Chanzo cha matatizo ya Chama cha Walimu (CWT) sio Japhet Maganga

William Mshumbusi

JF-Expert Member
Mar 27, 2012
1,657
2,252
CWT ilianza kupata mapengo muda mrefu hata kabla ya katibu Japhet Maganga.

Kwa Japhet Yeye anaamini wanaomuhujumu ni viongozi waliopita, hasa katibu. Wapo wanaoamini siasa ya CWT inaathiri sana siasa za vyama vya siasa.

Binafsi sioni kabisa hata ushawishi ilionao CWT kwa walimu. Wanachama wake wengi karibu asilimia 90 hawataki kabisa kuwepo huko ila ama vitisho au kulazimishwa tu au kushindwa kujitoa.

CWT imeweza kuua kila chama mbadala cha walimu na kufanya walimu kuwa mateka.

Kama viongozi wa CWT hawawezi kumtoa Japhet na lea Ulaya mpaka Rais afanye uteuzi na bado wakaugomea sioni haja ya Serikali kupambana na hilo kundi lote la ujanja ujanja.

Kama maafisa Utumishi wakisimamia sheria, wakatenda haki ndani ya miezi 3 naamini CWT itabaki na majengo tupu yasiyo na watu. Kila mwalimu hatakuwa mwanachama wake.

Sema juu wanapambana na chama lakini chini wanakipambania.

Swala hili linaichafua serikali juu ya uhuru wa vyama vya wafanyakazi kimataifa.
 
CWT ilianza kupata mapengo muda mrefu hata kabla ya katibu Japhet Maganga.

Kwa Japhet Yeye anaamini wanaomuhujumu ni viongozi waliopita, hasa katibu. Wapo wanaoamini siasa ya CWT inaathiri sana siasa za vyama vya siasa.

Binafsi sioni kabisa hata ushawishi ilionao CWT kwa walimu. Wanachama wake wengi karibu asilimia 90 hawataki kabisa kuwepo huko ila ama vitisho au kulazimishwa tu au kushindwa kujitoa.

CWT imeweza kuua kila chama mbadala cha walimu na kufanya walimu kuwa mateka.

Kama viongozi wa CWT hawawezi kumtoa Japhet na lea Ulaya mpaka Rais afanye uteuzi na bado wakaugomea sioni haja ya Serikali kupambana na hilo kundi lote la ujanja ujanja.

Kama maafisa Utumishi wakisimamia sheria, wakatenda haki ndani ya miezi 3 naamini CWT itabaki na majengo tupu yasiyo na watu. Kila mwalimu hatakuwa mwanachama wake.

Sema juu wanapambana na chama lakini chini wanakipambania.

Swala hili linaichafua serikali juu ya uhuru wa vyama vya wafanyakazi kimataifa.
"Divide and Rule Principle."
 
Hao Cwt kuna siku watachoka kuwahonga hao maafisa utumishi ili wasiwatoe walimu kutoka Cwt na kuwapeleka chakuhawata . Walimu wenye nia msikate tamaa haki yako si lazima uipatie hapo halmashauri songeni mbele kwa kupeleka malalamiko yenu kwa RAS TAKUKURU mwisho fikeni au mpigie mtetezi wenu ambaye ameapa kuwatetea na kuwalinda mh Mchengerwa

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Tatizo ni watu walioingia wa rushwa cwt baada ya kufurumushwa Kwa nguvu mwishoni mwa mwaka Jana Kwa mapinduzi. Hao walitengeneza himaya Yao ikavunjwa vibaya. Akiwemo deus na kikosi chake. Serikali Kwa asili yake inafaidika na mgogoro wa chama Cha wafanyakazi.

Huwezi niambia eti serikali ilitaka kusuluhisha mgogoro Kwa kuwahamisha au kuwateua viongozi wa cwt serkalini. Hiyo ni promotion Kwa KAZI nzuri ya kuitetea serikali walipikuwa cwt. Ndo maana Hao walioteuliwa walikataaa kukubali ni usaliti Kwa walimu.

Mtu kama kiongozi wa vyama vya wafanyakazi ni msumbufu Kwa serikali Kwa kudai masalahi ya walimu na kero Kwa serikali. Alafu leo anachaguliwa unasema alikuwa wa walimu? Jibu ni no hakuwa mtetezi Bali mnafiki

Sasa shida wanafiki Hao walifurumushwa wote ndo wanaolalamika Kila kona.

Maganga alichaguliwa na walimu wote pale Kwa mapinduzi yuko pale halali kabisa Kwa mujibu wa katiba ya cwt
 
Back
Top Bottom