Talaka yamchanganya Mange Kimambi, mwenyewe akanusha, talaka yaanikwa!

M
nifah I told u Dat huyu ajuza ameachwa and I said that time will tell... Watu wakatoka povu Sana Tu,., me PIA kila siku lazma nichungulie kwa kichwa panzi ika silike wala SI comment cas sina fekero... Na sasa takuja na new about that gagula....
 
Kuweka record straight ni kwamba KIGAGULA anashirikiana na my ex wife kunichafua na tatizo la my ex ni anataka nyumba na Shamba langu kule Kinyerezi karibu na kwao that is all. In my life sijawahi kum date Mwanamke ANAYEITWA HONEY wala hata kulala naye. Nilichojifunza kuhusu KIGAGULA ni kwamba huwa anatumia false info na haters na yeye anazirukia na kuanza kukushambulia now Wabongo wengi wanamuogopa kwa sababu wanaogopa kushambuliwa na uongo. Ndio maana Mimi na Kichwapanzi tuliamua kuanza kumjibu leo hana tena ile power aliyokuwa nayo once ya kushambulia watu bila kujibiwa na akaumia. She is a Bully furaha watu wa aina yake ni wengi sana US furaha yao ni kuona Binadam mwingine anaumia kwa kudhalilishwa halafu they are very good at convincing the public kwamba hawaumii wakishambuliwa kumbe ni Wabongo. Ndio tukakubaliana na Kichapanzi mwisho wa mashambulizi yetu ni Tarehe 30/7/2016 tulitaka tu kumuonyesha kwamba yeye sio that powerful and mighty kama alivyokuwa anajifanya zamani siku hizi ameshakuwa wa kawaida sana sawa bado anaweza kukushambulia lakini sio kama zamani na ni baada ya kuniahambulia sana kwa uzushi na kukuta ninamjibu kwa FACTS bila kutemtereka na matusi na uzushi wa ajabu sana. Ila seriously she is very skilled in attacking na in manipulating the public ametumia talent hii kutengeneza Pesa angekuwa mbali sana. Again thanks guys kwa kujisikiliza ila Tarehe 30/7/2016 itakuwa ndio mwisho wa majibu yetu kwake Mimi na Kichwapanzi.! - le Mutuz Nation
 
Kuweka record straight ni kwamba KIGAGULA anashirikiana na my ex wife kunichafua na tatizo la my ex ni anataka nyumba na Shamba langu kule Kinyerezi karibu na kwao that is all. In my life sijawahi kum date Mwanamke ANAYEITWA HONEY wala hata kulala naye. Nilichojifunza kuhusu KIGAGULA ni kwamba huwa anatumia false info na haters na yeye anazirukia na kuanza kukushambulia now Wabongo wengi wanamuogopa kwa sababu wanaogopa kushambuliwa na uongo. Ndio maana Mimi na Kichwapanzi tuliamua kuanza kumjibu leo hana tena ile power aliyokuwa nayo once ya kushambulia watu bila kujibiwa na akaumia. She is a Bully furaha watu wa aina yake ni wengi sana US furaha yao ni kuona Binadam mwingine anaumia kwa kudhalilishwa halafu they are very good at convincing the public kwamba hawaumii wakishambuliwa kumbe ni Wabongo. Ndio tukakubaliana na Kichapanzi mwisho wa mashambulizi yetu ni Tarehe 30/7/2016 tulitaka tu kumuonyesha kwamba yeye sio that powerful and mighty kama alivyokuwa anajifanya zamani siku hizi ameshakuwa wa kawaida sana sawa bado anaweza kukushambulia lakini sio kama zamani na ni baada ya kuniahambulia sana kwa uzushi na kukuta ninamjibu kwa FACTS bila kutemtereka na matusi na uzushi wa ajabu sana. Ila seriously she is very skilled in attacking na in manipulating the public ametumia talent hii kutengeneza Pesa angekuwa mbali sana. Again thanks guys kwa kujisikiliza ila Tarehe 30/7/2016 itakuwa ndio mwisho wa majibu yetu kwake Mimi na Kichwapanzi.! - le Mutuz Nation
kuna makosa mengi in ya herufi sababu natumia simu ndogo na nipo mbali Mbugani Ngorongoro.
 
