Tamko la CHADEMA kuhusu Mabomu ya Gongo la Mboto

Chadema walishatuonya wakati wa kampeni kuwa kuichagua CCM ni kuleta maafa katika nchi hii,sasa nimeelewa maana ya kauli ile. Maafa kama haya ya kizembe yataendelea kutokea siku hadi siku (nasi tutabaki kusema Mungu aepushilie mbali) kwa vile hakuna wa kumwajibisha mwenzie ndani ya serikali hii. Wale wabunge wa chama kinachowakilisha watanzania kila wakisema yaliyo ya msingi wanaishia kuzomewa na hao wabunge maslahi.
kweli madhara tumeyaona................waziri wa ulinzi na mkuu wa majeshi wajihudhuri kwa uzembe wa mara ya 3 kutokea
 
huuu ni ujinga kwakweli wewe ni mbunge wa ccm au unacheo gani mkuu!???

Henge sina cheo mkuu na infact mie pia nimeathirika na hayo mabomu kwani kuna ndugu zangu ni wakaazi wa huko ila wewe huoni kama kuwahukumu viongozi ikaja kutokea ni hujuma iliyopangwa utasemaje? Think twice mkuu usikurupuke tu kukumbatia kitu halafu ukaja kujuta baadae.
 
Chadema Tamko lenu lina mapungufu yafuatayo:-

a. Kwanza waziri wa ulinzi amehusika vp na mlipuko wa Gongo la mboto hamjajua pengine ni uchakavu wa vifaa, ubovu wa kambi zenyewe, joto kali na mvua ya ghafla iliyonyesha jumamosi,jumapili mpaka jumatatu, hujuma pengine vyote vinachangia kutokea mlipuko kama huo nyie mmekimbilia kuwahukumu mawaziri pasina kujadili chanzo cha mlipuko huo???

b. Chadema kabla ya kuandika barua hii wangelianza kwa mfano kwenda kuwasaidia walioathirika wamebakia maneno tu vitendo hakuna. Watupatie basi zile millioni 90 zipunguze makali ya uchungu tulionao badala kukaa kuanza kulaumu pasina wao kwanza kutoa msaada.

c. Nawaunga mkono ripoti ya mbagala iko wapi na matatizo yalikuwa wapi na kwanini hili jambo limeendelea. Tukishafahamu tatizo liko wapi ndio tuandamane na kuwang'oa CCM wote.

Kuna mambo nawaunga mkono chadema ila hili kuwanyooshea vidole viongozi wakati nyie hamna lolote mlilolifanya siwaungi tena bora hata msiwaseme tunataka vitendo.

Mkuu wewe ni Mtanzania?
 
At least 20 dead in Dar explosions Thursday, 17 February 2011 09:29

By The Citizen Reporter
Dar es Salaam. At least 17 people have been confirmed dead following explosions at Tanzania People Defence Forces (TPDF) arms' depots at its Gombo la Mboto camp in Dar es Salaam on Wednesday night.

Prime Minister Mizengo Pinda has told the Parliament in Dodoma this morning that there are reports of three more deaths in the Kitunda area, a few kilometres from the Dar es Salaam metropolis.

He said 13 bodies have been preserved at Amana Hospital in Ilala, two at Temeke District Hospital and two at Muhimbili National Hospital.

He said the explosions started in one depot before spreading to others in the camp. Until this morning, a total of 23 depots had been razed by the explosions.

He said at least two residential houses and a secondary school were also destroyed by the explosions.

Premier Pinda told the National Assembly that at least 4,000 people have been sheltered at the National Stadium as more preparations are being made to accommodate all the victims of the blasts.

"The number of those who have died might increase and we will know the extent of the destruction and damage this morning," he said.

The Speaker of the national assembly, Ms Anne Makinda, adjourned the parliament session to give parliamentary committees time to meet over the disaster.
 
