Tamko la Chama Cha Walimu(CWT)

Kumbuka pia kipato cha walimu ni kidogo sna na juzi walitishiwa hawatalipwa mishahara kama wataendelea na mgomo....lakini kama wangekuwa na kipato kizuri wakawa na akiba angalau miezi mitatu wangeliendeleza kwasasa acha waendelee na mgomo baridi mpaka mwaka 2015. waakuwa na mchango mkubwa sana kuiondoa serikali hii ya kibabe....

Hii comment nimeipenda ki ukweli.sijui
kama serikali inaplan B ya watu wa kusimamia uchaguzi 2015 au imeamua liwalo na liwe...
 
Ee Mugu tusaidie!!zaidi ya 3/4 ya watz wana umaskini wa kipato(income poverty),kwa hy wengi wa watoto wa tz wanasoma kwenye public schools,bila elimu(c ile ya kwenye matokeo ya mitihani) watu hawa watakua watumwa either wa waafrika wenzao ama wa mataifa wengine e.g wacpojua jiografia vyema,hawatajua mipaka ya nchi hii wanamoishi,maliasili muhmu kama mafuta na inakoweza kupatikana nchini,etc!!mgomo baridi ni kusababisha kuperish kwa taifa letu cku ww ukiwa kaburini,vijana wachache wa cku izo watatulaum wote sio jk tu!!mi naona bora kufikiria kitu kingine ila co kufundisha uongo au kutofundisha kabsa,kama unaona huwz kuona njia mbadala ebu imiza wenzio labda kuna m2 anaweza akaja na mawazo mazuri!!MUNGU IBARIKI TANZANIA
 
ndo nini sasa umewapotezea wenzio muda mpaka wamekosa kazi ya sensa halafu unasitisha mgomo kirahisi namna hii, unafikiri siku nyingine watakuamini tena? Umeshapoteza imani kwao, ungejipanga mapema serikali imekushika sehemu ndogo sana, ungewauliza madaktari wakupe muelekeo kuwa wao kuwa walifanyeje?
 
Walimu waliunga mkono mgomo huu lakini viongozi wao wamewaangusha, tena wamechangia sana kufanya mgomo ushindwa. Siamini kama viongozi wa cww hawakujua taratibu za kufuata au walishirikiana na serikali kukiuka kanuni makusudi ili mgomo ushindwa. Si ajabu JK alivyoongelea suala lao juzi alikuwa mpole vile?

Je, walimu bado mna imani na viongozi wa ccw katika kutetea maslahi yaenu? Mkoba anasema mgomo umefanikiwa; je, walimu wamepata yale waliyokuwa wanapigania au mmeishia kuwakosesha masomo watoto wetu?

Mkoba inabidi ataueleze iwapo walimu waendelee kumwamini kuandaa mgomo mwingine!

UKITAKA KUELEWA ANACHOSEMA MKOBA.
kaa mwezi 1 fanya kama unatembelea shule yoyote ya serikali jirani nawe ndo utajua nini mkoba anamaanisha.
Siku mwl akiacha kugoma utajua tu ila kwa sasa mwl amegoma na ataendelea kugoma mpaka watu mtamuelewa mwl akigoma ni madhara gani yanayojitokeza...
 
tunarudi kwasababu tumelazimishwa na mahakama lakini msitegemee tutafundisha... subirini division Omari... tu
 
That`s what expected, For now retreat is the only solution, ili tujipange upya na shule zikifunguliwa tunarudi kudai chetu hadi kielewekeHatuwezi kukubali katika familia moja ya baba na mama mmoja watoto wanapata distingushed service lazima kitaeleweka

TUNAFIKIRI PART 1 IMESHASOMEKA LENGO LILIKUWA NI KUWA ALERT KUWA SISI WALIMU TUKIAMUA TUTANAWEZA NA HAKUNA WA KUTUZUIA SASA BASI HII PART 2 ITAKAYOFIKA BAADA YA KUFUNGUA SHULE HAKUNA KINACHOWEZA KUTUSTOPISHA KWANI HATA HUKO WANAKOTEGEMEA KUKIMBILIA TUTAKUWA TAYARI KWA LOLOTE.

MY FELLOW TEACHERS THIS IS JUST A BEGNING THE REALLY PICTURE IS SOON TO COME NO BODY CAN STOP ITBIG UP MUKOBA WE WILL FIGHT TOGETHER UNTIL THEN

Causation zipo3,1ni necessary cause eg.meza ya mazungumzo[tayari],2ni emmediate cause eg.mgomo[tayari] na tatu ni ultimate cause eg.maandamano[yatafuata tu]baada ya hapo kitaeleweka2.
 
Nimeipenda hii. Hawana dili hawa waalimu. Kwanza ni watu ambao serikali haiwapendi kabisa na inaweza kuwafukuza any time!!

Acheni dharau na kejeli, hasa mtu anapodai haki kwa mwajili wake. Ninyi mpo hapa na unaandika na kuchangia leo kwenye hii JF, Mwalimu ndiye aliyekusaidia. Laana itakuwa juu yenu kwa kumtukana mwalimu. Shiiittt!!!
 
Maneno yako aliwahi kuyasema Mwl. E. Kezilahabi. soma shairi lake.
Sikilizeni wimbo huu:
Nilipokuwa mtoto niliitwa Chacha
Kwa matamshi yangu ya sasa
Nilipokuwa kijana niliitwa Chaupele
Nilipokuwa mtu mzima niliitwa Manywele
Nilipokuwa Mwalimu nikaitwa Bure.

Huu utakuwa wimbo wako
Utakapostaafu urudipo nyumbani
Umelewa kangara na nyayo zako
Zikishindwa kulenga njia nyembamba vijijini.
Utakuwa kichekesho cha watoto
Watakaokuita, Ticha! Popote upitapo.

Kumbuka Mwalimu utakapostaafu.
Mijusi watataga mayai ndani ya viatu
Vyako vilivyokwisha visigino
Na ndani ya sidiria chakavu
Zilizoshikizwa kamba kwa pini.
Mende watazaliana ndani ya chupa tupu
Za marashi na za bia.

Na manyigu yatajenga ndani ya kofia
Zilizosahaulika kutani.
Utakapokufa nge watazaliana
Chini ya jiwe juu ya kaburi lako,
Na mlevi fulani (isome fisadi) akipita atapenga
Na kupangusa vidole kwenye jiwe pweke.
Mwanzo na mwisho wako ndio huo.

Lakini wakati ungali hai
Unaweza kubadilisha mkondo wa maji.
Lakini kwanza tuzungumze. Wewe na mimi.
Acha mioyo yetu izungumze.
Baada ya kunyanyaswa
Na kisha nusu mshahara.
 
Hi Picha nimeiona Sehemu nina ipa Like kwa Machungu... Sijui nilie!!!
552143_421773161207687_1208863243_n.jpg
Liwalo na Liwe... kama Kiwete anasema haina uwezo wa Kuwalipa mimi napoana watoke Madarakani wapishe wanaoweza Kuendesha Nchi .. huyu jamaa tukimuacha atatuachia nchi yenye Wajinga wengi... Dawa ya Jeuri ni Kusudi ila Watakao umia ni Wananchi...
 
tunarudi kwasababu tumelazimishwa na mahakama lakini msitegemee tutafundisha... subirini division Omari... tu

Sasa mkisha fika shule si mfundishe tu hao watoto,kama mliamua kugoma mngejipanga mfanye mgomo wa ukweli au huo wa awamu ya pili mgome mgomo wa kutikisa serikali ila kwa sasa muwafundishe tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom