OSOKONI
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 10,965
- 5,336
walimu hawatakaa walipwe haki zao woga na uduni wa kufikiri umewatawala!hakuna mgomo unaweza kuruhusiwa na mahakama hata siku moja! mkiamua kupiga kunji piga mwanzo mwisho habari ya mahakamani achaneni nayo! CWT na Mukoba wameshafyata mkia na kuagiza walimu warudi kazini tena naishauri serikali iwashitaki kwa kuitisha mgomo mbuzi! mnatia aibu walimu!wafanyakazi hakuna haja kuitisha mambo ya mahakama tukilianzisha tulianzishe kavukavu mahakama ni huko mbele ya safari,. yaani mnategemea serikali na mahakama viwaruhusu kugoma au kuandamana>????