Henge sina cheo mkuu na infact mie pia nimeathirika na hayo mabomu kwani kuna ndugu zangu ni wakaazi wa huko ila wewe huoni kama kuwahukumu viongozi ikaja kutokea ni hujuma iliyopangwa utasemaje? Think twice mkuu usikurupuke tu kukumbatia kitu halafu ukaja kujuta baadae.
Mkuu heshima kwako mkuu hata mimi ni mmoja wawaathilika wamaboom hayo mkuu! But kwa hili lazima watu wawajibike hata kama ni hujuma ilitakiwa wazitambue mapema sasa kazi yao ni nini mkuu kama wanashindwa kulinda silaha zao wenyewe na wanajua kuwa maboom ni very sensitive yaani hata kama walimpa mtu asiyenaakili kwanini!? wawajibishwe mkuu ni njia pekeee ya kufanya kabla hawajaleta siasa hapa! I HATE SIASA mkuu hasa kwa mambo kama haya, Hii ni mala ya 3 kitu kilekile mkuu unakaa wapi wewe!? Kama leo ni kwetu ujue itakuja kwako tuu siku moja hawa watu si wakuwachekea hata kidogo WATOKE WAWAACHIE WANGINE HUO NDO USTAARABU MKUU!
 
Mkuu wewe ni Mtanzania?

Tena mkaazi wa huko huko hivyo usitafute kunichokoza maana nina hasira mpaka nimeomba day off kazini leo natamani ningelikuwapo ningelichukua japo bakora nikamcharaze mwanajeshi mmoja....
 
Mkuu heshima kwako mkuu hata mimi ni mmoja wawaathilika wamaboom hayo mkuu! But kwa hili lazima watu wawajibike hata kama ni hujuma ilitakiwa wazitambue mapema sasa kazi yao ni nini mkuu kama wanashindwa kulinda silaha zao wenyewe na wanajua kuwa maboom ni very sensitive yaani hata kama walimpa mtu asiyenaakili kwanini!? wawajibishwe mkuu ni njia pekeee ya kufanya kabla hawajaleta siasa hapa! I HATE SIASA mkuu hasa kwa mambo kama haya, Hii ni mala ya 3 kitu kilekile mkuu unakaa wapi wewe!? Kama leo ni kwetu ujue itakuja kwako tuu siku moja hawa watu si wakuwachekea hata kidogo WATOKE WAWAACHIE WANGINE HUO NDO USTAARABU MKUU!

Henge,

Mkuu mie sikatai ila kwanza tujue chanzo nini maana kuna maeneo mengi, Upanga, Kigamboni, Lugalo, Kawe, Kunduchi, na kwengineko sasa tuambiwe chanzo nini au kama vp wahamishe makambi yao kwenda huko mbali na makazi ya watu. Kukimbilia kuwaambia mawaziri wastaafu sio sahihi mkuu kwani kama hakuhusika kwanini ajiuzulu, ila kama amehusika then ni sahihi na yeye ajiuzulu. Kwasasa hivi tunataka kwanza an emergency plan watu wamepoteza baba zao na mama zao huku, watu wamepoteza watoto wao, nyumba, biashara, marafiki, wangelichukua pesa wanazogawana bungeni kuwasaidia hawa jamaa kwanza kuwapoza hasira. Then ikaanza utafiti wa nini chanzo na kutafuta solution ya moja kwa moja. Sio kukimbilia kufukuza watu kama mapunda wakati chanzo hujakijua wakikuambia kuwa mhusika ndio yule uliyemfukuza utasemaje???
 
Tanzania imewahi kutajwa kuwa moja ya njia salama zilipopitishwa silaha haramu kwenda sehemu zenye machafuko kama Kongo DR. Nahofia hii milipuko usije kuwa mwendelezo wa mchezo mchafu unaofanywa na wakuu wetu.
 
