Teknolojia mpya zinakuja zikiwa na faida na hasara zake, hii ni mojawapo ya hasara zake. Umakini mkubwa Sana Unatakiwa muda wote.Kama unasoma uzi huu basi u buheri, pole kwa wenye changamoto.
Hawa vijana wanaosajili laini za simu mitaani wamekuja na mbinu mpya kukuibia pesa.
Wanatumia app za kampuni husika, TIGO PESA APP AU MPESA APP n.k. Wanawahadaa wateja kuwaunga 5G wapate intaneti yenye kasi bure kama ofa.
Ukikubali anakwambia utoe laini uweke kwenye smartphone yake aiwezeshe, hapo anaunga namba yako na App kwenye simu yake.(Hizi app huwezi kuunga kama laini haipo kwenye simu).
Atakwambia uweke namba ya siri na anakuwa ameweka namna ya kurekodi screen touches so akitoka hapo namba yako ya siri anaijua.
Akimaliza anakupa laini yako anasepa, so anabaki na App akiwa na uwezo wa ku access akaunti yako ya TIGOPESA ama MPESA n.k.
Wamempiga mtu hapa 46,000 wakakopa na nivushe, ye anashangaa anaona meseji za TIGOPESA tu anakamilisha miamala.
Kuweni makini jamani, pia muelewe 5G ni hardware sio kitu cha kuwekewa kama kifaa chako hakina 5G support usidanganyike. Kama laini yako haina 5G basi nenda kabadilishe laini.
NINI CHA KUFANYA KAMA HILI LIMESHAKUKUTA.
Download App husika kwa mtandao wako(kama tayari ipo ifute u dowload upya), jisajili katika hiyo huduma then ukiwa ndani ya app nenda kwenye sehemu ya Vifaa vyangu(jihudumie/Settings), ukikuta zaidi ya kifaa kimoja futa usichokitambua.
Nawasilisha.
Kweli kabisa mkuuTeknolojia mpya zinakuja zikiwa na faida na hasara zake, hii ni mojawapo ya hasara zake. Umakini mkubwa Sana Unatakiwa muda wote.
Si sms za mitandao ya simu zikiingia, akiangalia pale juu akaona sijui voda anamark as read au anaifutilia mbali.Sema sisi wabishi sana ndio maana tunapigwa, kila siku kampuni za simu na police wanasema kupitia sms kuwa hupaswi kufanya hivi lkn hatuelewi.
5G ni hardware? Ama mimi ndo sielewi haya mamboKama unasoma uzi huu basi u buheri, pole kwa wenye changamoto.
Hawa vijana wanaosajili laini za simu mitaani wamekuja na mbinu mpya kukuibia pesa.
Wanatumia app za kampuni husika, TIGO PESA APP AU MPESA APP n.k. Wanawahadaa wateja kuwaunga 5G wapate intaneti yenye kasi bure kama ofa.
Ukikubali anakwambia utoe laini uweke kwenye smartphone yake aiwezeshe, hapo anaunga namba yako na App kwenye simu yake.(Hizi app huwezi kuunga kama laini haipo kwenye simu).
Atakwambia uweke namba ya siri na anakuwa ameweka namna ya kurekodi screen touches so akitoka hapo namba yako ya siri anaijua.
Akimaliza anakupa laini yako anasepa, so anabaki na App akiwa na uwezo wa ku access akaunti yako ya TIGOPESA ama MPESA n.k.
Wamempiga mtu hapa 46,000 wakakopa na nivushe, ye anashangaa anaona meseji za TIGOPESA tu anakamilisha miamala.
Kuweni makini jamani, pia muelewe 5G ni hardware sio kitu cha kuwekewa kama kifaa chako hakina 5G support usidanganyike. Kama laini yako haina 5G basi nenda kabadilishe laini.
NINI CHA KUFANYA KAMA HILI LIMESHAKUKUTA.
Download App husika kwa mtandao wako(kama tayari ipo ifute u dowload upya), jisajili katika hiyo huduma then ukiwa ndani ya app nenda kwenye sehemu ya Vifaa vyangu(jihudumie/Settings), ukikuta zaidi ya kifaa kimoja futa usichokitambua.
Nawasilisha.
Yes, 5g inawezeshwa na hardware(chipset) ya smu yako. Kama smu yako ina processor yenye uwezo wa ku support 5g, then ukitumia line ya 5g itafanya kazi. Not otherway round.5G ni hardware? Ama mimi ndo sielewi haya mambo
NotedYes, 5g inawezeshwa na hardware(chipset) ya smu yako. Kama smu yako ina processor yenye uwezo wa ku support 5g, then ukitumia line ya 5g itafanya kazi. Not otherway round.
Mwingine anakwambia nifungulie e-mail kwenye simu,tena password anasema weka no yangu ya simu ya airtel...Watanzania wengi kutafuta maarifa madogo madogo ni wavivu sana..
Mtu ana simu kali ila hajui hata offline mode ni kitu gani?