Tabora school kichwa cha tanzania
jinalo we kote lina tajika
hapa twakusanyika, tupate kuelimika
tabora school kichwa cha tanzania
haya tena vijana wote mliomaliza tabora boys mnafahamu makeke na mambo mbali mbali ya pale shuleni. nambani mmezimiss sana nyangara, redo, mbalala(scramble), woso, tukutuku, kipalapala, numelo, madafu , maduka hata mwalimu issa(kipofu hasa kwa hgl). kuna lile bweni la SINA ( SLEEPING IS NOT ALLOWED) ambapo kuna kitanda pale floor ya kwanza kinaogopewa sana ukiingia bweni mkono wa kulia kipo cube ya mwisho mkono wa kushoto inasemekana kuna jamaa aliingia na wani point saba na akaondoka na ziro ya PCM.
Wazee vipi joint mass. bila kusahau watani wa jadi mirambo.
gwaride vipi wazee. mimi bwana nilikuwa bwana afya enzi hizo na jina langu lipo kwenye zile mbao ndani ya dining hall. bila mimi kuonja jikoni chakula hakiwezi kutoka. wazee vipi yale maharage yenye wadudu bado mnakula tu hata home maana mimi sili maharage kabisa kwa ni nikiyaona tu yananikumbusha boys.
vipi jirani zenu woso. siku za disko au visiting day. msisahau siku wakipatwa na shida baada ya kwenda kuwasaidia watu wanaenda kujipooza.
boys imetoa viongozi, na watu muhimu katika sekta nyeti hapa nchini. karibuni jamani tukumbushane vipi ule mpango wa kuinusuru tabora boys umeishia wapi maana hata kwenye top 3 hatupo tena.
bila kusahau mechi za kawaida bwana mdogo yahaya akilimali alikuwa ndio best player wa umiseta akitokea boys.
madada wa woso mpooooooooooo
student center kwa ajili ya joint mass bila kusahau uyui, kazima, kitete,itetemia, cheyo. kanyenye, uhazili na sehemu nyingi tu.
NI MIMI KAMANDA WA NCHI KAVU AMBAYE NILIKUWA NASAFIRI BURE KUTOKA TABORA MPAKA MOROGORO KWA KUMANDA TU TRENI NAFIKIRI WASAFIRI WA TRENI LUGHA HII MNAIJUA.
WAPI MZEE MRISHO. MWL MASELE, LIMBE, MR ADU, HAWA NI WALIMU
jinalo we kote lina tajika
hapa twakusanyika, tupate kuelimika
tabora school kichwa cha tanzania
haya tena vijana wote mliomaliza tabora boys mnafahamu makeke na mambo mbali mbali ya pale shuleni. nambani mmezimiss sana nyangara, redo, mbalala(scramble), woso, tukutuku, kipalapala, numelo, madafu , maduka hata mwalimu issa(kipofu hasa kwa hgl). kuna lile bweni la SINA ( SLEEPING IS NOT ALLOWED) ambapo kuna kitanda pale floor ya kwanza kinaogopewa sana ukiingia bweni mkono wa kulia kipo cube ya mwisho mkono wa kushoto inasemekana kuna jamaa aliingia na wani point saba na akaondoka na ziro ya PCM.
Wazee vipi joint mass. bila kusahau watani wa jadi mirambo.
gwaride vipi wazee. mimi bwana nilikuwa bwana afya enzi hizo na jina langu lipo kwenye zile mbao ndani ya dining hall. bila mimi kuonja jikoni chakula hakiwezi kutoka. wazee vipi yale maharage yenye wadudu bado mnakula tu hata home maana mimi sili maharage kabisa kwa ni nikiyaona tu yananikumbusha boys.
vipi jirani zenu woso. siku za disko au visiting day. msisahau siku wakipatwa na shida baada ya kwenda kuwasaidia watu wanaenda kujipooza.
boys imetoa viongozi, na watu muhimu katika sekta nyeti hapa nchini. karibuni jamani tukumbushane vipi ule mpango wa kuinusuru tabora boys umeishia wapi maana hata kwenye top 3 hatupo tena.
bila kusahau mechi za kawaida bwana mdogo yahaya akilimali alikuwa ndio best player wa umiseta akitokea boys.
madada wa woso mpooooooooooo
student center kwa ajili ya joint mass bila kusahau uyui, kazima, kitete,itetemia, cheyo. kanyenye, uhazili na sehemu nyingi tu.
NI MIMI KAMANDA WA NCHI KAVU AMBAYE NILIKUWA NASAFIRI BURE KUTOKA TABORA MPAKA MOROGORO KWA KUMANDA TU TRENI NAFIKIRI WASAFIRI WA TRENI LUGHA HII MNAIJUA.
WAPI MZEE MRISHO. MWL MASELE, LIMBE, MR ADU, HAWA NI WALIMU