Tahadhari ya ugonjwa kwa wakazi wa dar es salaam

Usisahau kuja ogelea The Hunters au Chadibwa!!!

uzuri wa kipepeo kuna maji ya bomba ya kujisuuza michanga ya beach. vipi hapo chadibwa? kama vipi hunters pouwa. keshoo saa kumi ntakucheki kwa hii namba.
 
Poleni sana!!Ningefurahi siku ya kupiga kura Arumeru Mashariki,hawa magamba wanaotukana majukwaani wote wapate haka kaugonjwa!
Wakifika kwenye kupiga kura,wanajikuta hawaoni jina la'SIOI',wanavyozidi kuwashwa macho,wanachagua M4C!!!
 
Bahati nzuri mimi sipo Bongo kwa sasa ila huo ugonjwa nilishaugua tkea niko mtoto so hata ningekuwepo usingenisumbua.

mkuu mbona uliaga na kusema ukiondoka hatutakuona tena hadi mwezi wa tisa wewe na senator? vipi inakuaje bado unapeluzi jf?. je nawe waogelea huko uliko au unakaa mji kasoro bahari kama paw?
 
​huu ugonjwa unanisumbua tokea jana sina raha hata kidogo

pole sana mkuu. tatizo ni kwamba hata miwani huwezi vaa. kama vipi kesho saa kumi twende zetu kigambonino tukaogelee maji ya chumvi baharini. kama ukiogelea chumvini unaonaje?
 
Asante kwa kufikiria kutoa alert. Ugonjwa unaoongelea ni red eyes. Haukingwi kwa kuogelea baharini, usistutishe sie wa gongo la mboto bure! Good hygiene ndo mpango mzima, usijishike macho bila kuna mikono na sabuni na nawa mikono kila baada ya kuhudumia mgonjwa.
Watumiaji wa gesti ama mnaolala kwa watu, funika mto kabla ya kulala.

asante sana. vilevile waweza vaa mpira mkononi wakati wa kuhudumia mgonjwa.
 
heri mi niko lilunga,huku tuko salama.

lilunga ndiko wapi mkuu? je weye wajua kogelea? kuja tupige mbizi na kuibuka wote kesho. msikose kipepeo. karibu sana but kama waogopa kuvua usije weye.
 
hahahaa huu ugonjwa ni kiboko yani ukiinama unasikia jicho linachomoka, mimi niliupata nikaenda kunawa maji ya baharini mara 2 tu! kwisha kabisa habari yake

hahahahaaaa...umeona eeh? achana na cantalisia anaye wadanganya wenzio. waache watoto wazuri waje kwangu kwani bahari yote ni kwa ajiri yao. kesho jioni kigamboni vilevile kabla ya kuogelea kuna mpira wa miguu wa makalatasi ambao sisi tutashindana na madada wa kijitonyama na mikocheni. pale kwenye ufukwe wa kipepeo.
 
Sio Dar tu. . .
Watu wa Arusha wapo waliopata na kupona tayari.

Dawa.
Chemsha chai ila tia majani mengi, yakishachemka na kupoa kidogo osha macho na yale maji/chai.

unaosha umefumba macho au umefumbua? huku unaogelea baharini ukiwa umefumbua macho.
 
Huo ugonjwa haukwepeki lazima uupate! kama usipoupata mwaka huu utaupata miaka mingine inayokuja .....bora miye nipo MASAKI magonjwa kama hayo huwaga hayafiki.
MP.

nyie wa masaki na mikocheni huwa mnaenda kuogelea beach mavi kule kwa mwalimu nyerere
 
dah, nikupata mwaka huu naandamana, kila mwaka ambao tarakimu 2 za mwisho zinagawanyika kwa nane huwa naupata.

Niliapa sitaupata mwaka huu.

hahahaaaa...!!!. mimi ndo siwezi upata coz kila siku lazima nikaogelee au naenda pale gymkana nanawa uso tu mengine naweka kwenye chupa kwa ajiri ya first aid kwa ntakaye kutana naye macho makundu.
 
Poleni sana!!Ningefurahi siku ya kupiga kura Arumeru Mashariki,hawa magamba wanaotukana majukwaani wote wapate haka kaugonjwa!
Wakifika kwenye kupiga kura,wanajikuta hawaoni jina la'SIOI',wanavyozidi kuwashwa macho,wanachagua M4C!!!

hahahahaaa...duh!!
 
Back
Top Bottom