NAHISI MAJIBU YA WAZIRI YANAWEZA KUA HIVI

Mimi Kama waziri sijiuzu na sitafukuzwa kazi kwa sababu zifuatazo

•Nchi yetu hatuna historia ya kufukuzana kazi
•Pia hatuna utaratibu wa kujiuzulu ovyo hovyo, wazungu wao hujiuzulu ovyo hovyo kwa sababu wanajiweza kifedha, Mi nikijiuzulu unataka familia yangu ikale wapi.
•Tatu, tulisema milipuko kama ya mbagala haitatokea tena, kwa kuthibitisha hivyo, Mbagala yalipiga mchana, Gongo la Mboto yamepiga usiku, huoni hapo kama ni tofauti? Kua kama msomi, hata Mungu alipoahidi hataiangamiza dunia kwa mvua, haina maana mvua hazinjeshi tena.
•Sababu ya milipuko ya Gongo na Mbagala ni tofauti, Mbagala ilikua ni uchakavu. Gongo ilikua ni sikukuu na mkusikia fataki hata moja, hii ina maana iliwakilisha fataki pia, Pia chama cha Riadha kinakufa kwa hiyo ilikua nafasi ya kuwapata wanariadha pia, pia hua tunafanya majaribia oa mioto, hii pia ilikua kujaribu milio ya Somalia pia.

Mwisho kabisa naomba kumwambia Selathin kua yeye mwenyewe Tembo husumbua wananchi wake kila mwaka huko Rombo, mbona hajiuzulu huo uwaziri kivuli? Kujiuzuli sio mchezo
 
henge,

mkuu mie sikatai ila kwanza tujue chanzo nini maana kuna maeneo mengi, upanga, kigamboni, lugalo, kawe, kunduchi, na kwengineko sasa tuambiwe chanzo nini au kama vp wahamishe makambi yao kwenda huko mbali na makazi ya watu. Kukimbilia kuwaambia mawaziri wastaafu sio sahihi mkuu kwani kama hakuhusika kwanini ajiuzulu, ila kama amehusika then ni sahihi na yeye ajiuzulu. Kwasasa hivi tunataka kwanza an emergency plan watu wamepoteza baba zao na mama zao huku, watu wamepoteza watoto wao, nyumba, biashara, marafiki, wangelichukua pesa wanazogawana bungeni kuwasaidia hawa jamaa kwanza kuwapoza hasira. Then ikaanza utafiti wa nini chanzo na kutafuta solution ya moja kwa moja. Sio kukimbilia kufukuza watu kama mapunda wakati chanzo hujakijua wakikuambia kuwa mhusika ndio yule uliyemfukuza utasemaje???
mkuu pesa kitu gani kwenye maisha ya watu mkuu!
Kwa hapo anahusika tuu apende asipende lipoti ya kwanza aliifanyia kazi gani,
mkuu unamtetea means hakuna viongozi wengine mkuu,
unataka awe mhusika mpaka aonekane alikwenda kwenye hilo ghala,
kunakuhusika kwa namna nyingi mkuu na kwa upande wamwinyi hana pakujitetea.
 
Chadema Tamko lenu lina mapungufu yafuatayo:-

a. Kwanza waziri wa ulinzi amehusika vp na mlipuko wa Gongo la mboto hamjajua pengine ni uchakavu wa vifaa, ubovu wa kambi zenyewe, joto kali na mvua ya ghafla iliyonyesha jumamosi,jumapili mpaka jumatatu, hujuma pengine vyote vinachangia kutokea mlipuko kama huo nyie mmekimbilia kuwahukumu mawaziri pasina kujadili chanzo cha mlipuko huo???

b. Chadema kabla ya kuandika barua hii wangelianza kwa mfano kwenda kuwasaidia walioathirika wamebakia maneno tu vitendo hakuna. Watupatie basi zile millioni 90 zipunguze makali ya uchungu tulionao badala kukaa kuanza kulaumu pasina wao kwanza kutoa msaada.

c. Nawaunga mkono ripoti ya mbagala iko wapi na matatizo yalikuwa wapi na kwanini hili jambo limeendelea. Tukishafahamu tatizo liko wapi ndio tuandamane na kuwang'oa CCM wote.

