The_Emperor
JF-Expert Member
- Mar 23, 2012
- 871
- 125
Mabata madogodogo yanaogelea yanaogelea katika shamba zuri la bustani!Yanapenda kulia kwa kwa kwa kwa kwa!
Ngumi tunaamuka saa saba usiku enzi za mbabe Tyson na premier league kwa mrema ilikua raha sana.
Kama kuna kitu siwezi kusahau ni ile siku tuliyovamiwa na milambo,kusema kweli siku ile ningeweza kupoteza maisha.Thanks god sikupa hata jeraha.Nasikia Mrisho kapelekwa wizarani,Nkumba,Masele wameukwaa uhead master katika shule zingine.Pamoja na kwamba ile ni special school,lakini ina upungufu mkubwa sana wa walimu ingawa vijana wanajitahidi sana kuibeba.
waambie haoo senetorAsa,we uliesoma tabora boys na mie niliesoma minaki tuna tofauti gani?
asa,we uliesoma tabora boys na mie niliesoma minaki tuna tofauti gani?
aah mwalimu madafu alikuwa anachapa sana viboko kudadeki.........hadi mitako imeota sugu,bt anyway iz cool,yule mzee maduka na mke wake pale wakitulangua sana maji ya kunywa,glass sh 10 kama sikosei,vp mnakumbuka pale nyuma ya mzee maduka??kulikuwa na duka lingine tullikuwa tunaenda kula mtindi baada ya kupiga makande yaliyopikwa kwa mawese??kulikuwa na dem mmoja pale akiuza mtindi,madent kibao wakimfukuzia yule binti,vp zile trip za kipalapala kucheza mpira.mwl masele naeeee,akikukuta town hujavaa uniform utakiona siku ya paredi..dahh shida tupu tabora boyz,pale student centre yule mzungu padre bado yupo,nimemsahau jina???? he iz the best pastor of all timez,kuna mllinzi mmoja pale akituuzia viazi vitamu vya kupika ikiingia usiku saa 1 baada ya dinner mnakumbuka,unakumbuka pale chini ya mwemmbe karibu na messi ya chakula?madem wa wosso kibao wakati boyz mnakula lunch,mkimaliza mnakaa chini ya mwembe hadi saa 12 jioni,vile vyoo vipi wazee??ukiingia lazima uache nguo nje...manake hiyo harufu,,,mi sisemi........tabora ...good tread
Idadi ya walimu na quality ya walimu inaweza kuwa sawa lakini kuna tofauti nyingi sana,kama ubora wa wanafunzi, jitihada ya kujifunza, umoja wa wanafunzi, Historia ya shule na location ya shule n.k TABORA SCHOOL IPO JUU SANA KULIKO MINAKI.Asa,we uliesoma tabora boys na mie niliesoma minaki tuna tofauti gani?
Idadi ya walimu na quality ya walimu inaweza kuwa sawa lakini kuna tofauti nyingi sana,(kama ubora wa wanafunzi), UBORA WA WNAFUNZI WA TABORA BOYS NI MKUBWA SANA MFANO TABORA BOYS PCM MWISHO AAB, WAKATI MINAKI PCM WANACHUKUA MPAKA WALIOPATA CCD NI DHAHIRI KWAMBA TABORABOYS NI KICHWAA CHA TZ
Jamani ile shule kila siku inazidi kuporomoka kielimu...angalia mwaka 1990 hadi 2000 duu elimu ilihuka sana sana hadi ikabadilishwa na kuwa ya kawaida....hakuna walimu kabisa vijana wanajitahidi kufufuka na kukariri past papers na kukomaa na vitabu.....ila hakuna walimu tabora kukame sana walimu wa UD wakipangwa huwa awaendi kabisa.....ime lostisha sanakizazi hicho unakuta kijana amekuja mkali toka wilayani huko.....akitoka na 4....high school balaa kabisa....wamepiga sana zero na four....vijana future zao zimeharibiwa sana TBSS....wengi wakaingia jeshini kuziba gape....sasa wako kama 200 ma captain waliopita miaka 90 hadi 2000.nawakilisha....
asa,we uliesoma tabora boys na mie niliesoma minaki tuna tofauti gani?
Nawakumbuka sn. Ulikuwa pale mwaka gani?Mnamkumbuka mzee Dastan aliyekuwa anavaa nguo fulani za kijani? mi hadi leo hata sijui alikuwa anafanyakazi gani yule mzee! Afande Warioba je? Na Afande Peter!
Kama kuna kitu siwezi kusahau ni ile siku tuliyovamiwa na milambo,kusema kweli siku ile ningeweza kupoteza maisha.Thanks god sikupa hata jeraha.Nasikia Mrisho kapelekwa wizarani,Nkumba,Masele wameukwaa uhead master katika shule zingine.Pamoja na kwamba ile ni special school,lakini ina upungufu mkubwa sana wa walimu ingawa vijana wanajitahidi sana kuibeba.