Moro mkutanoni (mikutano yao) na wakati huo nadhani mwenyeketi alikuwa bwenga/muhaya flani hivi ambae pia alikuwa lecturer pale IDM-Mzumbe enzi hizo!! So baada ya mkutano walikuja mitaa ya Mzumbe na anko kusema twendeni tukamcheck YNIM pale secondary.....wakaja kama ma-albino sita hivi kunitembelea, huwezi kuamini mpaka walimu wali-act kipumbavu sana!!! Nikaanza kutaniwa "tupinkere" na kwamba ktk familia yetu mie peke yangu ndio sio albino n.k!! Yaani unaona jinsi ambavyo albinos wanavyoonekana kana kwamba wao ni watu nusu.......

Ma-albino ni watu, damu zao haziwezi kuendelea kumwagika bila ya wale wakosaji kulipa......they kill my uncle, his wife or the kids, we as a family, we'll revenge!!
Pole sana mkuu, I am also very sensitive to discrimination in any form, na ninafahamu ya kuwa ma-albino Tanzania wanachukuliwa kuwa zeru (yaani ghosts) na walikuwa wanasema hawazaliwi wala hawafi eti wanazuka tu na vitu kama hivyo. Tatizo ni elimu. (siyo education I mean awareness)
 
katika kipindi cha maswali ya kwa papo kwa papo kwa waziri mkuu bungeni hapo jana asubuhi waziri mkuu mizengo pinda aliangua kilio wakati akikiri kuwa alisema kuwa wanaoua maalbino nao wauwawe!

pinda alisema''nia yangu ilikuwa kuwataadhalisha wauwaji,mimi niliamini kwamba TISHIO hili,lugha hii ya kuwatisha wataamini kwamba serikali sasa imedhamiria jambo hili,kama ktk hili watanzania wanaona NIMEFANYA MAKOSA,''vema'',lakini nia yangu ilikuwa nzuri saana, nia yangu haikuwa hiyo ambayo vyombo vya habari vinang'ang'ania kuvisema wakaacha mambo mengine mazuri ambayo niliyahimiza ktk kupambana na jambo hili.

Akamaliza kwa kusema''MHESHIMIWA SPIKA NAMWOMBA MUNGU ANISAMEHE SANA KAMA NIMEWAKOSEA,LAKINI NIA YANGU ILIKUWA NZURI SANA.''
 
Mambo mengine na mijitu mengine ni vyema kui-ignore kuliko kupoteza muda kujibishana nao!! Binafsi ndugu yangu akiuawa kwasababu ya viuongo vyake nitarudi bongo ku-revenge.....mie naona Pinda yupo weak kwa kuomba msamaha ktk suala kama hili!! Bongo ili isonge mbele inabidi watu waache unafiki........dawa ya tatizo hili ni kuwaua hao waganga, wateja wao na hao wajinga wanaoenda front kuua watu!!

Tatizo ni kuwa sishangai hata hii tabia ya kuua albino imetokea wapi....kukua ktk familia yenye watu wenye tatizo hili nimeona na kusikia mengi sana!! Nakumbuka wakti nikiwa form two anko yangu alikuja Moro mkutanoni (mikutano yao) na wakati huo nadhani mwenyeketi alikuwa bwenga/muhaya flani hivi ambae pia alikuwa lecturer pale IDM-Mzumbe enzi hizo!! So baada ya mkutano walikuja mitaa ya Mzumbe na anko kusema twendeni tukamcheck YNIM pale secondary.....wakaja kama ma-albino sita hivi kunitembelea, huwezi kuamini mpaka walimu wali-act kipumbavu sana!!! Nikaanza kutaniwa "tupinkere" na kwamba ktk familia yetu mie peke yangu ndio sio albino n.k!! Yaani unaona jinsi ambavyo albinos wanavyoonekana kana kwamba wao ni watu nusu.......

Ma-albino ni watu, damu zao haziwezi kuendelea kumwagika bila ya wale wakosaji kulipa......they kill my uncle, his wife or the kids, we as a family, we'll revenge!!

See, that's why I like you man...you tell it like it tii aii iiz....

Honestly, I see where you are coming and personally I don't know how I would react....one thing I know for sure is, it will be ugly...
 
Ubovu wenyewe ni kuwa "enuff with the politics," mie nshasema, tena anaishi Mwananyamala.........i dare hao pumbavu wakajaribu!!! Sheria za nchi my foot, zingekuwepo hata hili tatizo lisingekuwepo!! Ala..

YNIM, lakini tatizo hili la sheria na utaratibu not being upheld si tu kwa maalbino lakini ni katika nyanja zote za maisha. So we cannot treat this as an isolated issue. They are manifestation of compounded problems in our society!
 
Hivi Mh Pinda amesahau ya kuwa sura yake ilikuwa ni kitisho tosha,,hakuitaji kusema maneno yote hayo ili kuweza kuwatisha..Pia Alichokuwa akililia Bunge hasa ni nini?Je ni kauli hiyo aliyosema?Au ni ukatili wanaofanyiwa Albino? Au analia ili Wananchi wamuonee huruma asiweze kuwaga unga?
 