Ndio tukakubaliana na Kichapanzi mwisho wa mashambulizi yetu ni Tarehe 30/7/2016 tulitaka tu kumuonyesha kwamba yeye s


ila Tarehe 30/7/2016 itakuwa ndio mwisho wa majibu yetu kwake Mimi na Kichwapanzi.! - le Mutuz Nation

Tunaisubiria kwa hamu tarehe 30 July siku ya kusurubishwa Mange na Le mu bebez na kichwapanzi

Cc: Nifah witnessj
 
M
nifah I told u Dat huyu ajuza ameachwa and I said that time will tell... Watu wakatoka povu Sana Tu,., me PIA kila siku lazma nichungulie kwa kichwa panzi ika silike wala SI comment cas sina fekero... Na sasa takuja na new about that gagula....
Kuna siku si nikalike post ya KP kwa bahati mbaya.....weeee nilipanikije nikaunlike fastaaaa remosa chezea kusutwa
 
Kuna siku si nikalike post ya KP kwa bahati mbaya.....weeee nilipanikije nikaunlike fastaaaa remosa chezea kusutwa
hahahahaaaaa mh yule bibi hachelew kukupa kufuli na kuscreen short picha zako za insta na kuanza kukushambulia na ghafla ukawa maalufu hahahaaa
 
Kuweka record straight ni kwamba KIGAGULA anashirikiana na my ex wife kunichafua na tatizo la my ex ni anataka nyumba na Shamba langu kule Kinyerezi karibu na kwao that is all. In my life sijawahi kum date Mwanamke ANAYEITWA HONEY wala hata kulala naye. Nilichojifunza kuhusu KIGAGULA ni kwamba huwa anatumia false info na haters na yeye anazirukia na kuanza kukushambulia now Wabongo wengi wanamuogopa kwa sababu wanaogopa kushambuliwa na uongo. Ndio maana Mimi na Kichwapanzi tuliamua kuanza kumjibu leo hana tena ile power aliyokuwa nayo once ya kushambulia watu bila kujibiwa na akaumia. She is a Bully furaha watu wa aina yake ni wengi sana US furaha yao ni kuona Binadam mwingine anaumia kwa kudhalilishwa halafu they are very good at convincing the public kwamba hawaumii wakishambuliwa kumbe ni Wabongo. Ndio tukakubaliana na Kichapanzi mwisho wa mashambulizi yetu ni Tarehe 30/7/2016 tulitaka tu kumuonyesha kwamba yeye sio that powerful and mighty kama alivyokuwa anajifanya zamani siku hizi ameshakuwa wa kawaida sana sawa bado anaweza kukushambulia lakini sio kama zamani na ni baada ya kuniahambulia sana kwa uzushi na kukuta ninamjibu kwa FACTS bila kutemtereka na matusi na uzushi wa ajabu sana. Ila seriously she is very skilled in attacking na in manipulating the public ametumia talent hii kutengeneza Pesa angekuwa mbali sana. Again thanks guys kwa kujisikiliza ila Tarehe 30/7/2016 itakuwa ndio mwisho wa majibu yetu kwake Mimi na Kichwapanzi.! - le Mutuz Nation
kasema yule mbebi marha sio wako eti
eti yeye ndo anakufaa
kibibi kichawi galula eti le mutuz kinakufaa?
 
hahahahaaaaa mh yule bibi hachelew kukupa kufuli na kuscreen short picha zako za insta na kuanza kukushambulia na ghafla ukawa maalufu hahahaaa
Tena afadhali akushambulie wewe, ni wewe na wote waliolike kwako wataisoma.
 
