Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 2,209
- 4,706
Wadau hamjamboni nyote?
Lengo la Uzi huu ni kutoa fursa ya kufahamiana kwa urahisi sisi tuliotoka mikoani na sasa tunaishi Dar es salaam
Hatukusudii kujadili uzuri au ubaya ya Kabila fulani hapa nchini.
Niende kwenye mada
Kwa hapa Dar es salaam sisi watu wa Mkoa wa Mara na hasa jamii ya Wakulya tunapatikana kwa wingi maeneo ya Ukonga, Kitunda, Kivule, Gongolamboto, Mombasa, Chanika, Segerea na maeneo mengineyo kadhaa
Kwa Ndugu zetu wa Kilimanjaro na Iringa wengi utawakuta kuanzia Ubungo, Kimara , Mbezi , hadi kibaha
Kwa Ndugu zetu wa Mikoa ya mtwara na Lindi wengi wanapatikana Temeke, Tandika, Mbagala, Buza, Kongowe n k
Naomba kujua Ndugu zetu wa kutokea Kagera, Tanga, Kigoma , wanapatikana sehemu zipi hasa hapa jijini Dar es salaam?
Aksanteni sana
Lengo la Uzi huu ni kutoa fursa ya kufahamiana kwa urahisi sisi tuliotoka mikoani na sasa tunaishi Dar es salaam
Hatukusudii kujadili uzuri au ubaya ya Kabila fulani hapa nchini.
Niende kwenye mada
Kwa hapa Dar es salaam sisi watu wa Mkoa wa Mara na hasa jamii ya Wakulya tunapatikana kwa wingi maeneo ya Ukonga, Kitunda, Kivule, Gongolamboto, Mombasa, Chanika, Segerea na maeneo mengineyo kadhaa
Kwa Ndugu zetu wa Kilimanjaro na Iringa wengi utawakuta kuanzia Ubungo, Kimara , Mbezi , hadi kibaha
Kwa Ndugu zetu wa Mikoa ya mtwara na Lindi wengi wanapatikana Temeke, Tandika, Mbagala, Buza, Kongowe n k
Naomba kujua Ndugu zetu wa kutokea Kagera, Tanga, Kigoma , wanapatikana sehemu zipi hasa hapa jijini Dar es salaam?
Aksanteni sana