Kuna mambo nawaunga mkono chadema ila hili kuwanyooshea vidole viongozi wakati nyie hamna lolote mlilolifanya siwaungi tena bora hata msiwaseme tunataka vitendo.
swala hapa sio mushabiki,waziri mwinyi alichukua hatua gani za kuwalinda raia baada ya milipuko ya mbagala?katika hili ni lazima wawajibike kwani hata kama ni bahati mbaya yani ni ndani ya miaka miwili tu?na mbaya zaidi wao wenyewe ndio waliowahakikishia wananchi kuwa maeneo yale ni salama kwa kuishi kwakuwa hali kama ile haitajirudia tena?sasa leo hii imejirudia tena kwa ari zaidi,nguvu zaidi na kasi zaidi!kama umeamua kuleta ushabiki mbele ya mambo ya msingi hapo sitakataa...na sitoshangaa wakiunda tume zao kuendelea kutafuna pesa zetu walipa kodi,na sitotarajia majawabu ya msingi kutokana na tume zao,kwani kwa uzoefu wa kawaida hakuna tume iliyowahio kuundwa na serikali ya awamu hii ya nne ikawa na mafanikio katika kutoa majawabu ya matatizo husika zaidi ya kubebana na kufichiana makosa kwa kisingizio cha bahati mbaya,sasa umefika wakati wahusika waachie ngazi na uchunguzi huru ufanywe kwani huwezi kumpa panya kesi ya kuiba mahindi na ukategemea upate majawabu ya tatizo husika.Mfano mzuri hadi leo hii yaku wapi majibu ya kashfa ya Polisi waliotaka kumbambikia madawa ya kulevya mtoto wa mengi?cha ajabu polisi hao wameamishwa vitengo tuu na hakuna jipya.....
So katika hili tunahitaji uwajibikaji wa Waziri na Mkuu wa Majeshi,na mnadhimu mkuu kwani yeye ndio anehusika na JWTZ
 
nahisi majibu ya waziri yanaweza kua hivi

mimi kama waziri sijiuzu na sitafukuzwa kazi kwa sababu zifuatazo

•nchi yetu hatuna historia ya kufukuzana kazi
•pia hatuna utaratibu wa kujiuzulu ovyo hovyo, wazungu wao hujiuzulu ovyo hovyo kwa sababu wanajiweza kifedha, mi nikijiuzulu unataka familia yangu ikale wapi.
•tatu, tulisema milipuko kama ya mbagala haitatokea tena, kwa kuthibitisha hivyo, mbagala yalipiga mchana, gongo la mboto yamepiga usiku, huoni hapo kama ni tofauti? Kua kama msomi, hata mungu alipoahidi hataiangamiza dunia kwa mvua, haina maana mvua hazinjeshi tena.
•sababu ya milipuko ya gongo na mbagala ni tofauti, mbagala ilikua ni uchakavu. Gongo ilikua ni sikukuu na mkusikia fataki hata moja, hii ina maana iliwakilisha fataki pia, pia chama cha riadha kinakufa kwa hiyo ilikua nafasi ya kuwapata wanariadha pia, pia hua tunafanya majaribia oa mioto, hii pia ilikua kujaribu milio ya somalia pia.

Mwisho kabisa naomba kumwambia selathin kua yeye mwenyewe tembo husumbua wananchi wake kila mwaka huko rombo, mbona hajiuzulu huo uwaziri kivuli? Kujiuzuli sio mchezo
ntaandamana mimi na mke wangu na mwanangu, kama risasi bora tupigwe!
 
Jamani hili la ajali lichukuliwe kwa uzito wake na si kwa ushabiki wa kisiasa...kiungwana nadhani zifanyike juhudi za haraka za kuokoa maisha ya wahanga wa tukio hili na zichukuliwe hatua za haraka kuhakikisha hakuna maafa zaidi baadaye...na baadaya hali kuwa shwari mamlaka husika zijipime kama kuna uzembe wowote katika hili uwajibikaji uwepo!