Yaani ni Balaa hawa watu.Yaani kuna wanaoshambulia kwa Kombination ya MSN .Mess,Suarez na Neymar.

Naona mhusika mkuu kajitokeza kapewa makombora kama yale ya Benghazi

Sijui huko alipo yupo kwenye hali gani muda huu anaweza akawa anautazama huu uzi kwa hasira na kuuma meno tu.Halafu hawataki kumuacha .

Yaani afadhali wangemchapa vibao tu yaishe maana haya maneno yao maumivu hudumu labda aombe JF wauondoe huu Uzi.

Sema wanaume nasi tuna roho ngumu kuvumilia maana sipati picha ukute ni patna au Mke wako anapewa za uso hivi halafu bado haachi tu.

Wanawake hawa kwa mipasho ni balaa tupu kweli.
hahahahahhahahaahha mkubwa umeniua sana mbavuuuu!!!!
hahahaahahahaha binafsi nipo hapa kuinjoy session ya madongo dhidi ya huyu bibi bomba kutoka kila upande wa nchi!
 
Kuweka record straight ni kwamba KIGAGULA anashirikiana na my ex wife kunichafua na tatizo la my ex ni anataka nyumba na Shamba langu kule Kinyerezi karibu na kwao that is all. In my life sijawahi kum date Mwanamke ANAYEITWA HONEY wala hata kulala naye. Nilichojifunza kuhusu KIGAGULA ni kwamba huwa anatumia false info na haters na yeye anazirukia na kuanza kukushambulia now Wabongo wengi wanamuogopa kwa sababu wanaogopa kushambuliwa na uongo. Ndio maana Mimi na Kichwapanzi tuliamua kuanza kumjibu leo hana tena ile power aliyokuwa nayo once ya kushambulia watu bila kujibiwa na akaumia. She is a Bully furaha watu wa aina yake ni wengi sana US furaha yao ni kuona Binadam mwingine anaumia kwa kudhalilishwa halafu they are very good at convincing the public kwamba hawaumii wakishambuliwa kumbe ni Wabongo. Ndio tukakubaliana na Kichapanzi mwisho wa mashambulizi yetu ni Tarehe 30/7/2016 tulitaka tu kumuonyesha kwamba yeye sio that powerful and mighty kama alivyokuwa anajifanya zamani siku hizi ameshakuwa wa kawaida sana sawa bado anaweza kukushambulia lakini sio kama zamani na ni baada ya kuniahambulia sana kwa uzushi na kukuta ninamjibu kwa FACTS bila kutemtereka na matusi na uzushi wa ajabu sana. Ila seriously she is very skilled in attacking na in manipulating the public ametumia talent hii kutengeneza Pesa angekuwa mbali sana. Again thanks guys kwa kujisikiliza ila Tarehe 30/7/2016 itakuwa ndio mwisho wa majibu yetu kwake Mimi na Kichwapanzi.! - le Mutuz Nation


Nakubaliana Lemutuz; Kichaa akichukua jiwe; na wewe chukua kubwa zaidi!!!!!!
 