Bravo Pinda kwa kukiri kukosea na kuomba msamaha ni watu wachache mno wanaoweza kufanya hicho kitu
 
Hawa CCM ni wauaji na walichokifanya Pemba ni yaleyale ya mheshimiwa Pinda kuwa yeye ndio yeye na analolisema linakuwa hakuna wakulipinga na hakuna wa kumshitaki ndio hivyo kwa Pemba hakuna alieshitakiwa wala kuchukuliwa hatua,sababu ni kauli hizihizi za jazba na za kujiona kwamba mimi ndie mkuu na hakuna wa kunivuta shati,Pinda lugha ya kutumia kuwakilisha hisia zake wakati yeyey kama Waziri Mkuu zilimshinda na hivyo kuwadirect watu kuchukua hatua mikononi mwao jambo ambalo linaendana kinyume na sheria za nchi na hapo ndipo mwanya kwa upande wa wapinzani ulipopatikana.

Ila kwa vile Tz imepiga hatua kidemokrasia watu wamemtolea uvivu na ndipo unapopatikana ule msemo wa ...Atajiju..! Watu hao wakijua adhabu stahili ya mtu huyo ni hiyo hiyo ya kuuliwa endapo atakamatwa na raia ,ikiwa kibaka wa kijiselula anauwawa itakuwa mtu ambae ni udhia kwa Taifa zima aneua Albino ,Mheshimiwa alishindwa kufahamu kuwa adhabu ya kifo kwa mtu huyo haiepukiki ikiwa atabambwa live na raia na hata bila ya yeye kutoa ruhusa hilo ni jambo au hukumu hiyo ipo ,ila hadi sasa ni wangapi wamekamatwa na kusulubiwa na raia ? Jawabu naona hakuna hata mhusika mmoja aliekamatwa ! Kama ni kujiuzulu au kuachia ngazi basi Pinda alitakiwa kufanya hivyo kwa kushindwa kuzuia mauaji hayo na sio kuvunja sheria,? Kwani wakati yeye anatoa kauli hiyo ni siku hiyo albino aliuliwa.

Mbali ya kuzuia keseni za uganga wa kienyeji ,waganga wamekuja juu na kutaka awape ushahidi kuwa wahusika ni waganga wakienyeji ,huo ni mkwala mwengine ambao inatakiwa muheshimiwa atoe jawabu ,ikiwa serikali imewahi kuwakamata wahusika wa mauaji Je mnyororo wa ushahidi wao uliwapelekea wapi ? ikiwa kiungo kinafikia bei ya mamilioni nafikiri kama 40,Je ni nani anaetafuta utajiri wa kuhatarisha zaidi ya milioni hizo kwa mganga hapa Tanzania ? Waziri Mkuu na Waziri wake husika pamoja na wasaidizi wanatakiwa watupe jawabu au ushahidi unaopatikana unawagusa? Maana tunasikia baadhi ya wahusika wa wauaji albino wanakamatwa.

Ila kama amevunja sheria Mheshimiwa Pinda ni lazima alikubali hilo na sheria za nchi zichukue mkondo wake,wapo waTz wengi ambao wanaweza kuendeleza na kuutaka Uwaziri Mkuu,ndio utawala wa sheria unavyokwenda ,tunaimani kuwa hakuna kiongozi yupo juu ya sheria.Kuna yule aliemuona Albino na kusema ...dili hio inapita..alipelekwa kwenye vyombo vya sheria na hivi sasa anatumikia kifungo jela.

Kwa ufupi kama ni wa kufuata sheria basi sheria ifuatwe na viongozi wafahamu kuwa raia wakimbaka muuaji basi haina haja ya viongozi kusema huo ni wajibu wao na cha kufanya kinajulikana hukohuko uraiani lakini sio kwenye vyombo vya serikali,just vyombo vya serikali vitimize wajibu wake wa kuwaambia raia msijichukulie sheria mikononi,itatosha kwa ndio hivyo hivyo kwa vibaka na bado.
 
Jamani nadhani tujifunze utamaduni wa kujiuzuru, kama kakili kosa basi awe tayari kuachia ngazi, kuna watanzania zaidi ya mil 40. Wapo watakaoweza ilinda katiba yetu. Asamehewe kwa sababu kakubari makosa si sababu ya kuachiwa, huyu Mh Pinda ameisha toa kauli tata nyingi mno tokea aingia madarakani....hapa sasa he should swallow the bitter pills....

Ushirombo
hili tatizo la wabongo ni kubwa sana? How many PMs should resign for you to know its not worth it?? Kujiuzulu maana yake nini haswa? Acheni ushabiki wa kimichezo!! Kama PM kaongea bungeni tayari what else do you want him to explain?
Nadhani hapa tunajipotosha tu... watanzania tunapenda kujadili mambo ambayo suluhu yake ishapatikana kuliko yale yanayohitaji tuyatatue... Lets please discuss some other things lakini sio hili!!

Kama ni kujiuzulu how will it help the Albinos??

Hii inahusu uhai wa binadamu wenzetu sio FA Premiership wala UEFA cup! Lets talk sense and think wise!!

I admit hata mi ningekuwa katika position yake i would have just said the same on the people who kill albinos! Things that are happening out there are not any better, they are evil..very evil and inhuman!!

Mungu Ibariki Tanzania... Mungu Ibariki Afrika!
 
Back
Top Bottom