Sio swala siasa! try to be objective! Watu wanajadili jinsi serikali isivyochukulia swala kama hili kwa uzito wake (it happended before, in case ur not informed) kisha unasema siasa Hivi unajua kuwa wanaoshugulikia hilo swala ni viongozi wa kisiasa? Labda nikuulize tu hapo juu kwenye bold unakusudia nani achukue hatua za haraka?
 
HAKUNA WA KUWASAMEHE WAO (DR. MWINYI na MWAMNYANGE) LAZIMA WAONDOKE HATA IKIBIDI KWA NGUVU YA UMMA. SUALA LA KUUNDA TUME NIKAZI BURE ITOLEWE HADHARANI TAARIFA YA MBAGALA INEWEZEKANA INAYO MAJIBU YA TATIZO ILA HAWAJAMAA HUWA HAWAZIFANYII KAZI WAPISHE OFISI ZETU PAMOJA NA AFISA MNADHIMU LUT.GEN SHIMBO
 
kujiuzulu kwa viongozi ni kuruhusu uchunguzi kufanyika Chadema wako sahihi na sio suala la kisiasa na kama ni inshu ya siasa Basi tutaona mema yakifanywa na CCM kwa wahanga Juzi Joyce Kiria ALikikuwa anatafuta mchango kwa wahanga wa ifakara na wamesahaulika waliahidiwa kupewa chakula yapata miezi mitatu sasa leo hii gongo la mboto halafu viongozi wakae tuu huo ni ujinga WAKUU WA NCHI ANGALIENI NI KIASI GANI RAISI HAPUNDWI INAJIONYESHA KWENYE MITANDAO MPAKA ANATUKANWA
 
mkuu pesa kitu gani kwenye maisha ya watu mkuu!
Kwa hapo anahusika tuu apende asipende lipoti ya kwanza aliifanyia kazi gani,
mkuu unamtetea means hakuna viongozi wengine mkuu,
unataka awe mhusika mpaka aonekane alikwenda kwenye hilo ghala,
kunakuhusika kwa namna nyingi mkuu na kwa upande wamwinyi hana pakujitetea.

Mkuu,

Umeenda hospitali ya amana kuna nesi mmoja nimesikia alitaka kudai hela eti dawa hakuna anasahau watanzania hawa wanalipa kodi zinazoilipa hospitali ya amana nasikia watu karibu wampige. Sasa serikali iwe na emergency plan ya pesa kama vitu vya kula, nauli na dawa. Mie tangu lianze hilo zahama jana usiku hadi sasa nimeshatumia pesa nyingi sana kwa ndugu jamaa na majirani maana kuna watu hata kadi za benki wameacha nyumbani. Vilevile huko majumbani kumeibiwa hakutamaniki sasa usiseme hela haina faida ni muhimu sana mkuu.

Pili kumfukuza mtu wakati hatujajua kosa sio sahihi ninavyoona mie. Kuna mtu amesema ni uwajibikaji lakini uwajibika wakati hujajua kama kuna makosa au uzembe umefanyika ni sahihi?. Hatujajua nini kimetokea mbagala tunakimbilia kuwaambia jamaa wajiuzulu niwaulize wajiuzulu kwa lipi??? Pia ikija ikagundulika akina Dr Hussein Mwinyi walifanya kazi yao ila ukata umesababisha hizo solution kutekelezeka mtasemaje? Au pengine zilitekelezwa but kuna watu wanafanya hujuma kuleta hofu nchini mtasemaje?? Bado sikubaliani nanyi kwa hilo I am very sorry.
 