Kuweka record straight ni kwamba KIGAGULA anashirikiana na my ex wife kunichafua na tatizo la my ex ni anataka nyumba na Shamba langu kule Kinyerezi karibu na kwao that is all. In my life sijawahi kum date Mwanamke ANAYEITWA HONEY wala hata kulala naye. Nilichojifunza kuhusu KIGAGULA ni kwamba huwa anatumia false info na haters na yeye anazirukia na kuanza kukushambulia now Wabongo wengi wanamuogopa kwa sababu wanaogopa kushambuliwa na uongo. Ndio maana Mimi na Kichwapanzi tuliamua kuanza kumjibu leo hana tena ile power aliyokuwa nayo once ya kushambulia watu bila kujibiwa na akaumia. She is a Bully furaha watu wa aina yake ni wengi sana US furaha yao ni kuona Binadam mwingine anaumia kwa kudhalilishwa halafu they are very good at convincing the public kwamba hawaumii wakishambuliwa kumbe ni Wabongo. Ndio tukakubaliana na Kichapanzi mwisho wa mashambulizi yetu ni Tarehe 30/7/2016 tulitaka tu kumuonyesha kwamba yeye sio that powerful and mighty kama alivyokuwa anajifanya zamani siku hizi ameshakuwa wa kawaida sana sawa bado anaweza kukushambulia lakini sio kama zamani na ni baada ya kuniahambulia sana kwa uzushi na kukuta ninamjibu kwa FACTS bila kutemtereka na matusi na uzushi wa ajabu sana. Ila seriously she is very skilled in attacking na in manipulating the public ametumia talent hii kutengeneza Pesa angekuwa mbali sana. Again thanks guys kwa kujisikiliza ila Tarehe 30/7/2016 itakuwa ndio mwisho wa majibu yetu kwake Mimi na Kichwapanzi.! - le Mutuz Nation
Huwa sina kawaida ya kusupport ujinga ujinga ila kwa hili nawaunga mkono, Mange she is next to Lucifer.
 
Kuweka record straight ni kwamba KIGAGULA anashirikiana na my ex wife kunichafua na tatizo la my ex ni anataka nyumba na Shamba langu kule Kinyerezi karibu na kwao that is all. In my life sijawahi kum date Mwanamke ANAYEITWA HONEY wala hata kulala naye. Nilichojifunza kuhusu KIGAGULA ni kwamba huwa anatumia false info na haters na yeye anazirukia na kuanza kukushambulia now Wabongo wengi wanamuogopa kwa sababu wanaogopa kushambuliwa na uongo. Ndio maana Mimi na Kichwapanzi tuliamua kuanza kumjibu leo hana tena ile power aliyokuwa nayo once ya kushambulia watu bila kujibiwa na akaumia. She is a Bully furaha watu wa aina yake ni wengi sana US furaha yao ni kuona Binadam mwingine anaumia kwa kudhalilishwa halafu they are very good at convincing the public kwamba hawaumii wakishambuliwa kumbe ni Wabongo. Ndio tukakubaliana na Kichapanzi mwisho wa mashambulizi yetu ni Tarehe 30/7/2016 tulitaka tu kumuonyesha kwamba yeye sio that powerful and mighty kama alivyokuwa anajifanya zamani siku hizi ameshakuwa wa kawaida sana sawa bado anaweza kukushambulia lakini sio kama zamani na ni baada ya kuniahambulia sana kwa uzushi na kukuta ninamjibu kwa FACTS bila kutemtereka na matusi na uzushi wa ajabu sana. Ila seriously she is very skilled in attacking na in manipulating the public ametumia talent hii kutengeneza Pesa angekuwa mbali sana. Again thanks guys kwa kujisikiliza ila Tarehe 30/7/2016 itakuwa ndio mwisho wa majibu yetu kwake Mimi na Kichwapanzi.! - le Mutuz Nation
We mzee mbona unakuwa na akili za kitoto kwa umri wako sio sawa kushindana na kujibishana na wanawake kwenye mitandao unatuaibisha wanaume,juz kuna habari ilisambaa kwamba unaiba picha za vyakula harafu unapost kujifanya ndio vyakula anavyokula sio poa acha kufake maisha
1469798228482.jpg
hiyo picha ulipost kujifanya umekula huo msosi kumbe uliiba walivyo kushtukia ukafuta fasta hiyo picha ukaamua kupost kuomba msamaha picha hii hapa
1469798385662.jpg
harafu kumbe unabinti mkubwa tu sasa anapoona baba yake anabishana na wanake na kuiba picha za vyakula mitandaoni unafikiri wanajisikiaje watakuwa wanakuzalau.
 
Back
Top Bottom