Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,595
- 215,276
Kuna siku alikuweka kwenye picha na akaandika "Babu yake Kenzo".- Seriously simjui mtu yoyote zaidi ya kuwa me, that is all
le Mutuz
Kuna siku alikuweka kwenye picha na akaandika "Babu yake Kenzo".- Seriously simjui mtu yoyote zaidi ya kuwa me, that is all
le Mutuz
Kuna siku alikuweka kwenye picha na akaandika "Babu yake Kenzo".
Nimekuwa disappointed umechumbia, nilikuwa nakusubiri you know.- well, ukiwa na mawali serious yenye faida kwa wengine let me know, ila Ijumaa nitakuwa "FRIDAY NIGHT LIVE" EATV so tune in please!!
le Mutuz
Nimekuwa disappointed umechumbia, nilikuwa nakusubiri you know.
Huyo dada alijua mbebezz yuko na $$....mana analika kirahisi sana madreva tours wamepita sanaWanawake wenyewe hawawaelewi wanawake.sie wanaume ndo tutawaelewa?.Ila umaarufu ni mzigo mgumu sana kuubeba,aheri nyie wenye mioyo
Alafu mademu wengi wa kaskazini wana ka element flani ka bi polarityHuyo dada alijua mbebezz yuko na $$....mana analika kirahisi sana madreva tours wamepita sana
Huyo ni muuzaji tu mana pale karatu madreva wengi wa tours ndio kambi yao ya ufuskaAlafu mademu wengi wa kaskazini wana ka element flani ka bi polarity
Ila inauma, yani mtu wa karibu ndio amemnyakua baba Kenzo.Hivi nyalance iliishia wapi????
Au bi dada ndio kefilimbwa mwanaume kasepa???
Teh Teh, akikujua unalo..... Ngoja wadau wake tumpelekee nyepesi za JF....
Mimi huwa napenda attacks zake.... Haangalii mtu yoyote. Punch alizozirusha kwa February & Riz two ni za heavy weight kabisa.
Of course kwa mange lazina aumieIla inauma, yani mtu wa karibu ndio amemnyakua baba Kenzo.
Hii ni dhahiri architect alipatikana kwenye danguro.Of course kwa mange lazina aumie
Ila namsikitikia nyari....
Mwanaume hakatai kishimo aisew....tena Baadhi ya wanaume wanapoumizwa wanatafuta pa kutolea stress....akishatulia anasepa.
Ila wanawake hatujifunzi.....tunajiona tumekomesha mke....kumbe full kutumika... (ingawa utanu wanepata wote )
Miaka 30 ndio anagundua kuwa bora kurudi nyumbani? Ukichunguza unakuta hakurudi kwa kupenda ilimbidi. Nje kubaya, ila wengi wanamumunya maneno.Mi namkubali Le mutuz tu anasemaga ukweli kakaa mbele miaka 30 lakini maisha aliyokua anaishi kule na hapa home ni tofauti hapa kama yupo Ulaya alichoka maisha ya kuigiza hotel anayokula hapa huko Marekani hawezi kuingia wabongo wengi wana maisha ya kuunga unga huko mbele ila wanaona aibu kurudi maana hawana lolote.
Kwakweli huwezi kujipanga urudi na US$ 500 mfukoni.Miaka 30 ndio anagundua kuwa bora kurudi nyumbani? Ukichunguza unakuta hakurudi kwa kupenda ilimbidi. Nje kubaya, ila wengi wanamumunya maneno.
Nimkimbie wakati kapost mwenyewe mkuu?
Halafu baada ya kuona kaharibu akaifuta fastaaaa.
Aweke wazi tu,hakuna siri ya milele.
Moshi unafuka,karibuni patawaka moto.
Yule original ni changu anaigizaga ulady alafu anajisahau anarudi kule kule kwenye original.Ukifuatilia utagundua wanaomsupport mange ni wale wageni kwenye hizi social media husani instagram. Lkn huyu mtu sidhani kama kichwa yake ipo vizuri, baya na la hatari zaidi ni ile hazina kubwa ya maadui aliyojitengenezea.
Kuna audio clip alizipost akiitukana selikali wakiwemo makamba, nape, kinana na jpm, yani ni hatari kwa mtu anayejielew
Wanajuana, dada wa Lemutuz Dr. Mwele ndiye alikuwa mama wa Hiari wa Mange, mie kinachonisikitisha ni inakuwaje Lemutuz anavyojielezea anaweza kujibizana na mtoto kama Mange, mpwae wa Hiari?Kuna siku alikuweka kwenye picha na akaandika "Babu yake Kenzo".
Muongo kama Mange tu huyo mdingi, Waarabu wa Pemba, nimeishi marekani miaka 4 tu na sikurudi na $500. Tazama posti ya chakula alipata network ya kurusha kwa mfanyakazi akakosa ya kurusha ye mwenyewe lkn location ikabaki alikokuwa, pia sifa karatu zikamfanya aingie kichwa kichwa kwa lembebeZ ambaye hamfahamu, kwakupenda mtelezo akachukuliwa na kuzungushwa na mtu tu, baada ya kurukwa ndio anarudi kupiga mayowe wanawake hawaeleweki, Liar Liar and Lies!Kwakweli huwezi kujipanga urudi na US$ 500 mfukoni.