Tuache ushabiki wa kisiasi,hili ni janga.Sidhani kama chadema walijua janga hili kwa umoja wetu tuhakikishe wahanga wanahudumiwa kwanza,watu wanawajibishwa tena kwa uwazi hasa viongozi.
Kama serikali inawatendaji wa hovyo hovyo maafa kama haya yataendelea kujirudiarudia maana hakuna utatuzi wala tahadhari yeyote inayochukuliwa. Kweli ni janga la kitaifa,lakini halituzuii kuwanyooshea kidole wale wahusika. Ndio wajibu wetu. Ulitaka tukae majamvini na kulia tuu kuwa mapenzi ya Mungu yatimizwe? Think twice!
 
Henge,

Mkuu mie sikatai ila kwanza tujue chanzo nini maana kuna maeneo mengi, Upanga, Kigamboni, Lugalo, Kawe, Kunduchi, na kwengineko sasa tuambiwe chanzo nini au kama vp wahamishe makambi yao kwenda huko mbali na makazi ya watu. Kukimbilia kuwaambia mawaziri wastaafu sio sahihi mkuu kwani kama hakuhusika kwanini ajiuzulu, ila kama amehusika then ni sahihi na yeye ajiuzulu. Kwasasa hivi tunataka kwanza an emergency plan watu wamepoteza baba zao na mama zao huku, watu wamepoteza watoto wao, nyumba, biashara, marafiki, wangelichukua pesa wanazogawana bungeni kuwasaidia hawa jamaa kwanza kuwapoza hasira. Then ikaanza utafiti wa nini chanzo na kutafuta solution ya moja kwa moja. Sio kukimbilia kufukuza watu kama mapunda wakati chanzo hujakijua wakikuambia kuwa mhusika ndio yule uliyemfukuza utasemaje???

Kukielimisha kichwa kibovu kama hiki ni kupoteza muda tuu.
 
mkuu,

umeenda hospitali ya amana kuna nesi mmoja nimesikia alitaka kudai hela eti dawa hakuna anasahau watanzania hawa wanalipa kodi zinazoilipa hospitali ya amana nasikia watu karibu wampige. Sasa serikali iwe na emergency plan ya pesa kama vitu vya kula, nauli na dawa. Mie tangu lianze hilo zahama jana usiku hadi sasa nimeshatumia pesa nyingi sana kwa ndugu jamaa na majirani maana kuna watu hata kadi za benki wameacha nyumbani. Vilevile huko majumbani kumeibiwa hakutamaniki sasa usiseme hela haina faida ni muhimu sana mkuu.

Pili kumfukuza mtu wakati hatujajua kosa sio sahihi ninavyoona mie. Kuna mtu amesema ni uwajibikaji lakini uwajibika wakati hujajua kama kuna makosa au uzembe umefanyika ni sahihi?. Hatujajua nini kimetokea mbagala tunakimbilia kuwaambia jamaa wajiuzulu niwaulize wajiuzulu kwa lipi??? Pia ikija ikagundulika akina dr hussein mwinyi walifanya kazi yao ila ukata umesababisha hizo solution kutekelezeka mtasemaje? Au pengine zilitekelezwa but kuna watu wanafanya hujuma kuleta hofu nchini mtasemaje?? Bado sikubaliani nanyi kwa hilo i am very sorry.
mkuu nimekungongea lihasante hapo juu hilo lihasante nikwamsaada uliotoa na huo ndiyo utu mkuu! Asante sana!
But isue ya kujihudhuru kwa hawa watu napingana saana na wewe. Pesa mkuu kwenye kifo haziwezi kuzuia lolote, kwahiyo tunazozakulipa dowans za kuteketeza maboom hatuna? Achana na siasa za hivyo mkuu.
Kama maboom yaliteketezwa ilitakiwa wajilidhishe wao au mkuu unadhani kuongoza ni ofisini tuu? Ni pamoja na kwenda kwenye eneo la tukio, kiongozi wa ofisini hafai hao ndo wanaleta matatizo makubwa tafadhali wajiudhuru tuu!
 
Back
Top Bottom