Talaka yamchanganya Mange Kimambi, mwenyewe akanusha, talaka yaanikwa!

Muongo kama Mange tu huyo mdingi, Waarabu wa Pemba, nimeishi marekani miaka 4 tu na sikurudi na $500. Tazama posti ya chakula alipata network ya kurusha kwa mfanyakazi akakosa ya kurusha ye mwenyewe lkn location ikabaki alikokuwa, pia sifa karatu zikamfanya aingie kichwa kichwa kwa lembebeZ ambaye hamfahamu, kwakupenda mtelezo akachukuliwa na kuzungushwa na mtu tu, baada ya kurukwa ndio anarudi kupiga mayowe wanawake hawaeleweki, Liar Liar and Lies!
Mjini sihami pa tamu bwana, watu wana mbinu za kuishi.
 
Shoga nilisikia le Mutuz huwa halipi mshahara.
Kwani hukusikia ile kesi yake na aliyemuajiri kama Secretary?
Nasikia hakumlipa mshahara kwa miezi mitatu!
Basi abaki na hilo tangazo lake la kazi. Mie nataka nilipiwe na NSSF na mkataba wa maana mshahara tarehe 25. W. J. Malecela hili tangazo lako liko certified na wizara ya kazi? mi nishatuma e mail ya maombi.
 
Ukifuatilia utagundua wanaomsupport mange ni wale wageni kwenye hizi social media husani instagram. Lkn huyu mtu sidhani kama kichwa yake ipo vizuri, baya na la hatari zaidi ni ile hazina kubwa ya maadui aliyojitengenezea.
Kuna audio clip alizipost akiitukana selikali wakiwemo makamba, nape, kinana na jpm, yani ni hatari kwa mtu anayejielew
Mwezi mchang/bi polar
 
Of course kwa mange lazina aumie

Ila namsikitikia nyari....

Mwanaume hakatai kishimo aisew....tena Baadhi ya wanaume wanapoumizwa wanatafuta pa kutolea stress....akishatulia anasepa.

Ila wanawake hatujifunzi.....tunajiona tumekomesha mke....kumbe full kutumika... (ingawa utanu wanepata wote )

Stress ndo zimemuweka baba Kenzo kwa Nyari, pia Nyari anataka kumkomoa Mange. Mapenzi ya hivi huwa hayafikagi mbali. At any cost, dont date out of revenge ili kumuumiza mtu. Mwisho wa siku waweza jikuta wewe ndo umeumia zaidi kuliko huyo uliyetaka kumuumiza. There is no way Lance can marry Nyari hata kama wame divorce na Mange. He is with her ili kumaliza stress but there is no love between the two. Only time will tell .
 
Stress ndo zimemuweka baba Kenzo kwa Nyari, pia Nyari anataka kumkomoa Mange. Mapenzi ya hivi huwa hayafikagi mbali. At any cost, dont date out of revenge ili kumuumiza mtu. Mwisho wa siku waweza jikuta wewe ndo umeumia zaidi kuliko huyo uliyetaka kumuumiza. There is no way Lance can marry Nyari hata kama wame divorce na Mange. He is with her ili kumaliza stress but there is no love between the two. Only time will tell .
Exactly

Ila nashangaa kwa nini wanawake hawajisogezi.....

Unakuwa na ex wa mwenzio ili kumkomoa as if nyari anapofirigiswa uchovu unaenda kwa Mange.

Sasa usishangae wanawake wa namna hii wakafall halafu mwanaume moyo wake ukipona anaenda kuipoa mwingine....yeye ataishia kutumika.

Fun thing hata IG ya lance hamposti hata mara moja
 
Stress ndo zimemuweka baba Kenzo kwa Nyari, pia Nyari anataka kumkomoa Mange. Mapenzi ya hivi huwa hayafikagi mbali. At any cost, dont date out of revenge ili kumuumiza mtu. Mwisho wa siku waweza jikuta wewe ndo umeumia zaidi kuliko huyo uliyetaka kumuumiza. There is no way Lance can marry Nyari hata kama wame divorce na Mange. He is with her ili kumaliza stress but there is no love between the two. Only time will tell .


Na hilo wewe ndiyo unayelifahamu?
 
Exactly

Ila nashangaa kwa nini wanawake hawajisogezi.....

Unakuwa na ex wa mwenzio ili kumkomoa as if nyari anapofirigiswa uchovu unaenda kwa Mange.

Sasa usishangae wanawake wa namna hii wakafall halafu mwanaume moyo wake ukipona anaenda kuipoa mwingine....yeye ataishia kutumika.

Fun thing hata IG ya lance hamposti hata mara moja
Lance hayupo IG
Ile account inamilikiwa na mange
 
Lance hayupo IG
Ile account inamilikiwa na mange

Usiniambie hata hizi picha za hivi karibuni anapost Mange...basi Mange hatari
Mange ndio anatumia hiyo akaunti? Mbona picha hizi sehemu sawa na nguo sawa
1470548965926.jpg
1470548971344.jpg


Picha ya juu nimeitoa kwenye akaunti ya zarina na ya pchini akaunti ya lance
 
Stress ndo zimemuweka baba Kenzo kwa Nyari, pia Nyari anataka kumkomoa Mange. Mapenzi ya hivi huwa hayafikagi mbali. At any cost, dont date out of revenge ili kumuumiza mtu. Mwisho wa siku waweza jikuta wewe ndo umeumia zaidi kuliko huyo uliyetaka kumuumiza. There is no way Lance can marry Nyari hata kama wame divorce na Mange. He is with her ili kumaliza stress but there is no love between the two. Only time will tell .
kweli lance hawezi kuoa tena black amekoma
 
Back
Top Bottom