Kazi ipo!
Kazi ipo!
Mwanafunzi akifanikiwa kufaulu toka kwenye darasa hilo ni genius!
Mwanafunzi akifanikiwa kufaulu toka kwenye darasa hilo ni genius!
Lakini ieleweke kuwa Taifa letu bado ni changa ,Rais wetu anafanya jitihada za hali ya juu kuondowa matatizo yanayotukabili ,tuwe wenye ustahamilivu tumpeni muda angalau inatia moyo hao wanafunzi wapo juu ya mabenchina kupatiwa elimu.
pamoja na hali hii Meneja wa TRA analipwa 18,000,000Tsh kwa mwezi akale yeye na awapandao, pia Meneja wa TBC, Meneja wa Tanroads, Wabunge, Waziri wa elimu nk .